Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Acheni kupotosha A-level ni hatua muhimu kujiandaa kwa masomo ya degree na siyo rahisi kwa vilaza wengi.
Mkiwa mnazungumza humu kama vile rahisi. Hebu tembeleeni vyuoni muone wanenu walivyo empty, kutofautisha waliopita waliopita A level wenye div I zao kali za A level na O level na waliopita diploma na div IV zao kiuwezo ni ngumu sana, vyote uwezo kiduchu sana yaani. Hadi mtu unajiuliza kuna nini huko wanakopitia!

Kwenye presentation utasikia "you will going"! Na huyo ni mwamba wa language darasani, aliyepiga hgl!
 
Kwa Sasa Kuna ushawishi mkubwa wa serikali eti wanaomaliza kidato Cha nne hakuna maana ya kwenda A level bali vyuo tu.

Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.

Mfano huwezi sema eti unafanana na na mtu aliyesoma PCM akaenda kusoma electronics na wewe uliyesoma form four tu ukaenda kusoma DIT electronics haiwezekani.

Kwanza form four hasomi differentiation, integration Wala complex namba. Sasa huo huo uwezo wa kuanalyse mambo makubwa anautoa wapi?
Wanaotuongoza hawana AKILI unategemea nn ndugu yangu hata ukichunguza vyeti vyao wengi ni wamepenya penye tu,Elimu ya kuunga unga tu vilaza watupu waliojaa chenga tu.
 
Mkiwa mnazungumza humu kama vile rahisi. Hebu tembeleeni vyuoni muone wanenu walivyo empty, kutofautisha waliopita waliopita A level wenye div I zao kali za A level na O level na waliopita diploma na div IV zao kiuwezo ni ngumu sana, vyote uwezo kiduchu sana yaani. Hadi mtu unajiuliza kuna nini huko wanakopitia!

Kwenye presentation utasikia "you will going"! Na huyo ni mwamba wa language darasani, aliyepiga hgl!
Waliopitia diploma wengi wao wa kawaida hata chuo kikuu
Wanafunzi bora wenye gpa kubwa vyuo vikuu wengi wao wamepitia A level ni nadra sana kukuta amepitia diploma

Kujua kingereza ni swala la msingi tokea ukiwa mdogo halina uhusiano na kusoma hgl
 
Acha kamba wewe..mtu ana one ya 7 aende diploma??..si atakuwa amelogwa..

As long as D3 za kidato cha nne ndo minimum requirement,inatosha kusema diploma wanaenda watu ambao ufaulu wao upo chini sana kwa asilimia kubwa..
😅😅😅 peleka hizo D zako 3 uone kama utapata chuo.
 
Nyie Vilaza nionyesheni Aliyepata 1.7(one ya Saba) o level Nchi hii na ameenda vyuo vya Kati (college)
Tupo nao wengi tuu huku mtaani hivi sasa wanafanya application NACTE. Twambie means tutakayo tumia kukuonesha hao watu nianze kukuletea mmoja baada ya mwingine.
 
Waliopitia diploma wengi wao wa kawaida hata chuo kikuu
Wanafunzi bora vyuo vikuu wengi wao wamepitia A level ni nadra sana kukuta amepitia diploma
Hawa wa sasa bora hata msiwapime wala kuwashindanisha, yaani ni aibu tupu.

Wote wanategemea AI, anayejitahidi kujisomea basi nikukariri tu mwanzo mwisho. Swali likitiwa msamiati kidogo tu ni OP ya darasa zima, hakuna cha diploma wala advance.

Huku mnalishana theories tu, uhalisia ni aibu tupu, sijui hizo division one za siku hizi zipoje huko NACTE.

Kuna Dr mmoja wa sheria siku moja darasani analalama "mitoto ya siku hizi inazidi kuwa empty kadri miaka inavyoenda, mwakani tunatarajia kupokea vilaza zaidi yenu, na watakaofuatia itakuwa zaidi, trend itaendelea hivyo, hatuelewi mnaandaliwaje huko mtokako".

Halafu mitoto ikiambiwa uwezo mdogo na imepiga one huko ilikotoka inachukia balaa!
 
Hawa wa sasa bora hata msiwapime wala kuwashindanisha, yaani ni aibu tupu.

Wote wanategemea AI, anayejitahidi kujisomea basi nikukariri tu mwanzo mwisho. Swali likitiwa msamiati kidogo tu ni OP ya darasa zima, hakuna cha diploma wala advance.

Huku mnalishana theories tu, uhalisia ni aibu tupu, sijui hizo division one za siku hizi zipoje huko NACTE.

Kuna Dr mmoja wa sheria siku moja darasani analalama "mitoto ya siku hizi inazidi kuwa empty kadri miaka inavyoenda, mwakani tunatarajia kupokea vilaza zaidi yenu, na watakaofuatia itakuwa zaidi, trend itaendelea hivyo, hatuelewi mnaandaliwaje huko mtokako".

Halafu mitoto ikiambiwa uwezo mdogo na imepiga one huko ilikotoka inachukia balaa!
Hiyo mitoto unayosemea ni pamoja na wewe kumbuka wewe ni mtanzania na ulipitia stage ya utoto

Hiyo mitoto ya siku hizo wazazi wao ndo ninyi mnaowatuhumu kwa hiyo ukifuatilia tatizo limeanzia kwa wazazi akiwemo huyo doctor wako anayewatuhumu
 
Kwa Sasa Kuna ushawishi mkubwa wa serikali eti wanaomaliza kidato Cha nne hakuna maana ya kwenda A level bali vyuo tu.

Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.

Mfano huwezi sema eti unafanana na na mtu aliyesoma PCM akaenda kusoma electronics na wewe uliyesoma form four tu ukaenda kusoma DIT electronics haiwezekani.

Kwanza form four hasomi differentiation, integration Wala complex namba. Sasa huo huo uwezo wa kuanalyse mambo makubwa anautoa wapi?
Jibu[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Tupo nao wengi tuu huku mtaani hivi sasa wanafanya application NACTE. Twambie means tutakayo tumia kukuonesha hao watu nianze kukuletea mmoja baada ya mwingine.
Nasema 1.7 na sio 3.27😅
 
Mwenyewe mtoto wangu hatasoma huo ujinga labda nisiwe hai ataenda chuo baada ya F4 nimpike haswa badala ya kupoteza muda kwenda kukariri ujinga
Tena wa kwangu nitawashawishi kwa nguvu zote wakimaliza form 4 niwapeleke courses za kusimamia biashara, nitapambana niwawekee msingi wa biashara wao waje waziendeleze! A level ya nyoko🤣🤣🤣! Total wastage of time and resources
 
A level ni kupote muda naunga mkono hoja, Kenya, Marekani na Uingereza hawana hivyo vitu mbona wametuacha sn? tuwekeze kwenye vyuo vya kati kwanza kabla ya kwenda university
Hata Russia na China hawana,wanasoma madarasa 11 wanazama chuoni bana. Labda muda mwingi uwe chuoni Mana huko ndiko wanakotengenezwa watalaamu kabisa
 
Tena wa kwangu nitawashawishi kwa nguvu zote wakimaliza form 4 niwapeleke courses za kusimamia biashara, nitapambana niwawekee msingi wa biashara wao waje waziendeleze! A level ya nyoko🤣🤣🤣! Total wastage of time and resources
Upo Kama mie.nakushauri wakomalie wajue investment mkuu. Wawe na uwezo wa kufanya evaluation kuwekeza nmb,crdb ama twiga cement. Ni wapi waweke pesa zao.
Hatufundishwi how to produce ,to invest Bali tunatengenezwa tuwe sheep mentality, consumers etc. Yaani kizazi Cha sasahivi kinajitapa kumiliki gari la Toyota huku mtu Hana hata shares Huko dse,nse, use etc. Yaani ukimwambia Nina 200M niwekeze wapi hajui kitu ,Ila anajua kuagiza ist ambayo sio kuwa inakuja kumzalisha Bali just to increase self image ama heshima ambayo huwezi rithisha wajukuu
 
Kwa Sasa Kuna ushawishi mkubwa wa serikali eti wanaomaliza kidato Cha nne hakuna maana ya kwenda A level bali vyuo tu.

Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.

Mfano huwezi sema eti unafanana na na mtu aliyesoma PCM akaenda kusoma electronics na wewe uliyesoma form four tu ukaenda kusoma DIT electronics haiwezekani.

Kwanza form four hasomi differentiation, integration Wala complex namba. Sasa huo huo uwezo wa kuanalyse mambo makubwa anautoa wapi?
Ni DIT ipi hiyo ambayo hawasomi Differentiation, Integration na Complex numbers? Usiongee usichokijua na katiika Engineering hakuna shule ngumu kama ya DIT, uliza wote waliopita huko wakienda Universities ni kuteleza tu.
 
Kuna ukweli. Wataalamu wngi walioishia form 4 hata kuandika vyema hawafahamu. Wana uelewa mdogo sana. tatizo likiwa nje ya aliyozoea hawezi kusolve na utazungushwa balaa. Unawakuta wengi kwenye afya wakiuza dawa na kupima watu maabara. Mungu atusaidie.
 
Umesoma sayansi?

Unaijua Organic chemistry ya o level na advance?..unajua mtu akienda kusoma mfano B.Pharm organic chemistry yake inakuaje?..unahisi dogo wa form four ubongo wake upo tayari kuelewa hayo mambo bila kupita advance?..
Kwani akitoka form four anaingia degree??
Na unaposema ubongo wa dogo wa form 4 unakua na maana gani?? Maana akili ya mtu hubadilika kulingana na changamoto alizokutana nazo.
Na mtu huwezi kusoma kitu ambacho huko nyuma huna historia nacho, yani hujui kitu kuhusu kitu hicho si rahisi.

Kama una msingi wa organic chem why ushindwe kuendelea nayo hata kama hujapitia advance.
 
Kwa Sasa Kuna ushawishi mkubwa wa serikali eti wanaomaliza kidato Cha nne hakuna maana ya kwenda A level bali vyuo tu.

Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.

Mfano huwezi sema eti unafanana na na mtu aliyesoma PCM akaenda kusoma electronics na wewe uliyesoma form four tu ukaenda kusoma DIT electronics haiwezekani.

Kwanza form four hasomi differentiation, integration Wala complex namba. Sasa huo huo uwezo wa kuanalyse mambo makubwa anautoa wapi?
Advance iko overrated na watu kama nyie hizo intergration sijui differentiation sio za kuogopa eti mtu atashindwa kwasbabau hiyo.

Watu wamechukua course chuo ambazo hana background nayo kabisa, ila katususa vyedi tu.
Hiyo miaka 2 haikubadilishi kila kitu aisee.
 
Back
Top Bottom