Huenda kuna waislam wengi duniani wameshazikwa wakiwa hai

Hizo ni fikra potofu, ukizikwa mzima uelewe kua ndio majaaliwa yako au ndio njia uliyojichagulia ukiwa hai.

Jifikirie wewe mwenyewe kwanza, hivi sasa unafanya nini ili usizikwe ukiwa mzima? Wengi wenu mnajizika wenyewe mkiwa wazima bila kujielewa.

Ni vyema ukatoa somo/elimu ili wengi tusijizike wazima bila kujielewa...kama hautojali lete somo tujifunze..
 
Unaweza ukawa sahihi. Nilishawahi shuhudia tukio la jilani yetu binti wa kiislamu akizikwa kwa muda usipoungua masaa mawili tangu afariki baada ya kuanguka alipokua anapika chakula jikoni. Mbaya zaidi hata mama yake aliyekua sokoni hakuwahi kuzika.
Hahahaaaa wazee tupunguze basi uongo hata kama ndio kuponda Uislam isiwe kwa kujitoa ufahamu hivi.
Yaani hapo unamaana kaburi lilishachimbwa na mwili ulishaandaliwa ndani ya muda huo!!?.
 
Unaweza ukawa sahihi. Nilishawahi shuhudia tukio la jilani yetu binti wa kiislamu akizikwa kwa muda usipoungua masaa mawili tangu afariki baada ya kuanguka alipokua anapika chakula jikoni. Mbaya zaidi hata mama yake aliyekua sokoni hakuwahi kuzika.
katika Uislamu Mtu akishakufa hana lake tena duniani anatakiwa aharakishwe kuzikwa hata uyo Mama ake ata angewahi asingemsaidia chochote zaidi ya kulia
 
Mitandao yenyewe ya kwetu huko kuna sehemu mpaka upande juu ya mti ndio mtandao usome. Sasa chini huko itakuwaje?
Sehemu za network shida wazikwe na landline simu za mezani
 
Mtume Muhammad (sala ana amani ziwe juu yake ) ametufundisha kuwa kuna mambo matatu tunatakiwa tuyafanyie haraka, la kwanza ni swala kwa wakati wake , jambo la pili ni katika kuzika na la tatu ni kumuozesha kijana pindi anapotaka kuoa.


Uislamu umekataza MAOMBOLEZO ,kwani huwa yanapelekea kukufuru. So as long as ndugu wa marehemu wameshapata taarifa na wapo au wametoa idhini kuwa azikwe basi maiti itazikwa tu ...unaweza ukafa saa kumi jioni na ukazikwa saa 4 usiku.
 
Ila wakristo pamoja na kuchelewesha kuzika ila mwili si unakuwa kwenye friji tayar, sasa hiyo chafya hata ukiipiga ndani ya friji kunakuwa na faida gani.
Na waje na ushuhuda je kuna mtu ambaye alishafufuka baada ya kukaaa mda mrefu au kuchelewa kuzikwa.
 
Kwenye mchakato wa kuoshwa maiti pia wanakamua tumbo hadi wajiridhishe uchafu wote uliopo tumboni umetoka.
Dah yni mtu kauliza swali jingine ww ata sijui umemjibu nn kma hujui kitu ni bora kunyamaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…