GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Usinipotezee muda wangu Kumjadili huyo Mpumbavu na Mwendawazimu OKW BOBAN SUNZU sawa Mkuu?Mkuu GENTAMYCINE ,kuna watu wanakupopoa huku muheshimiwa[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinipotezee muda wangu Kumjadili huyo Mpumbavu na Mwendawazimu OKW BOBAN SUNZU sawa Mkuu?Mkuu GENTAMYCINE ,kuna watu wanakupopoa huku muheshimiwa[emoji23]
Utanifananisha Mimi GENTAMYCINE ( Lionel Messi PSG FC France ) na Wewe Clement Mzize ( Yanga SC ) ya Kariakoo Jangwani Uswahilini Tanzania?Hapa kuna upendeleo, mimi nikiunda ID nyingine tu zinaungwa. Lakini kina Genta wana ID zaidi ya 80 wameachwa tu
[emoji16][emoji16][emoji16] Hivi huwa unapata muda wa kucheka na Mumeo kweli! Mbona uko siriazi kama kuruti wa kambi ya Manyaunyau?
Wanao nahisi wanaambulia mabao kila siku asubuhi. Hili ni tatizo la kutokuridhishwa kitandani, niamini. Kweli tena nakwambia
Niko pale naisubiri block
Uongozi wa JamiiForums kuanzia JamiiForums Founder Maxence Melo na Moderators YinYang, Cookie na JamiiForums tafadhali nimechoka na hizi Shutuma hasa kutoka kwa huyu Member na nikiendelea Kunyamaza huu Uwomgo wake utaaminika.Kulikuwa na shidano la member bora jukwaa la sports. Ndipo Gentramycin akaibua ID zote mafichoni. Akajipigia kura akashinda
Bado tunawaza wewe ni Rose Muhando.[emoji23][emoji23]Maake hapo kwanza ncheke
[emoji23][emoji23][emoji23]Umaarufu tu, yaani watu wakiona uzi wako kwa hewa, wanakuja mbio kama farasi kuchungulia umeleta niniUkipata hiyo 10k kuna stimu fulan unakua unapata au inakua inakufaidishaje hadi uitesekee hivyo.?
Mi nimerusha uzi jana na sijapata coment hata 10 but I dont give a frudge mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana mkuu, sio wote. Japo wamo wa kushanta tuusikute waliohusika ktk huu uzi wote ni mtu mmoja kasoro mimi tu
Mimi binafsi napenda maisha ya namna hiyo. Nisiwe mtu wa kueleweka. Hata majirani zangu hudhani uenda mimi ni hakimu, wengine wanajua mimi ni usalama, wengine wanadhani mimi ni traffic officerHahahaaa daah? Atal xan hiy sishangai ndomaisha halisi yawatanzania weng huko mitandaoni, mfano kunajamaa angu ana profiles zaidi15 kwenye mitandao tofauti tofaut..zipo ambaz ni freemason,mzee,singo mama,binti mrembo,tajiri mkubwa,maskin ombaomba,ruban wandege na mganga wakienyeji.
Hatari sana! Tuko pamoja mkuuUsinipotezee muda wangu Kumjadili huyo Mpumbavu na Mwendawazimu OKW BOBAN SUNZU sawa Mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Tunasubili hizo IDs nyingine
Kwa uzoefu wangu hapa JF, unaweza kuta na wewe ni Mwanaume ila ID ya Kike.Ukipata hiyo 10k kuna stimu fulan unakua unapata au inakua inakufaidishaje hadi uitesekee hivyo.?
Mi nimerusha uzi jana na sijapata coment hata 10 but I dont give a frudge mkuu!
Lakini si ulikosana na izo biz? Ninachojua mimi The Storyteller na wewe hatuna ugomvi wowote. Sisi sote tu wamojaHahaa umeanza sasa mambo yako yale yale yaliyosababisha tukosane kipindi kile. Tukishindwana mahala huwa unakimbilia kuanza kunitukana mambo yanayohusu maisha yangu binafsi na cha kufurahisha zaidi huna unalolijua kuhusu mimi. Si kwa ubaya lkn upo na matatizo makubwa rafiki fanyia kazi hilo. Mm niko na amani zangu tele samahani kama kuna sehemu nimekukwaza.
Sent using Jamii Forums mobile app
hilo neno "sio wote. Japo wamo wa kushanta" ina maana bado unajitekenya na kucheka tu wakati unatubu..!![emoji23][emoji23][emoji23]Hapana mkuu, sio wote. Japo wamo wa kushanta tu
Kumbe huwa upo! Ni muda mrefu sikuoni jukwaaniAisee Melki the storyteller againi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23]Bado tunawaza wewe ni Rose Muhando.
Rose Ndauka au Rose Shirima ?
Hapana mkuu[emoji23][emoji23] Zote nitazikiri hapa hapa kwenye huu uzi. Nimeamua kutubu dhambi hii kwa moyo mmojahilo neno "sio wote. Japo wamo wa kushanta" ina maana bado unajitekenya na kucheka tu wakati unatubu..!!
Ama kweli, ngoja tu tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini.