Huenda kuna waislam wengi duniani wameshazikwa wakiwa hai

Huenda kuna waislam wengi duniani wameshazikwa wakiwa hai

Na kuna story Pale Lugalo kuna askari ailuguzwa muda mrefu tena alikua na cheo ,lakini palikuwepo doctor aliyefahamu vizuri tatizo la huyo mgonjwa..ikatokea akazidiwa siku moja madocta wakahangaika lakini wakashindwa hatimaye akaaga dunia ...walivyokua wanapanga mpango wa kumpeleka mochwari yule doctor aliyekua anafahamu vizuri shida ya yule mgonjwa akafika akasikitika sana akawaomba mwili akaenda chumba maalum akajifungia nae akaanza kuhangaika na ma vifaa, oksijeni na kila namna alivyoweza...baada ya masaa kadhaa moyo ukaanza kufanya kazi...baada ya masaa kupita akapiga chafya...nasikia ikaenda hadi akafumbua macho akaanza ongea...yule askari alipona kabisa...jamaa(doctor)alipata sifa nyingi ikiambatana na na cheo...
(Chanzo story ni dada mmoja aliyeishi pale lugalo barracks miaka hiyo)
Yan huduma za afya zikiboreshwa kesi nyingi za aina hyo zitatatuliwa.
Sasa happ jiulize ni wangapi wameisha zikwa ambao wameondoka.kama huyo asikari?
 
Zanzibar ukifa labda usiku ndo utapumnzika ila ufe alfajiri asabuhi mapema sana tayari ushafukiwa ila ni amri ya dini inasema hvyo.
 
Na kuna story Pale Lugalo kuna askari ailuguzwa muda mrefu tena alikua na cheo ,lakini palikuwepo doctor aliyefahamu vizuri tatizo la huyo mgonjwa..ikatokea akazidiwa siku moja madocta wakahangaika lakini wakashindwa hatimaye akaaga dunia ...walivyokua wanapanga mpango wa kumpeleka mochwari yule doctor aliyekua anafahamu vizuri shida ya yule mgonjwa akafika akasikitika sana akawaomba mwili akaenda chumba maalum akajifungia nae akaanza kuhangaika na ma vifaa, oksijeni na kila namna alivyoweza...baada ya masaa kadhaa moyo ukaanza kufanya kazi...baada ya masaa kupita akapiga chafya...nasikia ikaenda hadi akafumbua macho akaanza ongea...yule askari alipona kabisa...jamaa(doctor)alipata sifa nyingi ikiambatana na na cheo...
(Chanzo story ni dada mmoja aliyeishi pale lugalo barracks miaka hiyo)
.tunazikana sana tukiwa hai Africa
 
Hii ni kweli kabisa mtaani kwetu Bibi mmoja wa kisomali alipata ajali saa 10 jioni saa 1 usiku kazikwa na tochi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama hujaelewa,subiri uzimie saa 2,unathibishwa umekufa. Saa 7 unapelekwa kuzikwa unazindukia njiani. Utaleta mrejesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
natikisa hata mguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].lakini pia unakuta labda mgonjwa hajiwezi hata kugeuza jicho anawasikia kwa mbaliii mipango ya mazishi akiwaza na shida zote alizowahi zipitia anajisemea moyoni wacha wanizike tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Mkuu hawa watu kabla hawajazika wanakamua mavi maiti ili kumtakasa, sasa wanawezaje kuwazika watu wazima? Ujue mfu anakamuliwa kisawasawa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na kuna story Pale Lugalo kuna askari ailuguzwa muda mrefu tena alikua na cheo ,lakini palikuwepo doctor aliyefahamu vizuri tatizo la huyo mgonjwa..ikatokea akazidiwa siku moja madocta wakahangaika lakini wakashindwa hatimaye akaaga dunia ...walivyokua wanapanga mpango wa kumpeleka mochwari yule doctor aliyekua anafahamu vizuri shida ya yule mgonjwa akafika akasikitika sana akawaomba mwili akaenda chumba maalum akajifungia nae akaanza kuhangaika na ma vifaa, oksijeni na kila namna alivyoweza...baada ya masaa kadhaa moyo ukaanza kufanya kazi...baada ya masaa kupita akapiga chafya...nasikia ikaenda hadi akafumbua macho akaanza ongea...yule askari alipona kabisa...jamaa(doctor)alipata sifa nyingi ikiambatana na na cheo...
(Chanzo story ni dada mmoja aliyeishi pale lugalo barracks miaka hiyo)
Watu wanazikwa wakiwa hai jaman [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Niko full loaded, helmet, silaha za kivita wache waje maana sina nia mbaya hawa wakwe zangu
Mkuu, una pointi!

Inawezekana hata Yesu zile siku tatu alikuwa amezimia tu...

Kama wangemzika kwa kumfukia kwa mchanga pengine asingeinuka!

Au wewe unaonaje hiyo..?!
 
Zanzibar ukifa labda usiku ndo utapumnzika ila ufe alfajiri asabuhi mapema sana tayari ushafukiwa ila ni amri ya dini inasema hvyo.
Sio Zanzibar tuu sehemu zenye Waislamu ambao wanafuata Uislamu haswaa ata Usiku unazikwa
 
Dah yni Makafiri yatabaki na chuki mpk mwisho wa dunia
haya tueleze andiko linalosema ivo?
Mkuu hata kama uislam una madhaifu kiasi gani ila kitendo cha upande wa pili kufungusha ndoa za jinsia moja tena kwenye nyumba za ibada ni cha kipuuzi ila hawakiongelei wanakuja na mada za kuzika watu.
 
Ila wakristo pamoja na kuchelewesha kuzika ila mwili si unakuwa kwenye friji tayar, sasa hiyo chafya hata ukiipiga ndani ya friji kunakuwa na faida gani.
 
Back
Top Bottom