Huko USA huwezi kutenganisha haki za binadamu na haki za mashoga/LGBT!


Anakemea "wimbi lililoingia" badala ya kusema moja kwa moja ushoga!! Kwa nini anaonea haya kukemea moja kwa moja ushoga? Sina uhakika kama anaona haya au anaogopa hata kuutaja ushoga!!
 
Ushoga imekuwa haki ila kubaka ni kosa. Ni kweli mbakaji hana haki kukidhi haja zake?
 
Mashoga siyo binadamu, hata hayawani(wanyama) hawafanyi ushoga.
 
Good question, 'je tuna ubavu huo?'
 
Ushoga imekuwa haki ila kubaka ni kosa. Ni kweli mbakaji hana haki kukidhi haja zake?
Kibaka hakuna consent ila ngono yoyote iwe ya mashoga au heteros kama Kuna consent ni haki Yao tatizo ni kubaka hakuna consent so ni kosa.

Hata kumgeuza mkeo ni kosa kisheria ila maadam ni consent ya Wanandoa wawili ndani ya chumba then haiwezi kuwa crime!!
 

Anakemea "wimbi lililoingia" badala ya kusema moja kwa moja ushoga!! Kwa nini anaonea haya kukemea moja kwa moja ushoga? Sina uhakika kama anaona haya au anaogopa hata kuutaja ushoga!!
Hamna mtu hapo, ni muoga, na hizo video hazijibu maswali muhimu.

Nataka niwekewe video ameitisha press akiwa na yule mama, awaruhusu waandishi wa habari wamuulize maswali, ayajibu huku bosi wake akiwepo pembeni yake, hapo ningemuelewa, sio hiyo video ya kuongea na watoto wa shule..
 
Nchi ya Kwanza East Africa Kutambua haki za LGBT itakuwa Uganda.
 
Mahakama kuu yao iliruhusu, lakini Raila na Ruto wote kwa pamoja walipinga maamuzi yale ya mahakama wazi.

Kama ikitokea Kamala akikutana na Ruto popote, anajua msimamo wake kuhusu hilo suala.
Unamuongelea Ruto aliyekuwa Ujerumani juzi au kuna mwingine Mkuu?
 
Ushoga huanza huko utotoni unataka kunambia kulikua na consent [emoji2369]
 
Video umewekewa Bado hutaki? Unataka press conference? Yaani asiongelee tatizo la ajira aitishe kugongelea ushoga? You can't be serious mkuu
 
Marekani ishitakiwe kwa kupigia debe udhalilishaji wa utu! Ushoga ni kudhalilisha utu!!
We fikiria mtu kavaa suruali na ndevu zake lakini kavaa nepi maana marinda kwishney!! Hakuna tena breki!! Vitu vinajitokea tu!! Ndio maana matukio ya kujiua kwenye jamii ya mashoga ni mengi sana na jitihada kubwa sana hufanyika kutokuyaweka wazi!! Mtu akishakuwa shoga huishia kujuta sana mwisho wake ni kujiua tu!!
 

Sheria kali dhidi ya mashoga inatungwa Uganda, hata wamiliki wa nyumba watakaokodisha kwa mashoga watakamatwa​

6 Machi, 2023


Rais wa Uganda Yoweri Museveni akisaini mswada dhidi ya mashoga na kuwa sheria mwaka 2014, katika ikulu ya rais ya Entebbe, February 24, 2014.
Shirikisha

Ona maoni
Print
Mswada unatayarishwa nchini Uganda kwa lengo la kuharamisha kabisa mapenzi ya jinsia moja, ukiwa na adhabu ya hadi miaka 10 gerezani na faini ya hadi shilingi milioni 10 za Uganda.
Mswada unawalenga watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, wamiliki wa nyumba na hoteli, wamiliki wa vyumba vya burudani, mashirika yanaoyoeneza ushoga, waandishi wa habari, watengenezaji filamu miongoni mwa wengine.
Kwa mara nyingine tena, Uganda inajaribu kutunga sheria kali dhidi ya ushoga, mara hii mswada unalenga kila mtu anayechangia kwa namna yoyote kueneza mapenzi ya jinsia moja nchini humo.
Asuman Basalirwa, mbunge wa manispaa ya Bugiri, mashariki mwa Uganda, ambaye ameandaa mswada huo, ameambia Sauti ya Amerika kwamba mswada wake unalenga kuweka mazingira magumu kabisa kwa ushoga kufanyika Uganda, kwa kuwalenga wafadhini wa ushoga, wanaoeneza, wamiliki wa hoteli, vyumba vya burudani na wenye nyumba za kawaida za kukodisha.
Adhabu kwa watakaovunja sheria
Wanaoneza ushoga kwa kuchapisha vitabu, na wafadhili, watatozwa faini ya shilingi milioni 100 za Uganda. wanaomiliki vyumba vya kufanyia ushoga watahukumiwa miaka 7 gerezani huku wamiliki wa nyumba watakaokodisha kwa watu walio katika uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja watahukumiwa mwaka mmoja gerezani.
Mtu yeyote atakayejaribu kushawishi mwingine kufanya mapenzi ya jinsia moja atafungwa miaka 5 gerezani na atakayepatikana na makosa ya kusimamia au kubariki ndoa hizo atafungwa miaka 10 gerezani.
Waandishi wa habari, wahariri, watengenezaji filamu watakaofichua waathiriwa wa ushoga bila idhini yao watatozwa faini ya shilingi milioni 5.
Sheria ya mwaka 2014 dhidi ya mashoga ilifutwa na mahakama
Mswada wa Asuman hata hivyo una adhabu ndogo ikilinganiswa na mswada uliopitishwa na bunge mwaka 2014, kusainiwa na rais Yoweri Museveni kuwa sheria na baadaye kufutwa na mahakama kwa msingi kwamba wakati ulipokuwa unapitishwa, hakukuwa na idadi ya wabunge wanaohitajika kupitisha mswada bungeni. Sheria hiyo ilikuwa na adhabu ya Maisha gerezani.
Asuman, anasema kwamba ushoga unaenezwa na watu wanaochapisha vitabu na kufadhili vitendo hiyvo, mambo ambayo hakuna sheria katika sheria za sasa za Uganda kushughulikia hilo.
Viongozi wa dini nchini Uganda, saw ana rais Yoweri Museveni wamesema kwamba hawatakubali vitendo vya ushoga nchini humo. Msimamo kama huo vile vile umechukuliwa na serikali za Kenya na Tanzania.



 
Ushoga imekuwa haki ila kubaka ni kosa. Ni kweli mbakaji hana haki kukidhi haja zake?
Hapana, haki ya ushoga na kubaka ni mambo tofauti kabisa na haiwezi kulinganishwa. Ushoga ni suala la utambulisho wa kijinsia na haki za kibinadamu ambayo inalenga kuhakikisha kwamba kila mtu anastahili heshima na usawa, bila kujali mwelekeo wao wa kijinsia.

Kwa upande mwingine, ubakaji ni kosa kubwa la jinai ambalo linalenga kumdhulumu mwingine kimapenzi kwa nguvu au kwa kutumia udhaifu wake. Hakuna mtu ambaye ana haki ya kubaka wengine na kufanya vitendo hivyo ni ukiukwaji wa haki za binadamu na uhalifu wa kinyama.

Kwa hivyo, ni muhimu kutambua kwamba ushoga na kubaka ni mambo tofauti kabisa, na kwamba hakuna haki inayoweza kutumiwa kama kisingizio cha kufanya kitendo cha kubaka.

----------------------

Source: ChatGPT
 

Utambulisho wa kijinsia ipi?Unasema kubaka ni kumdhuru mtendwaji vip kuhusu ulawiti wanaofanyiwa watoto unaopelekea mtu kuwa shoga Je hili halionekan ni kuharibu haiba ya mtu ,halionekan kama ni kumdhulu ila ni haki.

Kipi bora mtu kubakwa kisha kubaki na haiba ya kike au mtu kulawitiwa kisha kupelekea kuwa shoga kitu ambacho kubadirisha haiba yake na kutekeleza jukumu lisilo lake.

Vipi kuhusu madhara yatokanayo na ushoga na yenyew ni haki ya binadam. Kutetea jambo linalohatarisha uhai/afya ni haki vip kuhusu haki ya wauaji.Kuna tofaut ipi ya muuaji anaeua watu kwa siraha na muuaji anaeua watu kwa kutetea jambo linalohharibu afya ya mtetewaji.

WATANZANIA TUFUNGUE AKILI SHOGA HAZAI, TUNAHITAJI MUENDELEZO WA VIZAZI. MABABU WANGEKUA MASHOGA LEO TUNGEPATA FAIDA YA WATU 60+M.

BADO HATUJUI UMUHIMU WA WATU KWENY UCHUMI.JAMBO JEMA NI KWAMBA MUNGU YUPO HAKUNA USHOGA UTAKAOSTAWI KWENY HII DUNIA.[emoji41]
 
Unafikiri mimi ninatetea[emoji23][emoji23]
Hayo ni majibu ya ChatGPT[emoji3060][emoji3060], niliona kuna mambo hujayaelewa hivyo unapaswa kuyajua, ndio nikaamua kucopy na kupaste kutoka huko

Ulawiti kwa watoto ina maana watoto wenyewe hawajaridhia, ni kama kubaka tu ila kulawiti ni mbaya zaidi. Hayo yote ni makosa makubwa
 
sawa wacha wao wasitenganishe - tunaongelea sisi tufanyaje ? katiba yetu inatamkaje?
 
Hamna kaka nlijua ni according to ChatGPT [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…