Tetesi: Huko UDOM wanafunzi wa mwaka wa 2 na wa 3 waanza malalamiko ya chini chini kisa kubadilishiwa makazi yao bila kushirikishwa

Kila mahali pana utaratibu wake, na hivyo hivyo unapokuwa chuoni sitarajii kila kitu kitakwenda vile unavyotaka. Hivyo ushauri wangu, wahusika wawasiliane na uongozi unaohusika kuwapangia mabweni ambao wako kwenye kila bweni kujua sababu za kuhamishwa ili kutafuta muafaka kabla ya kuanza kuandika mitandaoni. Hakuna jambo linafanyika bila sababu, ni vema tukawa watu wa kutatua changamoto zaidi badala ya kuleta taharuki ambayo haina msingi
 
Kumbe shule ya kata inaweza kuzalisha Mawaziri kama waziri wa utumishi Simbachawene, Naibu waziriPatrobas katambi, Mkurugenzi mkuu wa kituo Cha uwekezaji Terry Gileadi na wengine wengi
ndio ,kisa Cha nchi kuwa na utapiamlo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…