secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
- Thread starter
-
- #41
Wafukuze kama Gamondi, chase away!Kumbe sasa ndio nimejua madogo kuja kila weekend kwangu marufuku kuanzia sasa hivi
Ndo nini kijana wangu. Tusi ama.Ngβongβona huu mwandiko
Kama na wewe ni mwanafunzi rudi darasni ujifunze kuandika habari/insha.πππππ, Unajua nacheka Kwa nini, hii ni maajabu!
Huko UDOM wanafunzi wa mwaka wa pili na wa tatu wameanzisha malalamiko ya chini chini kupinga utaratibu unaotumiwa na uongozi wa chou wa kuwahamisha sehemu (blocks/mabweno) walikokuwa wanajihifadhi. Wanafunzi wanadai kuwa wanapangiwa sehemu (blocks and rooms) zingine bila kushirikishwa ilihali hawakai bure bali wanatoa pesa zao. Hasira za wanafunzi zinakuja baada ya kuhamishwa kutoka kwenye blocks ambazo zinatoa maji na kupelekwa kule kusiko na maji, kutengwa na marafiki zao (ambao walikuwa wanakaa sehemu/room Moja) huku wakiamini kuwa mali zao hazitakuwa salama tena kwa kudhani kuwa watakaokuja kupangwa nao wanaweza kuwa na tabia zisizofaa mfano wizi, wapendao kufanya ngono kwenye dabo deka na tabia zinginezo zisizofurahisha mtima. Wengime wameenda mbali Kwa kudai kuwa baadhi yao wanachangia (wamenunua pamoja) vifaa kama vile heater, ndoo, majaba na hata nguo za kuvaaπ hivyo kutenganishwa kwao kutaleta sintofahamu juu ya nani achukue hivyo vifaa na nani aache huku ikizangatiwa kuwa hivyo vifaa havigawanyiki kirahisi.
Cha kushangaza zaidi ni kwamba wasomi wa chuo chenye hadhi kubwa (UDOM) wanashindwa kupaza sauti zao Kwa uongozi wa chuo nakulipinga hili suala Kwa hoja kuntu na badala yake wanaanza kuongea chini chini kama watoto wa mama wa kambo huku wakisubiri miujiza. Kama wasomi wanashindwa kupambana na suala hili Kwa kulihoji japo kidogo Mimi naona itakuwa ngumu Kwa raia wa kawaida kupaza sauti ili kupinga madudu yanayofanyika katika nchi kuliko Dunia kupita kwenye tundu la sindano.
Share out kwa Generation Z kutoka Kenya.
Kijana acha wivu wa kinyegere, ukiupenda mwandiko wa mtu mwambie ukweli usimpakazie.Kama na wewe ni mwanafunzi rudi darasni ujifunze kuandika habari/insha.
Vp ulipokuwa pale UDOM kunguni hawajakutoa minofu.Inasikitisha sana
Vp ulipokuwa pale UDOM kunguni hawajakutoa minofu.
OkayUDOM wanasoma wale wa unga unga mwana kulia
Certificate ualimu, diploma kisha chuo. Watu hawa wana kelele kwelikweli mana hawakuwa wanategemea kufika chuo
Mwandiko wako mbona ni kama wa mtu aliyesoma UDOM.Lini na wapi nilisema niliwahi kusoma huko?
Mwandiko wako mbona ni kama wa mtu aliyesoma UDOM.
Nasisitiza Someni muondoke hayo majengo mmeyakuta na mtayaachaπππππ, Unajua nacheka Kwa nini, hii ni maajabu!
Huko UDOM wanafunzi wa mwaka wa pili na wa tatu wameanzisha malalamiko ya chini chini kupinga utaratibu unaotumiwa na uongozi wa chou wa kuwahamisha sehemu (blocks/mabweno) walikokuwa wanajihifadhi. Wanafunzi wanadai kuwa wanapangiwa sehemu (blocks and rooms) zingine bila kushirikishwa ilihali hawakai bure bali wanatoa pesa zao. Hasira za wanafunzi zinakuja baada ya kuhamishwa kutoka kwenye blocks ambazo zinatoa maji na kupelekwa kule kusiko na maji, kutengwa na marafiki zao (ambao walikuwa wanakaa sehemu/room Moja) huku wakiamini kuwa mali zao hazitakuwa salama tena kwa kudhani kuwa watakaokuja kupangwa nao wanaweza kuwa na tabia zisizofaa mfano wizi, wapendao kufanya ngono kwenye dabo deka na tabia zinginezo zisizofurahisha mtima. Wengime wameenda mbali Kwa kudai kuwa baadhi yao wanachangia (wamenunua pamoja) vifaa kama vile heater, ndoo, majaba na hata nguo za kuvaaπ hivyo kutenganishwa kwao kutaleta sintofahamu juu ya nani achukue hivyo vifaa na nani aache huku ikizangatiwa kuwa hivyo vifaa havigawanyiki kirahisi.
Cha kushangaza zaidi ni kwamba wasomi wa chuo chenye hadhi kubwa (UDOM) wanashindwa kupaza sauti zao Kwa uongozi wa chuo nakulipinga hili suala Kwa hoja kuntu na badala yake wanaanza kuongea chini chini kama watoto wa mama wa kambo huku wakisubiri miujiza. Kama wasomi wanashindwa kupambana na suala hili Kwa kulihoji japo kidogo Mimi naona itakuwa ngumu Kwa raia wa kawaida kupaza sauti ili kupinga madudu yanayofanyika katika nchi kuliko Dunia kupita kwenye tundu la sindano.
Share out kwa Generation Z kutoka Kenya.
Bora shule ya kata.Nyingine ni jalala kabisa (kwa mujibu wa Prof aliyepita pale).shule ya kata hiyo
Naona unanipenda ila unashindwa tu kunyoosha maelezo.Kwa huu mwandiko acha tu wakuhamishe.
Hawajitambui hata tone.Nilisia viongozi wa sirikali yao wanasema 'wapo na mama '2025
Kumbe shule ya kata inaweza kuzalisha Mawaziri kama waziri wa utumishi Simbachawene, Naibu waziriPatrobas katambi, Mkurugenzi mkuu wa kituo Cha uwekezaji Terry Gileadi na wengine wengishule ya kata hiyo