Huko ughaibuni ni kweli watu wanaishi kwenye magari kwasababu kodi ya pango ni kubwa

Huko ughaibuni ni kweli watu wanaishi kwenye magari kwasababu kodi ya pango ni kubwa

Maisha huko ni magumu sana kwa sababu kodi za nyumba zipo juu sana kuna watu wanaishi kwenye maturubali au tent na serikali imeshindwa kufanya kitu
Mjini raha ila lazima upambane hasa
Kwa mfano Los Angeles California chumba kimoja au one bedroom ni $2,200
Kama mshahara unalingana na kodi utafanya nini
Watu wanalazimisha kuishi miji mikubwa kwa vipato vidogo
Angalia LA hii
Screenshot_20241208_154026_Google~2.png
 
Maisha huko ni magumu sana kwa sababu kodi za nyumba zipo juu sana kuna watu wanaishi kwenye maturubali au tent na serikali imeshindwa kufanya kitu
Mjini raha ila lazima upambane hasa
Kwa mfano Los Angeles California chumba kimoja au one bedroom ni $2,200
Kama mshahara unalingana na kodi utafanya nini
Watu wanalazimisha kuishi miji mikubwa kwa vipato vidogo
Angalia LA hii View attachment 3172434
duh! hatari sana wakati wa baridi si huwa wanapata tabu hawa
 
Mi nadhani inatokana na seasonal employment .Kwa mfano hasla anaweza kuwepo miami florida anauza labda ice cream kipindi cha summer kunapokuwa na high season ya watalii. Msimu ukiisha anarudi new york kwenda kusafisha na kukwangua theluji barabarani. Mtu wa aina hii mtafutaji ni ngumu kupanga chumba. Hivyo kulala kwenye gari ni must. Na magari ni yale yanakuwa na caravan.
 
Kawaida mzee
Nmekaa
Texas
London
Na new york kule chini
Nlikua nalala kwenye toyota NOAH yangu nliokua nabebea takataka
Maisha yakawa yanaenda poa kabisa
Shida ni ilikua mfano nisahau kutoa li palachichi au masalu ya nyanya ile harufu yake 🙌🏻

Nasema uwongo Kelsea ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hamnaga Noah USA
 
Wakuu kuna jambo naomba tuwekane sawa, haswa kwa wale ambao wameshakaa nchi tofauti tofauti kuna taarifa nimeiona huko USA, kuna watu wanaishi kwenye magari kwasababu hawana uwezo wakulipa pango ya nyumba!

Inakuwaje mtu anaweza kumudu kuwa na gari na akalihudumia lakini akashindwa kukodi nyumba ama kununua nyumba!.. Huu ni uchumi wa namna gani.. naombeni ufafanuzi juu ya hili tafadhari
Huko gari ni lazima kwa kila mtu hata mtoto. Hizo gari unazosema vibanda vinavyotembea, vina kila kitu kama kwenye nyumba, yaani jiko, choo/bafu, sebule na chumba cha kulala.
images.jpeg
 
Maisha huko ni magumu sana kwa sababu kodi za nyumba zipo juu sana kuna watu wanaishi kwenye maturubali au tent na serikali imeshindwa kufanya kitu
Mjini raha ila lazima upambane hasa
Kwa mfano Los Angeles California chumba kimoja au one bedroom ni $2,200
Kama mshahara unalingana na kodi utafanya nini
Watu wanalazimisha kuishi miji mikubwa kwa vipato vidogo
Angalia LA hii View attachment 3172434
Inakuaje nyie niggaz mnafanikiwa na Kulala ndani then wazawa wanakuwa homeless?
 
Huko gari ni lazima kwa kila mtu hata mtoto. Hizo gari unazosema vibanda vinavyotembea, vina kila kitu kama kwenye nyumba, yaani jiko, choo/bafu, sebule na chumba cha kulala.
Zile gari ambazo ziko kama nyumba hata mimi nazihusudu sana😁 nadhani wanaziita "Camping Vans."

Ile nikiipata hata sijengi, nakuwa nalipaki Masaki tu nakula upepo wa Coco Beach
 
Back
Top Bottom