Pre GE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

Pre GE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
SIWEZI KUKULAUMU
 
Yaa
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Yaani Urais siku hizi ni li cheo la hovyo sana.
2015 Mark MWANDOSYA alisema "ikiwa J Makamba ameingia top 3,basi CCM ijitafakari.

Sasa kwa orodha za namna hii ni kweli CCM ilishakosa uwezo wa kuiongoza Tanganyika ila sema tu kuwa moshi wa kile kibatari utakuwa una nguvu za kuwatuma policcm na kufanya wanayofanyaga.

Rais anaandaliwa,matatizo ya kuto muandaa vyema Rais tumeyaona 2015-2021-2024 sasa.
Kwenye orodha yako hakuna na hayupo anayeandaliwa.
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Simuoni Paul Christian Makonda. Hii orodha ni batili.
 
Namba 1 hadi 5 alipaswa kuwa mtu mmoja tu, Dotto Mashaka Biteko. Hao wengine wote ni majina tu umetumia kujaza orodha.

Mtu kama Kafulila au Polepole nao wa kuwaweka kwenye list? Iko wazi Waziri Mkuu ajaye ni Biteko na Rais ajaye ni yeye pia.

Ova
YUPO chini ya uangalizi juu ya URAIA WAKE ASILI YAKE,hawezi pewa hiyo nafasi,Hawa ndo walosemwa na BOSI MMOJA WA CHOMBO CHA ULINZI mabakamabaka, HATUWEZI KUWEKA REHANI NCHI.

2025 Anakuja candidate mwingine, MAMA analiwa timing na team flani mbili ndani ya Chama.

🤔🤔
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Hayo mabumunda yatapitiswa kuongoza tz ipi ??
Labda ikiwa hakutakuwa na uchaguzi watapitishwa

Hi mnawaona watz mafala sana
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Labda Mwamba Mwigulu hao wengine wasahau
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Gen. Venancy Salvatory Mabeyo, Emanuel Nchimbi, Paul Christian Makonda and Hussein Mwinyi are the ones who will be factors complicating presidential hopefully equations come 2030🐒

the ones you mentioned in the list, are may be for vice president and prime ministers capacities,

you must also consider gender equality becoz that is another complication we have as far as 2030 elections is concerned 🐒
 
Namba 1 hadi 5 alipaswa kuwa mtu mmoja tu, Dotto Mashaka Biteko. Hao wengine wote ni majina tu umetumia kujaza orodha.

Mtu kama Kafulila au Polepole nao wa kuwaweka kwenye list? Iko wazi Waziri Mkuu ajaye ni Biteko na Rais ajaye ni yeye pia.

Ova
Amka kwenye hiyo ndoto.

Sukuma gang mnashida sana! Hamjakoma tu?
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Apewe Nchi Kassim Majaliwa
 
Back
Top Bottom