Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Niambie unatumiaje complex numbers hapo ulipo. Hizo calculus wanasoma bana zile applicable hawaingii deep Kama ulivyozama advance.

Mifumo ya nchi nyingi duniani watt wanasoma miaka 11/12 baada ya hapo wanaingia chuoni.kama mtu anapenda analichokisoma atarudi masters degree and PhD zipo mkuu.

Nimepita Advance Tena iyo na pcm yako na nikaifaulu vizuri tu kwa daraja la kwanza Ila siikubali. Ni wastage of time, mpaka wakenya wanaiogopa advance hawana kwao na sijui tumewazidi Nini labda ufisadi na kuwaza kuongeza Kodi na tozo kwa wananchi wanyonge badala ya kuwaza vyanzo vya uchumi na uwekezaji tuzalishe ajira, na mapato kwa Taifa Ila uliko nako nawaza namna ya kukutoa. Muda si muda tozo ya maji itakuja Kama ya kwenye umeme.

Mana mie PhD yangu sikupewa nimesomea labda tuzungumze Mambo ya uganga. Ego at its Best level
Badala ya kutoa maoni yako, umekazania kujifagilia: mara nimepiga one form six, mara PhD yangu si ya kupewa.....
 
Yote unayosema, hata wakiyafata, sawa na bure tu, mtu akiwa ccm tu tiyari kilaza??
 
Sasa hao wenye cognitive ability,wamefsnya Nini?
Je watu kama msukuma,diamond,wapo humo,au la maana wame fanikiwa sana,bila ya kupitia huko kwenye cognitive ability,
Weka kitu kimoja alichofanya huyo mwenye cognitive behaviour,
Je wale madokta pale Benjamin udom,waliofanya upandikazji wa uume wapo kundi Hilo?je Dr Ben Carson bingwa wa kutengsnisha joined twins,yupo humo?yeye hakusoma hiyo six Yako.
Wachina wanotujengea na madaraja wapo humo?

Wanaopigia chapuo six,ni sawa na vijana wa bongo,kipato chake chini ya 1Moja,lakini anadunduliza kununua macho matatu,sio kwamba anataka simu imfanyie Nini!Bali watu wamuone na yeye yumo,apps anwzotumia ni za kuangalia vikatuni na video insta.
Kenya,hawana six,lakini katika AFRIKA,they are the most well educated people,wanakimbiza balaa.
Pale DIT,mkiwa diploma,na vijana waliotoka six,wanachowazidi ni hesabu TU,wakati huo,tunapiga ADE,six walikuwa hawawezi kujoin ADE kusoma kozi zaidi ya telekom,Kuna Mmoja,alikomaa asome ADE na waliotoka ftc,aliomba Po!!!!
Wewe utakuwa ni Form four. Analytical ability yako inaoonesha hivyo.
 
Ukimaliza kidato cha nne tu, ukaenda nchi za wenzetu na uwezo wa kujilipia ada unao, muda si mrefu unakuwa rubani.
Muhimu tujikite kwenye elimu yenye tija, sio kupoteza miaka mingi kwenda kusoma nadharia.
Nchi za wenzetu utakuta mtu ana miaka 19 tayari ana PhD; kwa hiyo kupoteza miaka mingi huku utaalamu kichwani hakuna, hilo ni tatizo.​
 
We naye acha kuchanganya madesa
Form VI na VETA wapi na wapi. Hizi ni kada tofauti kabisa. Form six andaaliwa katika nadharia na kufikiri mambo ambayo ni complex. Form anaandaliwa kuwa mtendaji yaani Fundi.
Baadhi ya wabongo akili zetu huwa ni ndogo sana..

Mtu analinganisha VETA na Form six ..hajui hata mtu huyo wa Form six ana potential gani baada ya hapo.
 
Haya yote inategemea pia chuo unaenda kusoma nini,
course niliyosoma requirements advanced math and physics lazima, ukisoma hizo diploma sijui vigezo vyao hata sikumbuki, ila inshort hakuna mtu wa namna hiyo tulisoma naye.
Haya mambo ya kukalilishana eti kwenye field wapo vizuri ni umburula tu...wengi ni vilaza kama wengine na hata Kwenye Miradi sijawai kuona wakiongoza zaidi ya kuwa assistant..
Ukweli mtupu,
 
Form 5 na 6 hazina faida yoyote.
Huko vyuoni wanapelekwa puta na walionzia vyuo.

Mtu kaanza certificate na kitu hicho, kana nacho diploma chuo anaserereka nacho . Huyu akiingia kazini ni innovator mzuri tu.

Sasa wewe o'level umesoma masomo 9, advance ukasoma HKL, kwakua una msingi mzuri wa hesabu, chuo ukasoma Banking & finance. Utakua sawa na alieanzia certificate kusomea hiyo banking & finance kweli???
Umesoma sayansi?

Unaijua Organic chemistry ya o level na advance?..unajua mtu akienda kusoma mfano B.Pharm organic chemistry yake inakuaje?..unahisi dogo wa form four ubongo wake upo tayari kuelewa hayo mambo bila kupita advance?..
 
We naye acha kuchanganya madesa
Form VI na VETA wapi na wapi. Hizi ni kada tofauti kabisa. Form six andaaliwa katika nadharia na kufikiri mambo ambayo ni complex. Form anaandaliwa kuwa mtendaji yaani Fundi.
Mambo complex yapi?may be kuwaza kuwa bank teller na kujiunga na jeshi,
Veta ni mtendaji,ndio mwenye skills,zinazohitajika viwandani,Sasa six atafanya Nini,labda kufundisha tuition
 
Mkuu uko sahihi sana.Tuna kizazi kinachoamini kwenda Chuo cha kati ni kufeli. Mimi nimepita advance, sijui huko nilikua natafuta nini hahahahhah. Mwanangu Katu hata fuata ujinga wa Advance labda nife.
Asilimia kubwa wanaoenda vyuo vya kati ni waliokosa alama nzuri za kwenda kusoma kozi nzuri chuo kikuu au advance..

Sasa hivi diploma za afya unaambiwa D tatu tu..sasa hapa kuna nini tena..ujinga mtupu..D tatu tu za o level mtu anaenda kusoma Diploma..maajabu haya.

Ni wachache sana wenye matokeo mazuri wanaenda vyuo vya kati.
 
A level ni kupote muda naunga mkono hoja, Kenya, Marekani na Uingereza hawana hivyo vitu mbona wametuacha sn? tuwekeze kwenye vyuo vya kati kwanza kabla ya kwenda university

Hakika nyie WaTanzania vilaza kabsaa. Wakati mnaondoa elimu ya FTC hamkuliona hilo? Leo ndo makumbuka matapishi yaleyale. Kweli 2034 inch itakuwa ya vilaza wa kwenda
 
Badala ya kutoa maoni yako, umekazania kujifagilia: mara nimepiga one form six, mara PhD yangu si ya kupewa.....
It's normal or it's nature of the mind to find negatives,flaws, mistakes, errors,Wala sijajifagilia sema nimeonyesha kuwa siikubali advance even though nimepita na nimepata one both olevo and a level . Najua utapata maumivu ya envy.yaani huwa nafurahi mind inavyofanya kazi.
Baadaye utaniambia kuwa Nina bilioni ngapi. Nipo sinaa hata Mia ridhika ama poozea maumivu mkuu.
 
It's normal or it's nature of the mind to find negatives,flaws, mistakes, errors,Wala sijajifagilia sema nimeonyesha kuwa siikubali advance even though nimepita na nimepata one both olevo and a level . Najua utapata maumivu ya envy.yaani huwa nafurahi mind inavyofanya kazi.
Baadaye utaniambia kuwa Nina bilioni ngapi. Nipo sinaa hata Mia ridhika ama poozea maumivu mkuu.

Huna lolote we kilaza tu, we ni o level div IV ya point 32 bwege tu fulan mana ungekuwa umekamua 6 usingefagilia izo zero brain zako
 
Hao wanaioshia Form four tunawaandaa kuwa watendaji zaidi kitu ambacho siyo kibaya. Hawa wanaoenda chuo kikuu kupitia A level tunawaandaa katika Managerial position. Tunahitaji watendaji wengi zaidi kuliko managers.

jeshini huwa wanaweka wazi about this
 
Back
Top Bottom