Huenda Kuna watu wanapanga kumwangusha Rais Samia na CCM yake kwani baada ya nauli kupanda kwa 43% sasa gharama za kumwona daktari zapanda kwa 400%

Huenda Kuna watu wanapanga kumwangusha Rais Samia na CCM yake kwani baada ya nauli kupanda kwa 43% sasa gharama za kumwona daktari zapanda kwa 400%


View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,

Basi maadui wa Samia watakuwa ni wenye nguvu sana, hadi wameamsha vita ya Russia na Ukraine na kufanya bei ya mafuta ipande.

Ova
 
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,
Nadhani itarekebishwa hata hivyo
 
Kwa kusema kuna watu wanataka kumuangusha si dhani na kero hizi za gharama za maisha hivi unadhani Raisi wetu hajazisikia…! kwenye maji kuna shida umeme shida yani leo ukilala na umeme basi ujue kesho unalala giza.
 
Back
Top Bottom