Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Gwaji Boy hayupo kabisa?Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Wait and see. Magufuli mlisema hivyo hivyo na ikawa 😂️😂️😂️January Makamba hawezi kuwa Raisi nchi hii.
Ndio David 😃😃1,2,9,10, 11 Mmoja wapo akitia nia anaweka, wawili kati yao, Ni muhimu " tasisi tawala' kuwasuka zaidi ikiwaridhia, ila tusisahau katika ukoo wa Yese alitoka Mfalme Daudi asiyetazamiwa
Mungu hajishughulishi na mambo ambayo amewapa wanadamu uwezo wa kuamua. MsijidanganyeRais wa Tanzania anawekwa na Mungu tu
Kwani uchaguzi wa 2025 tayari? Je,upinzani hakuna candidate?Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
I concur.Mungu hajishughulishi na mambo ambayo amewapa wanadamu uwezo wa kuamua. Msijidanganye
Uwezo wa Mungu unaonekana akiamua inawezekana,FA etal 😀😀Ndio David 😃😃
Kwahiyo ACT, Chauma, CUF, Chadema, na vyama vingine havina watu? Sijaona orodha yao.Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Kwa ccm hata Mbwa anaibiwa kura na kuwa mheshimiwa Rais popi?!!Wote Wana sifa, Yoyote kati yao atafaa sana,
Tanzania Rais anachaguliwa na Mungu mwenyewe Wala sio mapesa
Mbona mafisadi ndo hao umewaweka kwenye orodhaOrodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Akina nani?Mbona mafisadi ndo hao umewaweka kwenye orodha
1-12Akina nani?
Sio kweli1-12
Kwa mtazamo wakoSio kweli