Huenda ule Mkakati Maalum wa Simba SC kuachwa rasmi na Yanga SC kwa Alama 9 au 10 ukakamika Kesho huko Dodoma

Huenda ule Mkakati Maalum wa Simba SC kuachwa rasmi na Yanga SC kwa Alama 9 au 10 ukakamika Kesho huko Dodoma

Jana nilikuona maeneo ni mchepuko wako yule muuza bar pale kawe Eliza
Watu wengi hapa JamiiForums mnajifanya mnanijua sana GENTAMYCINE wakati kumbe Kiuhalisia huwa mnabahatisha tu na ndiyo maana huwa nawadharau na kuwaita Wapuuzi halafu mnakasirika. Pole na Poleni mno.
 
GENTAMYCINE ni Msemakweli na sina Unafiki na Upuuzi kama mlionao wana Simba SC wengi.

Nasisitiza Simba SC tukishinda leo nitafurahi ila Kiufundi, Kukosekana kwa Key Players wetu na jinsi Dodoma Jiji FC ( Yanga SC B ) ambavyo huwa Wanacheza Kikatili ( kwa Fujo ) wakikutana na Simba SC naiona hii Mechi kuwa Ngumu mno Kwetu na huenda hata Ushindi wetu leo ukawa ni wa Sare au Suluhu na tukizubaa hata Kufungwa nao leo Kunawezekana pia.

Tatizo lenu Kubwa wana Simba SC mlioko hapa JamiiForums huwa mnapenda Kukurupuka pale tu GENTAMYCINE nikiandika Jambo ila huwa hamtaki Kuchukua muda wenu Kutulia, Kutafakari na Kunielewa.

Badilikeni.
Kweli Simba itafungwa leo. Lakini hili halitokani na hujuma wa Dodoma kuwa tawi la Yanga. Simba itafungwa kutokana na fatigue kwa wachezaji. Yanga katika mapinduzi cup iliwapa mapunziko key players wake na angalau kama wanaanza upya.

Wachezaji siyo maroboti sasa Simba pamoja uchovi haijapunzisha wachezaji wake mara walivyotoka mapinduzi cup ilipaswa angalau wapumzike mbadala wake wakaenda Dubai na wachezaji kupewa zoezi la kufa mtu. Hizi kadi na kuumwa kwa wachezaji ukiangalia kunachangiwa sana na fatigue waliyonayo.
 
Ni Mwenyezi Mungu tu pekee atusaidie hiyo Kesho Simba SC tuifunge Dodoma Jiji FC Kwao Jamhuri Mkoani Dodoma ila kwa Kinachoendelea Ushindi wa Simba SC Kesho utakuwa ni wa taabu mno, ila naona Mechi itamalizoka kwa Simba SC kutoka Sare / Suluhu japo nauona pia Uwezekano wa Kufungwa kutokana na Hamasa kubwa inayokuwepo kwa Dodoma Jiji FC wakicheza na Simba SC na pia kuwa ni Tawi la Yanga SC ambaye ni Hasimu Wetu mkubwa.

Nilijua tu mapema kuwa Timu ikiwa katika Uchaguzi Mkuu kuna Hujuma na Usaliti mwingi utajitokeza ilimradi tu kila Mgombea na Kundi lake waonekane wana maana na Wengine waonekane hawajui na ndiyo wanaiharibu Timu yetu.

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa takribani Wachezaji 8 hadi 12 ( tena wa Kikosi cha Kwanza ) cha Simba SC wanaumwa na Kesho hawatocheza.

Nina wasiwasi sana tu hiyo Kesho!!!!
Mpira unadunda
 
Izo points 10 mbona chache sana mkuu??maana mtafungwa na Azam fc, mta droo na mtibwa, mta droo na Namungo, mtafungwa na Yanga na mtatoa droo na singida big Stars.
Ukipiga hesabu hapo mtaachwa points km 20+hivi
Mashabiki wa yanga mna ushamba sana sjui kwanini?alokwambia mpira uko hivyo nani?
 
Simba itafungwa leo. Lakini hili halitokani na hujuma wa Dodoma kuwa tawi la Yanga. Simba itafungwa kutokana na fatigue kwa wachezaji. Yanga katika mapinduzi cup iliwapa mapunziko key players wake na angalau kama wanaanza upya.
Hatujafungwa Sasa..
 
Back
Top Bottom