Huenda ni mwanamke 1 kati ya 10 ndio amewahi kufika kileleni kwa Dar es Salaam

Huku kwetu usukumani

Sio wanawake wote wanatoka nje ya ndoa na pia sio wanawake wote ni malaya kama huko daslam. Acha kufanya GENERALIZATION
Endelea kujidanganya, kuchepuka si malaya ila anashindwa kujizuia maana unakuta mwanamke yupo ovulation, mwanaume unalala na jeans eti una mawazo , sasa ulimuoa wa nini?
 
Hayo mengine mwanamke hataki, nyumba Masaki, Gari , Vaccation Dubai na credit card utampa ila kama humfikishi siku akipata hata mkata majani hapo kwako atagongwa kwenye banda la ngombe.
Si kweli. Kama hajawahi kufikishwa kileleni, au ulimuoa akiwa bikira, na sasa ndio mke wako, hawezi kutamani jambo asilolijua. Utasemaje natamani kula numbu za Kigoma wakati numbu hujui zina radha gani?

Sasa mnaelewa kwa nini mababu zetu walisema ni muhimu sana mwanamke aolewe akiwa bikira!

Shauri yenu mliooa watu wamefikishwa kila kilele, Kibo, Mawenzi, Everest, Mount Kenya, etc, halafu nyie mnawapandisha Kilimani tu hapo UD!
 
Watoto wa shule ya msingi wanafahamu haya mambo , na hawajawahi kufanyana ila wakipiga story wanakwambia " mimi nataka mwanaume anayekwenda raundi tatu" sasa wewe jidanganye na bikra wako hapo ufikiri kama huko shule, saluni, kuchota maji, nyumba ya kupanga hawaambiani!
 
Kama unafikiri raundi sita ndio zinafikisha kileleni sawa, njoo tu, tunakusubiri huku kwenye umri wa after 30 tuone hizo round sita zako zimefikia wapi!

Wenzako tulishajifunza jinsi roundi moja tu mwanamke hana hamu hadi wiki ijayo!
 
Kama unafikiri raundi sita ndio zinafikisha kileleni sawa, njoo tu, tunakusubiri huku kwenye umri wa after 30 tuone hizo round sita zako zimefikia wapi!

Wenzako tulishajifunza jinsi roundi moja tu mwanamke hana hamu hadi wiki ijayo!
Life style yako tu , nina mjukuu na bado nafikishwa raundi tatu ,acheni uvivu.
 
kwa kask. wakali wa hizo kuunganisha ni sisi wameru, hata wamasai na wapare. wachaga hamna mambo.
 
Ndoa nyingi tuu zinadumu bila kutoa maji kwahyo huna hoja ya msingi kiukweli,na kama kunawanawake wanawaacha wanaume kwa sabab hii💀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…