Huenda mabadiliko makubwa yakafanywa ndani ya Serikali muda mfupi ujao. RAS, DCs, DAS, DEDs baadhi yenu mmekuwa mizigo kwa nchi

Looooooo na nyadhifa zote ulizoziorodhesha hapo juu zinateuliwa na our no 1?,ndio maana katiba mpya ni muhimu, President ateue cabinet yake tu,CEOs wengine wa serikali waombe, nchi ibakiwe na mikoa 15 tu,na wilaya 45 tu, wizara 15 tu
Haya Ndio mawazo ya CHADEMA?
 
Haya Ndio mawazo ya CHADEMA?
Pumbavu wewe,nani kakuambia kuwa Nkanini ni spokesman wa CDM!,humu kuna wadau wanaochangia mada, na kila mtu ana mawazo yake, na mawazo yanapotofautiana ndio uzuri wa mjadala
 
Pumbavu wewe,nani kakuambia kuwa Nkanini ni spokesman wa CDM!,humu kuna wadau wanaochangia mada, na kila mtu ana mawazo yake, na mawazo yanapotofautiana ndio uzuri wa mjadala
Daaah
 
Hiki bwawa la mwl Nyerere mje mniambie likiw tayar ujazo 80% nazn ntakuw babu tayar
 
Hii ngoma lini inawaka?!
 
 
Yaweza kuwa hoja ya kuwamaliza masalia na kujenga mtandao tata mpya
Mama Tozo inaelekea kasahau ahadi zake.. iweje toka alivyoahidi kula vichwa vya waramba asali mpaka leo jii? Inabidi wamkumbushe na wafinye safari zake sasa ili asije kufanya mabadiliko mwakani 2023
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…