Huenda kuna waislam wengi duniani wameshazikwa wakiwa hai

Huenda kuna waislam wengi duniani wameshazikwa wakiwa hai

Sio kweli,umedanganywa na aliyeakuambia.Hakuna Muislamu anayefariki bila kuitwa daktari,kuthibitisha kifo,hata akifia nyumbani,lazima ataitwa Daktari athibitishe,kama kaanguka ghafla lazima atapelekwa hospital,kule ndio wanaambiwa na Doctor huyu ameshafariki.Kunapatikana ushahidi wa kupata karatasi,itakayopelekwa kwenye usajili wa vifo na vizazi,ili kupata cheti cha kifo.
Mara nyingi kwenye vijiwe vya Pombe za kienyeji huwa mnadanganywa,mambo mengi kuhusu uislamu.Ni dini pekee duniani,kiongozi wake ,amehimiza kujitibu,kwenda hospital,kutafuta matibabu,kwa kuandikwa katika vitabu vya dini ya kiislamu kwa ushahidi wa Maandishi.Pia ni dini pekee,duniani inayohimiza kutafuta elimu,popote na ya aina yoyote.
Njoo huku bara sio huko zenji ukipiga filimbi mji mzima unasikia,huku bara kuna vijiji mpaka uifikie hospitali ni km kadhaa,sasa nikikutikisa mara tatu ukakausha mi napiga yowe tunakupiga chepe fasta.
 
Njoo huku bara sio huko zenji ukipiga filimbi mji mzima unasikia,huku bara kuna vijiji mpaka uifikie hospitali ni km kadhaa,sasa nikikutikisa mara tatu ukakausha mi napiga yowe tunakupiga chepe fasta.
Huko Vijijini unakosema,kuna watu wataalamu,na hawakusomea mambo ya afya,lakini wamerithi kutoka mababu na mababu,kuanzia kutibu,dawa,uuguzaji,ukunga wa jadi,hao watu wakiwa ni dini tofauti.Tanzania bara hakuna familia ya kiislamu,isiyohusiana na ukristo,Mpaka waarabu wapo wenye ndugu ni wakristo,wenyeji.
Ukiangalia kwenye ukunga,wapo wakunga wa jadi,ambao wanazalisha wanawake Vijijini Bila kujali ni wa dini gani,na wakunga walikuwako toka enzi za mabibi na mababu.Na ndio hivyo hivyo wataalamu,wanaojuwa kama mtu amefariki au bado,bila kujali,anayepima ni wa dini gani na anayepimwa ni wa dini gani.
 
Mkuu kuna vitu vingi sana hujui kwenye mazishi ya waislamu, achana navyo, wenyewe watakupiga mawe.
Najua waislam hawapendi dini yao ijadiliwe ila wawe wapole tu tueleweshane
 
Huko Vijijini unakosema,kuna watu wataalamu,na hawakusomea mambo ya afya,lakini wamerithi kutoka mababu na mababu,kuanzia kutibu,dawa,uuguzaji,ukunga wa jadi,hao watu wakiwa ni dini tofauti.Tanzania bara hakuna familia ya kiislamu,isiyohusiana na ukristo,Mpaka waarabu wapo wenye ndugu ni wakristo,wenyeji.
Ukiangalia kwenye ukunga,wapo wakunga wa jadi,ambao wanazalisha wanawake Vijijini Bila kujali ni wa dini gani,na wakunga walikuwako toka enzi za mabibi na mababu.Na ndio hivyo hivyo wataalamu,wanaojuwa kama mtu amefariki au bado,bila kujali,anayepima ni wa dini gani na anayepimwa ni wa dini gani.
Huyo wa jadi ana limit kuna vitu lazima utumie vipimo vya hospitali sio kwa sababu moyo haudundi au umekuwa wa baridi au jiicho jeupe,kuna minor chances ukawa bado hai
 
Huyo wa jadi ana limit kuna vitu lazima utumie vipimo vya hospitali sio kwa sababu moyo haudundi au umekuwa wa baridi au jiicho jeupe,kuna minor chances ukawa bado hai
Hayo ya wakunga wa jadi,kupata mafunzo ya hospital,ni miaka karibuni,lakini enzi za miaka 1980,kurudi nyuma ilikuwa hakuna mafunzo yoyote ya kiafya wanapewa,wala vifaa vya kisasa ilikuwa hakuna,mafunzo yalianza baada ya kuja gonjwa la ukimwi. kwa hiyo,wazazi cha nyuma ya miaka ya 1980 walizalishwa na wakunga wajadi waliokuweko Vijijini na mijini bila mafunzo yoyote ya afya.
 
Najua waislam hawapendi dini yao ijadiliwe ila wawe wapole tu tueleweshane
Mkuu hawa watu kabla hawajazika wanakamua mavi maiti ili kumtakasa, sasa wanawezaje kuwazika watu wazima? Ujue mfu anakamuliwa kisawasawa!!!
 
Najua waislam hawapendi dini yao ijadiliwe ila wawe wapole tu tueleweshane
Ukisema hivyo unakuwa unakosea, unaweza kuuliza lolote kama ikiwa lengo lako ni kufahamu na utafahamishwa, ila kuhukumu kwa mawazo yako tena jambo usilolijua hapo unakosea.

Ukisoma comments nyingi utaona watu wanachanganya mambo mawili, baina ya kuthibitisha kifo na suala la kuwahi kuzika.

Ni kweli waislamu tunautaratibu wa kuwahi kuzika, but what difference does it make, hata kama tungekuwa tunachelewesha kuzika, ikiwa imethibitishwa huyo mtu ameshakufa?

Hivyo kama kunauwezekano wa mtu kuzikwa hai basi tatizo lipo kwenye kuthibitisha kifo na sio kwenye muda gani huyo mtu atazikwa.

Na kwa hapa ndio useme waislamu tunatumia njia gani( yenye mapungufu) na wasio waislamu wanatumia njia gani( iliyokamilika) kuthibitisha kifo?
 
Na ili kusema kuchelewa kuzika kunaweza kuthibitisha kama kweli mtu amekufa au la
Basi ingelazimu mpaka Sasa tuwe tumeshuhudia watu wengi wamezinduka baada ya kudhaniwa wamekufa baada ya kucheleweshwa kuzikwa.

Hii huwenda ingekuwa hoja kuwa basi waislamu tunakosea zaidi maana tunawahi kuzika.

Lakini hatuoni watu wakizinduka, pamoja na kwamba watu wanachelewesha kuzika.

Lakini hii nayo inaturudisha pale pale kuwa tatizo lingekuwepo kwenye kuthibitisha kifo na sio muda gani mtu atazikwa baada ya kufa.
 
Mhh huwa si anakamuliwa nnya kabla hajazikwa.

Muda wa kukamuliwa nnya ndio muda pekee wa kufufuka /kushtuka
 
Na ili kusema kuchelewa kuzika kunaweza kuthibitisha kama kweli mtu amekufa au la
Basi ingelazimu mpaka Sasa tuwe tumeshuhudia watu wengi wamezinduka baada ya kudhaniwa wamekufa baada ya kucheleweshwa kuzikwa.

Hii huwenda ingekuwa hoja kuwa basi waislamu tunakosea zaidi maana tunawahi kuzika.

Lakini hatuoni watu wakizinduka, pamoja na kwamba watu wanachelewesha kuzika.

Lakini hii nayo inaturudisha pale pale kuwa tatizo lingekuwepo kwenye kuthibitisha kifo na sio muda gani mtu atazikwa baada ya kufa.
Kwa ufupi africa sub sahara countries kuna wachache wetu hudhaniwa tumekata roho hata kama bado sababu ya kukosa wataalamu wa huduma za afya karibu bila kujali ni waislam au wakristo
 
Si vyema kukashifu imani za wengine mkuu
Usiuchukulie huu uzi katika mlengo wa kidini bali katika muktadha wa kuwahi kuzikana na kukosa watalam wa kuthobitisga kifo.iwe mkristo au miislami
 
Kuna shoga yangu nahisi walimuwahisha mochwari, alikuwa anaumwa kidogo tu anatapika, usiku akazidiwa akiwa kwa mama yake, akawa anashindwa kulala kitandani wakamshushia godoro chini, mama yupo anasali huku anampigia mme wake ambae yupo ubungo na wengine.

Mama huku anampigia dereva aje wamuwahishe hospital, dereva yuko club hapokea hata simu, mama anampigia jirani ambae hupo hapa hapo masaki awahishe gari, mama hawezi endesha ni mzee, wakati mama anafanya mawasiliano dada wa kazi kamshikilia shoga yangu, na alivyokuwa kibonge, pande la mdada mmmh ,mara akamuomba dada wakazi maji, dada wa kazi kumpa maji meno yameishashikana, mara dada wa kazi akasikia shoga yangu kapumua kwa nguvu saana hakupumua tena akaona mikono imelegea na kijitupa pembeni.

Upimaji wa kibongo ni kubinus jicho na kushika mspigo ya mikono na kugusa kifuani kamaliza.

Fasta wote walopigiwa simu walifika kwa pamoja wanakuta mtu hajitikisi tena, beba hivyo hivyo hospital, wakasema ashakufa na muda huo huo kawekwa mochwari.

Wasiwasi wangu ni alivyokuwa kibonge na pressure alokuwa nayo wenda alikuwa hajafa sana, barafu ikammalizia.
Pole sana. Wenda alikuwa kada kweli au la.
Bado tuna amin moyo kusimama ndio kufa ila ipo siku moyo kusimama hairatumika kama kigezo pekee cha kuthibisha kifo.
 
Na ili kusema kuchelewa kuzika kunaweza kuthibitisha kama kweli mtu amekufa au la
Basi ingelazimu mpaka Sasa tuwe tumeshuhudia watu wengi wamezinduka baada ya kudhaniwa wamekufa baada ya kucheleweshwa kuzikwa.

Hii huwenda ingekuwa hoja kuwa basi waislamu tunakosea zaidi maana tunawahi kuzika.

Lakini hatuoni watu wakizinduka, pamoja na kwamba watu wanachelewesha kuzika.

Lakini hii nayo inaturudisha pale pale kuwa tatizo lingekuwepo kwenye kuthibitisha kifo na sio muda gani mtu atazikwa baada ya kufa.
Na cha kushangaza huyu anayecheleweshwa kuzikwa sio kwamba kawekwa sehemu anapewa huduma ili azinduke bali yupo kwenye friji..sasa sijui atazindukaje wakat yupo kwenye friji
 
Ni utaratibu mzuri sana wa kuwahi kuzikana, ukikata moto asubuhi mchana tunazika

Ila nina hakika kuna watu wengi wameshazikwa Ili hali wakiwa wamezimia au wakiwa kwenye coma, hasa vijijini pasipo na hospitali na daktari wa kuthibitisha kifo.

Kuchelewa kuzika ni mbaya ila ina faida zake, maiti inaeza kupiga chafya. Mwaka 2012 mchezaji Fabrice muamba wa bolton wakicheza dhidi ya spurs alianguka uanjani na moyo wake ulisimama kwa dakika 78.

Referee howard webb aliahirisha mechi huku machozi yakimtoka, uwanja mzima ni huzuni madaktari wa kizungu na kudra za Mungu jamaa akaamka bwana na kustaafu mpira rasmi.

Angekuwa Afrika tungeshamsahau na mke wake angekuwa single mother tayari, ila jamaa anakula bata tu.
Hata Yesu Alayhi Salaam ushahidi wote wa ndani ya Biblia unaonesha alipoingizwa ndani ya "chumba" au pango (sepulcher) cha kuzikiwa alikuwa yu hai. Maana hata kina Mary Magdalene alipokuja kuhakikisha, likathibitika hilo. la kuwa yu hai. Anaebisha hili asikurupuke, ni kwa ushahidi kabisa wa Biblia.


Kwa ufupi, unalosema linawezekana kwa sababu tofauti, kuna kesi nyingi za watu, hata madaktari wanahakikisha kafa, lakini bado yu mzima.
 
Kabisa hilo nakubaliana na wewe

Tena kwa africa ndio usiseme tumezika wagonjwa wengi sana waliozimia

Taarifa ya mtu kufa inatangazwa asubuhi kua mgonjwa amekufa alfajiri halafu saa 7 mchana watu wanapanga reli
Vipi tunathibitisha kwamba mtu kafa sasa tumzike ?
 
Na cha kushangaza huyu anayecheleweshwa kuzikwa sio kwamba kawekwa sehemu anapewa huduma ili azinduke bali yupo kwenye friji..sasa sijui atazindukaje wakat yupo kwenye friji
Vijijini hakuna mafriji huko
 
Kwa ufupi africa sub sahara countries kuna wachache wetu hudhaniwa tumekata roho hata kama bado sababu ya kukosa wataalamu wa huduma za afya karibu bila kujali ni waislam au wakristo
Sahihi, hivyo inabidili ili suala litazamwe kwa umakini ili kuepusha maafa kama haya.

Maana kumzika mtu ikiwa bado hajafa kabisa sio jambo dogo.
 
Back
Top Bottom