Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani hakuna uchaguzi mkuu?Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Polepole
2. Antony Mavunde
3. Juma Aweso
4. Mohamed Mchengerwa
5. Tulia Ackson
ngu
6. Kitila Mkumbo
7. Mwigulu Nchemba
8. January Makamba.
9. Luhaga Mpina
10. Jerry Silaa
11. Emmanuel Nchimbi
12. David Kafulila
Mtu ameshindwa kumkontroo mke mmoja ataweza Baraza la mawaziri?Namba 12 kama kweli tunamaanisha
Tujadili 2025Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Polepole
2. Antony Mavunde
3. Juma Aweso
4. Mohamed Mchengerwa
5. Tulia Ackson
6. Kitila Mkumbo
7. Mwigulu Nchemba
8. January Makamba.
9. Luhaga Mpina
10. Jerry Silaa
11. Emmanuel Nchimbi
12. David Kafulila
Kwamba hakutakuwa na upinzani na upinzani hautashinda?Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Hakika huyu ndie chaguo la Mungu.Namba 1 hadi 5 alipaswa kuwa mtu mmoja tu, Dotto Mashaka Biteko. Hao wengine wote ni majina tu umetumia kujaza orodha.
Mtu kama Kafulila au Polepole nao wa kuwaweka kwenye list? Iko wazi Waziri Mkuu ajaye ni Biteko na Rais ajaye ni yeye pia.
Ova
Unachekesha wewe. Wananchi wanataka mama aachie kiti 2025 wewe unasema 2030? Utakua unapima upepo. Watz wanataka kiongozi atakayeendeleza sera na msimamo wa kimagufuli. Kama ccm haiko tayari kuwapatia kiongozi kama huyo watampata chama kingine. Mark my word.🏋️Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Polepole
2. Antony Mavunde
3. Juma Aweso
4. Mohamed Mchengerwa
5. Tulia Ackson
6. Kitila Mkumbo
7. Mwigulu Nchemba
8. January Makamba.
9. Luhaga Mpina
10. Jerry Silaa
11. Emmanuel Nchimbi
12. David Kafulila
Mwigulu Nchemba na Januari Makamba HAWANA UWEZO wa kutawala TanzaniaMwigulu nchemba mtoe hapo, hata asilimia moja hapati
Dotto Biteko ana changamoto za Kiuhamiaji. Nafasi alizoshika sasa ndiyo za mwishoNamba 1 hadi 5 alipaswa kuwa mtu mmoja tu, Dotto Mashaka Biteko. Hao wengine wote ni majina tu umetumia kujaza orodha.
Mtu kama Kafulila au Polepole nao wa kuwaweka kwenye list? Iko wazi Waziri Mkuu ajaye ni Biteko na Rais ajaye ni yeye pia.
Ova
Hao wote hapana, anaweza kuwa MSAKILA KABENDEOrodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Dah! ... we've got a very long way to go kwa namna hiiWote Wana sifa, Yoyote kati yao atafaa sana,
Tanzania Rais anachaguliwa na Mungu mwenyewe Wala sio mapesa
Hapo kuna jina moja tuu, na jingine halipo.Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Je una uhusiano na aliyekuwa Askofu wa kwanza mzalendo wa jimbo la Sumbawanga?Hao wote hapana, anaweza kuwa MSAKILA KABENDE
Mama samia anatutosha, ila apate tu nyuma yake mtu mwenye huruma na utu wa kumshauri kutuondolea matozo/makodi/service levy zisizo za lazima.Mwigulu Nchemba na Januari Makamba HAWANA UWEZO wa kutawala Tanzania
Hapo hakuna Mtu hata mmoja labda uniambie naibu waziri Mkuu na waziri wa Nishati mbali na hapo ni bora achukuliwe dr. hussein Mwinyi tu hii nchi inataka waadilifu sio mtu kuvaa skafu shingoni na kazi haweziOrodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Ghalasa FC.Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Mpina anafaa sana tatizo lakeTwende Na Luhaga Mpina ndiye mzalendo zaidi
Bado mchanga kwenye uongoziKama Riz moko hayupo hapo hiyo list ni batili...!