Pre GE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

Pre GE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson
ngu
6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Mwakani hakuna uchaguzi mkuu?
mmeandikishiana mkataba wa pumzi na Mungu?
Katiba ilibadilishwa lini kuwa miaka 10?
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Tujadili 2025
30 ni mbali sana
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Mhe Antony Peter Mavunde

3. Mhe Juma Hamidu Aweso

4. Mhe Mohamed Mchengerwa

5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu

6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo

7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba

8. Mhe January Yusuph Makamba.

9. Mhe Luhaga Mpina

10. Mhe Jerry William Silaa

11. Mhe Emmanuel Nchimbi

12. Mhe David Zacharia Kafulila​
Kwamba hakutakuwa na upinzani na upinzani hautashinda?
Kwamba lazma CCM washinde?
ACT,NCCR au CUF hawawezi kushinda?
 
Namba 1 hadi 5 alipaswa kuwa mtu mmoja tu, Dotto Mashaka Biteko. Hao wengine wote ni majina tu umetumia kujaza orodha.

Mtu kama Kafulila au Polepole nao wa kuwaweka kwenye list? Iko wazi Waziri Mkuu ajaye ni Biteko na Rais ajaye ni yeye pia.

Ova
Hakika huyu ndie chaguo la Mungu.
Na iwe ivyo Kwa Kadir yake Muumba
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Unachekesha wewe. Wananchi wanataka mama aachie kiti 2025 wewe unasema 2030? Utakua unapima upepo. Watz wanataka kiongozi atakayeendeleza sera na msimamo wa kimagufuli. Kama ccm haiko tayari kuwapatia kiongozi kama huyo watampata chama kingine. Mark my word.🏋️
 
Namba 1 hadi 5 alipaswa kuwa mtu mmoja tu, Dotto Mashaka Biteko. Hao wengine wote ni majina tu umetumia kujaza orodha.

Mtu kama Kafulila au Polepole nao wa kuwaweka kwenye list? Iko wazi Waziri Mkuu ajaye ni Biteko na Rais ajaye ni yeye pia.

Ova
Dotto Biteko ana changamoto za Kiuhamiaji. Nafasi alizoshika sasa ndiyo za mwisho
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Herson Polepole

2. Mhe Antony Peter Mavunde

3. Mhe Juma Hamidu Aweso

4. Mhe Mohamed Mchengerwa

5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu

6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo

7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba

8. Mhe January Yusuph Makamba.

9. Mhe Luhaga Joelson Mpina

10. Mhe Jerry William Silaa

11. Mhe Emmanuel John Nchimbi

12. Mhe David Zacharia Kafulila​
Hao wote hapana, anaweza kuwa MSAKILA KABENDE
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Herson Polepole

2. Mhe Antony Peter Mavunde

3. Mhe Juma Hamidu Aweso

4. Mhe Mohamed Mchengerwa

5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu

6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo

7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba

8. Mhe January Yusuph Makamba.

9. Mhe Luhaga Joelson Mpina

10. Mhe Jerry William Silaa

11. Mhe Emmanuel John Nchimbi

12. Mhe David Zacharia Kafulila​
Hapo kuna jina moja tuu, na jingine halipo.
1. Mkumbo
2. SimbaChawene
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Herson Polepole

2. Mhe Antony Peter Mavunde

3. Mhe Juma Hamidu Aweso

4. Mhe Mohamed Mchengerwa

5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu

6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo

7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba

8. Mhe January Yusuph Makamba.

9. Mhe Luhaga Joelson Mpina

10. Mhe Jerry William Silaa

11. Mhe Emmanuel John Nchimbi

12. Mhe David Zacharia Kafulila​
Hapo hakuna Mtu hata mmoja labda uniambie naibu waziri Mkuu na waziri wa Nishati mbali na hapo ni bora achukuliwe dr. hussein Mwinyi tu hii nchi inataka waadilifu sio mtu kuvaa skafu shingoni na kazi hawezi
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Herson Polepole

2. Mhe Antony Peter Mavunde

3. Mhe Juma Hamidu Aweso

4. Mhe Mohamed Mchengerwa

5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu

6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo

7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba

8. Mhe January Yusuph Makamba.

9. Mhe Luhaga Joelson Mpina

10. Mhe Jerry William Silaa

11. Mhe Emmanuel John Nchimbi

12. Mhe David Zacharia Kafulila​
Ghalasa FC.
 
Twende Na Luhaga Mpina ndiye mzalendo zaidi
Mpina anafaa sana tatizo lake
1.Hajui fitna za kisiasa ,bongo ili ukae lazima uzijue yaan unauma na kupuliza
2.kanyooka mno ,ccm hutoboi kama huwapi hela watu
3.Hana ushawish kabisa hajui kupotray political figure ana behave kama mpinzani
Lakin naamin mungu ana chagua rais kura ni maoni yetu kwake
 
Back
Top Bottom