Pre GE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

Pre GE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Naunga mkono Na.1,5 (kidogo sana),6(kidogo), 9,11 na 12.
Wengine hao hapana.
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
January Makamba ni raisi 2030-2040. Ndio maana kapewa mambo ya nje aanze kujinoa kidiplomasia. Hapo pm wake Atakua Mwigulu Nchemba. Hizo Nakupa za ndaaaani kabisa 😂️😂️😂️😂️
 
January Makamba ni raisi 2030-2040. Ndio maana kapewa mambo ya nje aanze kujinoa kidiplomasia. Hapo pm wake Atakua Mwigulu Nchemba. Hizo Nakupa za ndaaaani kabisa 😂️😂️😂️😂️
Rais wa Tanzania anawekwa na Mungu tu
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
12 Mafisadi watakimbia nchi
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Wamuweke Kassim Majaliwa Pia hapo
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Nchimbi sawa
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Ni mpaka wawe hai sasa, 2030 mbali mno
 
Namba 9 na 11 kdg naona wana 'viashiria vyema' tofauti na wengine hapo!
wawili wana harufu kali sana ya ufisadi na rushwa na maadili hawana.
Wengine hawana karama na sifa za uraisi
Mavunde bado mchanga sana!
 
Back
Top Bottom