Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Kwa Sasa Kuna ushawishi mkubwa wa serikali eti wanaomaliza kidato Cha nne hakuna maana ya kwenda A level bali vyuo tu.

Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.

Mfano huwezi sema eti unafanana na na mtu aliyesoma PCM akaenda kusoma electronics na wewe uliyesoma form four tu ukaenda kusoma DIT electronics haiwezekani.

Kwanza form four hasomi differentiation, integration Wala complex namba. Sasa huo huo uwezo wa kuanalyse mambo makubwa anautoa wapi?
Achakujidanganya, nemesoma chuo na hao waliopitia form 6 huo uwezo wa kufikiri kutuzidi sijauona tena walipata taabu sana kumaster mfumo wa usomaji wa chuo.
 
Hapo husevu chochote. Mtu aliyesoma Diploma miaka Mitatu akienda Bachela anasoma miaka mitatu. Na aliyesoma 5 na 6 akienda chuo kikuu anasoma miaka 4, kwa hiyo wote watatumia miaka 6.
Sio kweli mkuu.
 
Ukimaliza kidato cha nne tu, ukaenda nchi za wenzetu na uwezo wa kujilipia ada unao, muda si mrefu unakuwa rubani.
Muhimu tujikite kwenye elimu yenye tija, sio kupoteza miaka mingi kwenda kusoma nadharia.
Nchi za wenzetu utakuta mtu ana miaka 19 tayari ana PhD; kwa hiyo kupoteza miaka mingi huku utaalamu kichwani hakuna, hilo ni tatizo.​
Aliyekwambia Tanzania huwezi kuwa rubani na Form 4 ni nani?
 
Kuna vyuo havina hata wanafunzi..kwanini wakatae hizo d3 wakati ndo minimum requirement?..

Halafu sikia wewe kilaza...mimi nimepita advance na nikatoboa nikaenda medical school..usinichukulie poa
Na sasa uko wapi?
 
Hapo husevu chochote. Mtu aliyesoma Diploma miaka Mitatu akienda Bachela anasoma miaka mitatu. Na aliyesoma 5 na 6 akienda chuo kikuu anasoma miaka 4, kwa hiyo wote watatumia miaka 6.
Pia kwenye soko la ajira siku hizi Bachela hawaajiriki sana.
Kuna taasisi moja inadili na Engineering haiajiri Bachela. Inaajiri waliosoma vyuo vya kati ambao pia wamesoma Bachela. Kwa mara ya kwanza wanakuajiri kama mtu wa Diploma ikitokea wanahitaji nafasi ya Engineer wanakuomba u-submit cheti chako cha Bachela, nafasi yako uliyotoka inatafutiwa mtu mwingine wa Diploma
Wanafanya hivyo sababu ya Malipo ya mshahara
 
Achakujidanganya, nemesoma chuo na hao waliopitia form 6 huo uwezo wa kufikiri kutuzidi sijauona tena walipata taabu sana kumaster mfumo wa usomaji wa chuo.
Waache walishane matangopori tu. Stori za watanzania hasa wa jf huwa zimeegemea katika nadharia tu, zikiwa tofauti sana na uhalisia.
 
Nasema 1.7 na sio 3.27😅
Ok. Sina namna naweza kukueleza ukaelewa. Sasa Hebu uje ufanye research.

NACTE wakishatoa selection, anza kufatilia matokeo ya form4 ya wanafunzi waliochagulia kwa direct entry hasa kwenye vyuo vya selikali uone 1.7 zilivyojazana huko.
 
Kwa Sasa Kuna ushawishi mkubwa wa serikali eti wanaomaliza kidato Cha nne hakuna maana ya kwenda A level bali vyuo tu.

Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.

Mfano huwezi sema eti unafanana na na mtu aliyesoma PCM akaenda kusoma electronics na wewe uliyesoma form four tu ukaenda kusoma DIT electronics haiwezekani.

Kwanza form four hasomi differentiation, integration Wala complex namba. Sasa huo huo uwezo wa kuanalyse mambo makubwa anautoa wapi?
Si ndo ufurahi sasa unaenda kuwa boss wao
 
wakuu kwani mtoto akienda chuo chakati miaka 3 uinjinia akimaliza hio miaka anaajiriwa au kuna Levi nyingine?
 
Madogo wamechachamaa hawataki utapeli wa kielimu, uende advance ili iweje? Form 5,6 ifutwe tu, ni utapeli tu na kupoteza muda
 
hata nikikuelewesha nadhani hutanielewa maana hujapita huko..sidhani kama unaijua hata advance chemistry au biology au physics ilivyo..

O level ni very shallow level mkuu..hamna chochote pale
Kaka kwani advance kuna pcm pekee??
Vipi kama nikisema kwa mujibu wako basi ni hao pPCkunani ndio hutakiwa kwenda advance na sio wengine, japo pia siamini hilo.

Maana vyuoni kuna foundation courses hawaanzii katikati, labda kama uwe kilaza pro max usiefatilia mambo.

Kuna mfano hapo nimeutoa kwa wale ambao advance kasoma kitu kingine na chuo anaenda kusoma kitu tofauti kabisa lakini anamaster, vipi kwa huyo fresh from form 4 ashindwe??
 
Ok. Sina namna naweza kukueleza ukaelewa. Sasa Hebu uje ufanye research.

NACTE wakishatoa selection, anza kufatilia matokeo ya form4 ya wanafunzi waliochagulia kwa direct entry hasa kwenye vyuo vya selikali uone 1.7 zilivyojazana huko.
Mm tayar najua hakuna na nna uhakika
 
Back
Top Bottom