Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!😂😂😂🤛Na ndio maana mrusi anawaweza NATO kwakuwa anamiliki anga akishawachakaza anapeleka Mandevu wa Kichechen wanapiga njugu balaa 😂
Waache wadumu ila waendelee kufa kenge mwitu migaidi hiyoNaomba kuuliza;
•Inaposemwa mapigano makali yametokea kati ya Askari wa Israel na Hamasi, je, huwa ni mapigano ya uso kwa uso au Israel anakuwa anatumia ndege huku Hamas anatumia bunduki za mkononi?
•Israel anaposhambulia kutokea angani huwa anawashambulia wapiganaji wa Hamas kweli, mbona hawaishi?
•Au wapalestina wote vijana na wanaume ni Hamas?
Yote kwa yote, Hamas wamedumu katika vita hii, siki zinazidi kusonga.
Vita unajifucha uvunguni mwa kitanda Cha Mama zao ,hao ni ma shujaa Gani ,vaa gwanda ujitanabaushe kama hawana Cha kupoteza ,wanajichimbia ka nguchiriVita vipi vya ana kwa ana hamas wanaviweza zaidi yakupigana wamevaa nguo za kiraia na kuvizia hii inasababisha vifo vya raia wa gaza
Mwambie na huyo anayeruka angani na midege ya kuangamiza naye ashuke chini aache hizo ndege apigane mkono kwa mkono mtaa kwa mtaa.Vita unajifucha uvunguni mwa kitanda Cha Mama zao ,hao ni ma shujaa Gani ,vaa gwanda ujitanabaushe kama hawana Cha kupoteza ,wanajichimbia ka nguchiri
Vigo vya wanajeshi wa Israel vimetokea angani ? inapigwa vita angani nchi kavu ,majini ,Hamas waje uwanjani sio kujificha nyuma ya Mama na watotoMwambie na huyo anayeruka angani na midege ya kuangamiza naye ashuke chini aache hizo ndege apigane mkono kwa mkono mtaa kwa mtaa.
Uanaume gani huo unaruka juu kwa juu na kujificha kwenye vifaru vya chuma.
Akili gani hiyo unayotaka mwenzako atoke uwanjani kupambana wakati mwenye umepaa angani au umejificha kwenye vyuma.Vigo vya wanajeshi wa Israel vimetokea angani ? inapigwa vita angani nchi kavu ,majini ,Hamas waje uwanjani sio kujificha nyuma ya Mama na watoto
😆😆 Kaka si tumeamua kupambana umejipima , Wana bunduki na makombora kama SS tu tuweke show offAkili gani hiyo unayotaka mwenzako atoke uwanjani kupambana wakati mwenye umepaa angani au umejificha kwenye vyuma.
Wapewe Pole magaidi wa Israel.Kwa ukaidi wa hali ya juu jeshi la Israel limesema litaingia Rafah ili kuwamaliza Hamas.Hata hivyo vijana wa Hamas wameonekana kujikushanya maeneo mengine mengi ya Gaza wakitoa upinzani mkali kwa jeshi hilo.
Miongoni mwa maeneo yaliyolapozimisha Israel kupeleka vikosi vyenye zana nzito ni pamojapole kambi ya Jabalia ambayo hapo awali ilikwishavurugwa kwa makombora kutoka angani na mizinga mpaka IDF wakaridhika kwa kuona wameshawashinda Hama.
Upinzani kama huo umeonekana pia maeneo ya kati ya Gaza.
As Israel pushes deeper into Rafah, Hamas regroups elsewhere in ungoverned Gaza