samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Hizo ni fikra potofu, ukizikwa mzima uelewe kua ndio majaaliwa yako au ndio njia uliyojichagulia ukiwa hai.
Jifikirie wewe mwenyewe kwanza, hivi sasa unafanya nini ili usizikwe ukiwa mzima? Wengi wenu mnajizika wenyewe mkiwa wazima bila kujielewa.
Ni vyema ukatoa somo/elimu ili wengi tusijizike wazima bila kujielewa...kama hautojali lete somo tujifunze..