Kama unashangaa hilo kuna omba omba wanamagari, analipaki ndo anaaza kazi yake.Wakuu kuna jambo naomba tuwekane sawa, haswa kwa wale ambao wameshakaa nchi tofauti tofauti kuna taarifa nimeiona huko USA, kuna watu wanaishi kwenye magari kwasababu hawana uwezo wakulipa pango ya nyumba!
Inakuwaje mtu anaweza kumudu kuwa na gari na akalihudumia lakini akashindwa kukodi nyumba ama kununua nyumba!.. Huu ni uchumi wa namna gani.. naombeni ufafanuzi juu ya hili tafadhari
kwa Sheria ipiMuliro atalitolea ufafanuzi hili suala lako
Boss sisi tunanunua Magari ughaibuni kwa hela chini ya dola 1000, magari mtumba ughaibuni bei ipo chini sana. Ila rent majiji makubwa kawaida kukuta Milioni 5 - 10 kwa mwezi. So rent ya mwezi unaweza uka badili magari.Wakuu kuna jambo naomba tuwekane sawa, haswa kwa wale ambao wameshakaa nchi tofauti tofauti kuna taarifa nimeiona huko USA, kuna watu wanaishi kwenye magari kwasababu hawana uwezo wakulipa pango ya nyumba!
Inakuwaje mtu anaweza kumudu kuwa na gari na akalihudumia lakini akashindwa kukodi nyumba ama kununua nyumba!.. Huu ni uchumi wa namna gani.. naombeni ufafanuzi juu ya hili tafadhari
duh!Boss sisi tunanunua Magari ughaibuni kwa hela chini ya dola 1000, magari mtumba ughaibuni bei ipo chini sana. Ila rent majiji makubwa kawaida kukuta Milioni 5 - 10 kwa mwezi. So rent ya mwezi unaweza uka badili magari.
Nchi ambazo hazina welfare system Nzuri kama USA achana na magari watu wana lala nje kabisa kwenye Madaraja na vibaraza vya watu.
Umenikumbusha makahaba wenye magari mkuuKama unashangaa hilo kuna omba omba wanamagari, analipaki ndo anaaza kazi yake.
ukiugua ulikuwa unafanya nini...??Kawaida mzee
Nmekaa
Texas
London
Na new york kule chini
Nlikua nalala kwenye toyota NOAH yangu nliokua nabebea takataka
Maisha yakawa yanaenda poa kabisa
Shida ni ilikua mfano nisahau kutoa li palachichi au masalu ya nyanya ile harufu yake ππ»
Nasema uwongo Kelsea ?
πΉπΉπΉKama unashangaa hilo kuna omba omba wanamagari, analipaki ndo anaaza kazi yake.
PGOkwa Sheria ipi