Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mi nimemaliza kipindi ambapo wewe uko kiunoni mwa baba yako.Bila shaka wew ni mwaka wa pili,
Hujui utaratibu,
Kila mwaka vyumba mnapangiwa upya, na utakaa block yeyote utayopangiwa, unataka ukae yenye maji na nani akae ambayo haina maji?
Piganieni maji yawepo kwa wote, sio kurudishwa kwenye block fulani
Mkuu Mimi huwa najiuliza, Daniel aliwezaje kuingia kwenye shimo la simba na hakuliwa na wale simba lakini mtu akienda UDOM analiwa na kunguni mpaka anaomba po huku ukizingatia kuwa simba kwa hali ya kawaida ni wakali kuliko kunguni.Siku naondoka udom miaka ile niliondoka na kunguni aisee udoso mlaaniwe
UDOSO ni nyoko ila wasomi wa pale UDOM ni nyoko maradufu Kwa sababu hawa pambanii haki zao zaidi ya kunong'ona.Huo mbona ni utamaduni wa UDOM wa siku zote.
Kila uanzapo mwaka wa masomo mtu unaamishwa kutoka bondeni humanities unaenda kuishia CNMS.
UDOSO hawajawai kuwa watetezi wa wanafunzi pale zaidi tu kupiga ten ten zao.
Upambane udakwe na Suma ukalazwe chimwaga 😂😂😂UDOSO ni nyoko ila wasomi wa pale UDOM ni nyoko maradufu Kwa sababu hawa pambanii haki zao zaidi ya kunong'ona.
UDOSO ni nyoko ila wasomi wa pale UDOM ni nyoko maradufu Kwa sababu hawa pambanii haki zao zaidi ya kunong'ona.
Wasomi wa siku hizi hamna kitu kabisa, wanazidiwa na mbwa wa ulaya Kwa IQ pamoja na confidenceUDOSO ni nyoko ila wasomi wa pale UDOM ni nyoko maradufu Kwa sababu hawa pambanii haki zao zaidi ya kunong'ona.
Enzi zangu Suma waliniogopa kama ukoma.Upambane ukadakwe na Suma ulazwe chimwaga 😂
Suma wa kawaida Wana njaa hata jero la fegi unawapa wanakuachia ila yule mkuu wao ni nongwa.Enzi zangu Suma waliniogopa kama ukoma.
Wengine wanajisaidia hadi bafuni, mbwa mwenyewe hawezi kufanya uduanzi kama ule.Ila UDOM vile vyoo aisee niaje, yani unaingia unaiuta vyoo vyote kama vitano hivi limerundikwa zigo la kwenda sinki nzima
Mpaka unajiuliza hii mijamaa inakula kifusi ama😂😂
Fact.Suma wa kawaida Wana njaa hata jero la fegi unawapa wanakuachia ila yule mkuu wao ni nongwa.
Penda sana weye.Aisee,dharau si nzuri sana mkuu..
Kumbuka wote lango ni moja
Bas ungetafuta ufafanuzi kwanza kwa wahusika kabla hujaleta hio mada yakoMkuu mi nimemaliza kipindi ambapo wewe uko kiunoni mwa baba yako.
Tafadhali usinishushe.
Kumbe sasa ndio nimejua madogo kuja kila weekend kwangu marufuku kuanzia sasa hiviOya pale noma kunguni sio wa kitoto mule hapafai
UDOM wanasoma wale wa unga unga mwana kuliaAisee,dharau si nzuri sana mkuu..
Kumbuka wote lango ni moja
Ufafanuzi niutafute mara ngapi kijana. Mimi huwa sikurupuki, nikiandika nimeandika, nikisema nimesema hata nikiwaza nimewaza.Bas ungetafuta ufafanuzi kwanza kwa wahusika kabla hujaleta hio mada yako