Kwani shule ngumu ndiyo mafanikio?? Niletee Profesa wa physics na hesabu mwenye mafanikioNi DIT ipi hiyo ambayo hawasomi Differentiation, Integration na Complex numbers? Usiongee usichokijua na katiika Engineering hakuna shule ngumu kama ya DIT, uliza wote waliopita huko wakienda Universities ni kuteleza tu.
He who think knows everything, knows nothing.Mm tayar najua hakuna na nna uhakika
Ya Advance?Nipo naitumia elimu yangu kufanya maisha yangu yawe bora na ya jamii inayonizunguka(service)
Ulitoboa au ulitobolewa wewe pimbi ?Kuna vyuo havina hata wanafunzi..kwanini wakatae hizo d3 wakati ndo minimum requirement?..
Halafu sikia wewe kilaza...mimi nimepita advance na nikatoboa nikaenda medical school..usinichukulie poa
wakuu kwani mtoto akienda chuo chakati miaka 3 uinjinia akimaliza hio miaka anaajiriwa au kuna Levi nyingine?
Pumbav , huo upumbavu wa foundation ulishafutwa haupo .Kaka kwani advance kuna pcm pekee??
Vipi kama nikisema kwa mujibu wako basi ni hao pPCkunani ndio hutakiwa kwenda advance na sio wengine, japo pia siamini hilo.
Maana vyuoni kuna foundation courses hawaanzii katikati, labda kama uwe kilaza pro max usiefatilia mambo.
Kuna mfano hapo nimeutoa kwa wale ambao advance kasoma kitu kingine na chuo anaenda kusoma kitu tofauti kabisa lakini anamaster, vipi kwa huyo fresh from form 4 ashindwe??
Hamna injinia wa miaka mitatu ,tumia akili ,acha utaahirawakuu kwani mtoto akienda chuo chakati miaka 3 uinjinia akimaliza hio miaka anaajiriwa au kuna Levi nyingine?
Nlizani umevumbua theory kumbe umecopy😅😅😅He who think knows everything, knows nothing.
Ok. Sina namna naweza kukueleza ukaelewa. Sasa Hebu uje ufanye research.
NACTE wakishatoa selection, anza kufatilia matokeo ya form4 ya wanafunzi waliochagulia kwa direct entry hasa kwenye vyuo vya selikali uone 1.7 zilivyojazana huko.
Tuletee hao vilaza wako wa D mbili wenye mafanikio , pumbav weweKwani shule ngumu ndiyo mafanikio?? Niletee Profesa wa physics na hesabu mwenye mafanikio
Is not new. Ni kitu ambacho kipo.Hahaha graduates tena? Warudi veta that new
Naona unaleta hasira zako za kusoma mavitu magumu Kisha kuishi maisha ya katiTuletee hao vilaza wako wa D mbili wenye mafanikio , pumbav wewe
ungenifafanulia mkuu.mana nasikia mtoto akienda chuo chakati akimaliza anaajiriwaHamna injinia wa miaka mitatu ,tumia akili ,acha utaahira
Ulifutwa lini?Pumbav , huo upumbavu wa foundation ulishafutwa haupo .
Kaeni na ukilaza wenu huo wa dd
Nitajie angalau marubani 5 waliosoma hicho chuo, wanaorusha ndege za kimataifaAliyekwambia Tanzania huwezi kuwa rubani na Form 4 ni nani?
katika level za elimu elim kubwa nilipata advance vyuoni hamna elimKwa Sasa Kuna ushawishi mkubwa wa serikali eti wanaomaliza kidato Cha nne hakuna maana ya kwenda A level bali vyuo tu.
Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.
Mfano huwezi sema eti unafanana na na mtu aliyesoma PCM akaenda kusoma electronics na wewe uliyesoma form four tu ukaenda kusoma DIT electronics haiwezekani.
Kwanza form four hasomi differentiation, integration Wala complex namba. Sasa huo huo uwezo wa kuanalyse mambo makubwa anautoa wapi?
mkuu kunakoz zingine hazina diploma makoz makubwa kama actuarial sciences, petroleum engineering, zinahitaji watu wenye uwezo mkubwa na maanisha waliopita advanceForm 5 na 6 hazina faida yoyote.
Huko vyuoni wanapelekwa puta na walionzia vyuo.
Mtu kaanza certificate na kitu hicho, kana nacho diploma chuo anaserereka nacho . Huyu akiingia kazini ni innovator mzuri tu.
Sasa wewe o'level umesoma masomo 9, advance ukasoma HKL, kwakua una msingi mzuri wa hesabu, chuo ukasoma Banking & finance. Utakua sawa na alieanzia certificate kusomea hiyo banking & finance kweli???
Samahani mkuu. kwamfano mtoto endapo kasomea udokta au uinjinia moja kwa mojaa chuo cha kati na alie pitia 5&6 na akaenda kusomea pia udokta au uinjinia wanatofautiana mkuu au nisawa tuu? nakweye ajira pia?mkuu kunakoz zingine hazina diploma makoz makubwa kama actuarial sciences, petroleum engineering, zinahitaji watu wenye uwezo mkubwa na maanisha waliopita advance
Sent using Jamii Forums mobile app