Pre GE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

Pre GE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Kama kweli unataka kufagia wizi na Ufisadi kwa kiwango kikubwa namba 12 hakwepeki.
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Naona unawakampenia kijanja baadhi ya watu.

Majina ya Polepole na Mpina umeyatumbukiza ili kuhadaa watu lakini sii kusudio lako.

Kukusaidia na unafiki wako hao wote uliowataja isipokuwa hawa wawili hawafai hata kuwepo katika nafasi wanazizishikila kwa sasa .
 
USHINDWE UKISHASINDWA ULEGEE UKISHALEGEA UKOME UKISHAKOMA UFUNGE DOMO LAKO.

Magarasa yako hayo labda yakaongoze ukoo wenu
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
😂😂😂😂😂😂😂😂 Yani hapo angekua KASSIM MAJALIWA angalau ningesapoti list.
Ila hao waliobaki ushuzi + kinyesi.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂 Yani hapo angekua KASSIM MAJALIWA angalau ningesapoti list.
Ila hao waliobaki ushuzi + kinyesi.
Sasa PM Leo ana 60'S mpaka 2030 àtakuwa karibu na 70's apewe miaka 10 tena yaani amalize na 80s nadhani kazi aliyoifanya ni kubwa sana
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Namba 5 na namba 7 Mungu atuepushe na hizo balaa. Manaa kwa nafasi walizo nazo kwa sasa hawazitendei haki, je wakipewa uraisi?
 
Hakuna hata mmoja hapo,na nikuambie tu 50% ya hao ikifika mwaka 2030 hawatakuwepo watakuwa wametangulizana kuzimu.
Halafu kwanini uongelee kumrithi mama yenu 2030 wakati mwakani hatoboi...
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Safi,Nchimbi na Kafulila ni wanademokrasia
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Mtoe Mwiguru haraka sana
 
Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.

Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.


1. Hamprey Polepole

2. Antony Mavunde

3. Juma Aweso

4. Mohamed Mchengerwa

5. Tulia Ackson

6. Kitila Mkumbo

7. Mwigulu Nchemba

8. January Makamba.

9. Luhaga Mpina

10. Jerry Silaa

11. Emmanuel Nchimbi

12. David Kafulila​
Sasa Si Mpaka wamrithi?
 
Back
Top Bottom