Huenda leo ndiyo ukawa mwisho wa Mjadala wa Feitoto kwani anarejea rasmi Yanga SC

Thumb up brother! Navutiwa sana na aina yako ya uandishi. Nadhani waweza kuwa mchambuzi bora wa soka la bongo.
Hamia huko uachane na siasa za soka. Naamini jukwaa hili la soka la bongo litapata mtu sahihi kama tunavyofurahia uwepo wa Mosdef kwenye forum ya Liverpool.
 
Kumbe kutikisa kiberiti ni afya
 
Kuna watu wajanja bwana!! Fei aliwashtukiza wananchi wakati wanajipanga kukutana na AZAM kwa Mkapa!! Hawakutaka tukutane nae kwenye mechi hiyo muhimu akitokea upande wa pili. Akili mu kichwa. AZAM huko ataenda tu si mechi imeshapita na wananchi tulishinda!!! Kongole viongozi wa wananchi!
 
Nchi hii kwenye muziki na mpira hakuna mwenye jeuri ya kuwavimbia wanasiasa wa chama tawala.

Mpka sasa swala la feisal kwenda azam haliwezekani labda wakati ujao.
Siyo mambo ya siasa mkuu, ni jambo la kisheria tu, Azam siyo wajinga kutomtangaza toka last week, wameona grounds za kisheria zipo against wao na mchezaji. Mchezaji kuondoka kwa kununua mkataba ni very complicated ,ingekuwa rahisi kihivyo wachezaji wangekuwa wananunua mikataba yao kila siku. Nashangaa watu wanasema mkataba wa Feisal unamruhusu kulipa Sh. 112 milioni na kuondoka, ni mkataba upi huo, kile kipage kimoja kinachosambaa mtandaoni ndiyo mkataba? Wakubwa walicho mwambia Feisal na mama yake ni kutulia ili kijana asije akapata matatizo ya kufungiwa na FIFA wakati yeye ndiyo sura nzuri ya soka la Zanzibar.
 
Merry Christmas Genta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…