Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Amka wewe utajikojolea.Kawaida mzee
Nmekaa
Texas
London
Na new york kule chini
Nlikua nalala kwenye toyota NOAH yangu nliokua nabebea takataka
Maisha yakawa yanaenda poa kabisa
Shida ni ilikua mfano nisahau kutoa li palachichi au masalu ya nyanya ile harufu yake 🙌🏻
Nasema uwongo Kelsea ?
duh! hatari sana wakati wa baridi si huwa wanapata tabu hawaMaisha huko ni magumu sana kwa sababu kodi za nyumba zipo juu sana kuna watu wanaishi kwenye maturubali au tent na serikali imeshindwa kufanya kitu
Mjini raha ila lazima upambane hasa
Kwa mfano Los Angeles California chumba kimoja au one bedroom ni $2,200
Kama mshahara unalingana na kodi utafanya nini
Watu wanalazimisha kuishi miji mikubwa kwa vipato vidogo
Angalia LA hii View attachment 3172434
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hamnaga Noah USAKawaida mzee
Nmekaa
Texas
London
Na new york kule chini
Nlikua nalala kwenye toyota NOAH yangu nliokua nabebea takataka
Maisha yakawa yanaenda poa kabisa
Shida ni ilikua mfano nisahau kutoa li palachichi au masalu ya nyanya ile harufu yake 🙌🏻
Nasema uwongo Kelsea ?
Ulifikaje mkuu.Hapa Mississippi watu wana magari mazuri lakini ni omba omba, in short walala nje.
Endelea na dharau zako mbwa wewe😂😂😂😂😂 Amka wewe utajikojolea.
Huko gari ni lazima kwa kila mtu hata mtoto. Hizo gari unazosema vibanda vinavyotembea, vina kila kitu kama kwenye nyumba, yaani jiko, choo/bafu, sebule na chumba cha kulala.Wakuu kuna jambo naomba tuwekane sawa, haswa kwa wale ambao wameshakaa nchi tofauti tofauti kuna taarifa nimeiona huko USA, kuna watu wanaishi kwenye magari kwasababu hawana uwezo wakulipa pango ya nyumba!
Inakuwaje mtu anaweza kumudu kuwa na gari na akalihudumia lakini akashindwa kukodi nyumba ama kununua nyumba!.. Huu ni uchumi wa namna gani.. naombeni ufafanuzi juu ya hili tafadhari
Inakuaje nyie niggaz mnafanikiwa na Kulala ndani then wazawa wanakuwa homeless?Maisha huko ni magumu sana kwa sababu kodi za nyumba zipo juu sana kuna watu wanaishi kwenye maturubali au tent na serikali imeshindwa kufanya kitu
Mjini raha ila lazima upambane hasa
Kwa mfano Los Angeles California chumba kimoja au one bedroom ni $2,200
Kama mshahara unalingana na kodi utafanya nini
Watu wanalazimisha kuishi miji mikubwa kwa vipato vidogo
Angalia LA hii View attachment 3172434
😂😂 Umbwa mwenzangu. LioneE
Endelea na dharau zako mbwa wewe😂😂😂
Zile gari ambazo ziko kama nyumba hata mimi nazihusudu sana😁 nadhani wanaziita "Camping Vans."Huko gari ni lazima kwa kila mtu hata mtoto. Hizo gari unazosema vibanda vinavyotembea, vina kila kitu kama kwenye nyumba, yaani jiko, choo/bafu, sebule na chumba cha kulala.
Juzi kakataa kuhusu tra