Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Yego mkayeneki na Machumu go?Huyu naye ni boga tu, anapewa umaarufu wa bure.....
Huyu alikuwa anakaanga samaki sokoni, akajua vifungu viwili vya biblia kawa askofu.
Na ile misuti yake ya kushona kwa fundi mwanzalima chini ya muembe, hovyo kabisa
Unalolijua wewe ni kipi kuhusu maswali aliyouliza hapo utupatie majibu?Hajui analoliongea huyu askofu.
Lakini alichokisema ni kweli au siyo kweli?Huyu naye ni boga tu, anapewa umaarufu wa bure.....
Huyu alikuwa anakaanga samaki sokoni, akajua vifungu viwili vya biblia kawa askofu.
Na ile misuti yake ya kushona kwa fundi mwanzalima chini ya muembe, hovyo kabisa
Sahihi.kumkamata ni kumsumbua tu... wajibu maswali yake tu, ndio namna bora ya kumnyamazisha.
HOJA IJIBIWE SIYOHuyu naye ni boga tu, anapewa umaarufu wa bure.....
Huyu alikuwa anakaanga samaki sokoni, akajua vifungu viwili vya biblia kawa askofu.
Na ile misuti yake ya kushona kwa fundi mwanzalima chini ya muembe, hovyo kabisa
Duh! Huyu Askofu kweli kapitiliza na amekithiri viwango. Hii ndo hasara ya kukosa japo Elimu ya wastani tuu.Huenda hotuba hii ya Askofu Mwanamapinduzi ndio chanzo cha yeye kukamatwa na Polisi.
=======
Askofu Machumu: Chini ya Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, yeye ndio ameamua rasmi kuiuza Tanganyika, naomba iwe wazi hiyo. Yeye ameamua rasmi kuiuza Tanganyika kuanzia bandari zake, misitu, mapori yake tena ameuza kwa waarabu.
Kama wanadai nimesema uongo, watuambie ile mikataba waliofanya kule Dubai, mikataba 39 inahusu nini?
Tumewekewa mikataba miwili, mkataba wa kwanza, mkataba wa bandari. Ule mkataba wa bandari ukiusoma, unasema kwamba bandari zinakabidhiwa kwa waarabu mpaka shughuli za bandari zitakapoisha maana yake ni kwamba mpaka Yesu arudi.
Tunauliza, ni kwa shilingi ngapi hatuambiwi. Magufuli alipoingia madarakani alikuta mkataba mmoja wa kuuza bandari ya Bagamoyo. Bandari ile ilikuwa inakabidhiwa kwa wachina kwa miaka 99 ila watajenga wenyewe.
Akasema mkataba huu, mtu yeyote anayetaka kuingia mkataba huu lazima kwanza awe chizi na mwendawazimu.
Sasa mama Samia nitafutieni jina la kumpa maana kama ni uchizi ameshazidi hapo. Ameuza bandari sio moja, ameuza bandari 54 za Tanganyika za kwenye bahari mpaka maziwa, kwa miaka mingapi hatujui, kwa shilingi ngapi hatujui!
Mimi nawaambia ukweli, mama huyu tumalizane naye safari hii, tumalizanane naye Serikali za mtaa, msichague chama chake. Mkichagua CCM atapata nguvu ya kugombea, kama amewauza kwenye awamu yake ya kwanza, awamu ya pili atawafanyaje!
Pia soma:
Singida: Baba Askofu Machumu akamatwa kwa Uchochezi
Huenda hotuba hii ya Askofu Mwanamapinduzi ndio chanzo cha yeye kukamatwa na Polisi.
=======
Askofu Machumu: Chini ya Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, yeye ndio ameamua rasmi kuiuza Tanganyika, naomba iwe wazi hiyo. Yeye ameamua rasmi kuiuza Tanganyika kuanzia bandari zake, misitu, mapori yake tena ameuza kwa waarabu.
Kama wanadai nimesema uongo, watuambie ile mikataba waliofanya kule Dubai, mikataba 39 inahusu nini?
Tumewekewa mikataba miwili, mkataba wa kwanza, mkataba wa bandari. Ule mkataba wa bandari ukiusoma, unasema kwamba bandari zinakabidhiwa kwa waarabu mpaka shughuli za bandari zitakapoisha maana yake ni kwamba mpaka Yesu arudi.
Tunauliza, ni kwa shilingi ngapi hatuambiwi. Magufuli alipoingia madarakani alikuta mkataba mmoja wa kuuza bandari ya Bagamoyo. Bandari ile ilikuwa inakabidhiwa kwa wachina kwa miaka 99 ila watajenga wenyewe.
Akasema mkataba huu, mtu yeyote anayetaka kuingia mkataba huu lazima kwanza awe chizi na mwendawazimu.
Sasa mama Samia nitafutieni jina la kumpa maana kama ni uchizi ameshazidi hapo. Ameuza bandari sio moja, ameuza bandari 54 za Tanganyika za kwenye bahari mpaka maziwa, kwa miaka mingapi hatujui, kwa shilingi ngapi hatujui!
Mimi nawaambia ukweli, mama huyu tumalizane naye safari hii, tumalizanane naye Serikali za mtaa, msichague chama chake. Mkichagua CCM atapata nguvu ya kugombea, kama amewauza kwenye awamu yake ya kwanza, awamu ya pili atawafanyaje!
Pia soma:
Singida: Baba Askofu Machumu akamatwa kwa Uchochezi
Tutaona idadi ya maskofu wakipanda majukwaani inaongezeka, wakishaona hijab wanaumia, wakati wa Magufuli , Mkapa hatukuona haya, tulianza wakati wa mwinyi
Why are you 😠Huyu naye ni boga tu, anapewa umaarufu wa bure.....
Huyu alikuwa anakaanga samaki sokoni, akajua vifungu viwili vya biblia kawa askofu.
Na ile misuti yake ya kushona kwa fundi mwanzalima chini ya muembe, hovyo kabisa
Yego chikakaYego mkayeneki na Machumu go?
Uzuri sasa ni kwamba watu watasikia yasemwayo na kuamua wenyewe ukweli wanaouamini. Hapo hakuna cha suti wala kukaanga samaki; wala kuendesha ki-ngo mshamba!Huyu naye ni boga tu, anapewa umaarufu wa bure.....
Huyu alikuwa anakaanga samaki sokoni, akajua vifungu viwili vya biblia kawa askofu.
Na ile misuti yake ya kushona kwa fundi mwanzalima chini ya muembe, hovyo kabisa
EEEeeeeNHEEEeeee!Kuna wajinga kuwajibu ni kujichosha tu.
Mwaksyanaki na Machumu saja?Yego chikaka
Kipindi cha Mwendazake hawa wachungaji wanaharakati walikuwa wapi [emoji3][emoji3][emoji3]Huyu naye ni boga tu, anapewa umaarufu wa bure.....
Huyu alikuwa anakaanga samaki sokoni, akajua vifungu viwili vya biblia kawa askofu.
Na ile misuti yake ya kushona kwa fundi mwanzalima chini ya muembe, hovyo kabisa
Tija ya uwekezaji wa hapo bandarini haikwepeki.EEEeeeeNHEEEeeee!
Nakumbuka uliyosema wakati ule, na kweli sasa ndiyo njia sahihi inayofuatwa na Samia wako.
Kwamba tokea wakati wa hiyo mikataba ya Bandari kuvujwa, kila kitakachokuwa kinafanyika itakuwa ni siri kubwa. Sasa ndiyo haya tunayoyashuhudia kweli. Kila kitu ni siri kubwa.
Sijui kama umekwisha tambua matokeo ya kufanya kazi za wananchi kwa njia za namna hiyo.
Ngoja tusubiri kuona tutafikia wapi.
Alijaribu kupotosha waumini wake kuhusu uwekezaji mzima lakini akaumbuka kadri wataalam walivyouanika wazi huo mkataba.Unalolijua wewe ni kipi kuhusu maswali aliyouliza hapo utupatie majibu?
Akilawitiwa huko polisi atatoka mpoleof course ndicho alichokuwa anakitafuta. na wakifanya hivyo wamempiga teke chura. siasa ni timing tu.