Huenda Lissu akajiengua mapema kabla ya uchaguzi wa CHADEMA kukwepa aibu na fedheha za kushindwa vibaya sana uchaguzi wa ndani wa chama

Huenda Lissu akajiengua mapema kabla ya uchaguzi wa CHADEMA kukwepa aibu na fedheha za kushindwa vibaya sana uchaguzi wa ndani wa chama

Asiyekubali kushindwa siyo mshindani! Lissu hakuomba nafasi hiyo kwa kuamini lazima achaguliwe! Yeye ameomba ridhaa ya wanachadema kuchaguliwa nafasi hiyo.
Kama hakuona fedheha ya kushindwa Urais 2020 leo ndiyo ataona fedheha kukosa Uenyekiti wa Chama?
 
Asiyekubali kushindwa siyo mshindani! Lissu hakuomba nafasi hiyo kwa kuamini lazima achaguliwe! Yeye ameomba ridhaa ya wanachadema kuchaguliwa nafasi hiyo.
Kama hakuona fedheha ya kushindwa Urais 2020 leo ndiyo ataona fedheha kukosa Uenyekiti wa Chama?
Yes,
ameomba kwa tamaa na uchu wa madaraka sana, na kuamua kuuacha umakamu mwenyekiti ambao angeupata kirahisi sana,

hii ndiyo ile inaitwa mtaka yote kwa pupa hukosa yote 🐒
 
Mara paaap FAM kajitoa kwenye kinyang’anyiro….you guys mtakuwa tayari kumpa support TAL? Aibu naona mimi 😂
Gentleman,
kisiasa,
hasa kwa wanataaluma na wabobevu waandamizi wa mambo haya, tutaeleza kinagaubaga athari, faida na matokeo ya hali hiyo,

hatutapoa kwa faida ya wadau wa JF🐒
 
  • Kanda ya Kaskazini, Pwani, Serengeti, Nyanda za Juu Kusini: Hizi ni kanda ambazo zinaweza kuwa na changamoto katika kupata kura, Bwana Lissu.
  • Kura za Huruma: Kanda ya Kati inaweza kupata kura hizi, labda kutokana na sababu maalum kama msaada wa kisiasa au hali ya kiuchumi.
 
ila yeye kaachia bana umakamu uenyekiti kirahisi kabisaa dah..

sifahamu aliemshauri kama bado wako nae pamoja na sielewi walitumia mahesabu gani kuchukua uamuzi ambao unampa mawenge mno saivi dah!

dah,
gentleman,
mambo haya ni kujipanga kwa ustadi wa kiwango cha juu sana lakini pia kua na maono ya mbele zaidi kabla ya kuchukua uamuzi.

Ni muhimu zaidi kama wasomi,
kuasess kwa haraka sana merits na demerits ya maamuzi yetu na kuamua upande wenye faida zaidi 🐒
Lissu ni transformative mpeni nafasi.Kibindamu mbowe kachoka kwa nafasi hiyo huwezi kaa kwenye kiti hicho kwa more than 20years.Hakuna tofauti ya akina kagame,museveni,mbia nk...Lakini muhimu ni kuwa simtapiga kwani nini kelele pigeni kelele kwenye boksi la kura vinginevyo mnakosa uhalali wa kulalamikia CCM kuwaibia kura
 
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote, na usiache mbachao kwa msala upitao.

Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Na ukimya wa chairman Mbowe dhidi yake na uchaguzi kwa ujumla, umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu wanazofanyiwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa, ubaguzi na viashiria na mipango ya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema hii iliyogawanyika.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Utasubiri sana!

Lissu ni sauti ya wasio na sauti
Lissu ni mzalendo
Lissu hanunuliki
Lissu atarudisha nchi kwa wananchi
 
Utasubiri sana!

Lissu ni sauti ya wasio na sauti
Lissu ni mzalendo
Lissu hanunuliki
Lissu atarudisha nchi kwa wananchi
Lissu anatafuta aibu na baada ya kuhesabu kura,atakimbilia Belgium!
 
Utasubiri sana!

Lissu ni sauti ya wasio na sauti
Lissu ni mzalendo
Lissu hanunuliki
Lissu atarudisha nchi kwa wananchi
sina haja ya kusubiri my friend,

ndiyo maana nasema Ukweli mtupu mapema sana, na hata huyo muungwana atajiengua mapema sana, maana ni aibu aise dah 🐒
 
Lissu ni transformative mpeni nafasi.Kibindamu mbowe kachoka kwa nafasi hiyo huwezi kaa kwenye kiti hicho kwa more than 20years.Hakuna tofauti ya akina kagame,museveni,mbia nk...Lakini muhimu ni kuwa simtapiga kwani nini kelele pigeni kelele kwenye boksi la kura vinginevyo mnakosa uhalali wa kulalamikia CCM kuwaibia kura
masula ya chaguzi sio peremende au zawadi anapewa mtu,

uchaguzi ni kura za wajumbe zaidi ya elfu 1000 wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema, kutokana katika kanda 10 za kiutawala Chadema.
Je, unazo kura ngapi hapo?

hiyo ni hisabati muhimu mno kizingatia na sio makelele tupu na kutengemea hisani na pengine huruma 🐒
 
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote, na usiache mbachao kwa msala upitao.

Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Na ukimya wa chairman Mbowe dhidi yake na uchaguzi kwa ujumla, umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu wanazofanyiwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa, ubaguzi na viashiria na mipango ya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema hii iliyogawanyika.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Uchaguzi wa CHADEMA wanaopiga mayowe ni CCM

Nchi ngumu hii
 
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote, na usiache mbachao kwa msala upitao.

Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Na ukimya wa chairman Mbowe dhidi yake na uchaguzi kwa ujumla, umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu wanazofanyiwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa, ubaguzi na viashiria na mipango ya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema hii iliyogawanyika.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Smart by half. Dreams are natural. It ls when you share your dreams when the rest know who is you. Keep on!
 
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote, na usiache mbachao kwa msala upitao.

Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Na ukimya wa chairman Mbowe dhidi yake na uchaguzi kwa ujumla, umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu wanazofanyiwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa, ubaguzi na viashiria na mipango ya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema hii iliyogawanyika.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwako, kushinda ni aibu?
 
Kwako, kushinda ni aibu?
kuanza kuweka masharti mapema dhidi ya uchaguzi wenyewe ni aibu zaidi na ni ishara ya kuaga mashindano mapema au kukiri kushindwa uchaguzi huo 🐒
 
Smart by half. Dreams are natural. It ls when you share your dreams when the rest know who is you. Keep on!
thinking about motion or me personally its your free decion gentleman,

but the truth must be told without permission from anyone 🐒
 
Back
Top Bottom