GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #101
Ila ccm akili huwa zinaruka mara nyingine, et lijitu linakwambia tumeibiwa sana wakati nyinyi wenyewe ccm ndiwo mlikuwa mnasaini mikataba na mibovu na wakoloni haohao, misaada hampati toka kwa hao wakoloni basi mnawaita mabeberu.
Duuuh! Baba Jesca ndio ameameamua kuwahadaa wanajeshi na ongezeko la mshahara!Cha Msingi nakuomba Wewe tulia tu na uwe Msomaji wa 'Comments' za hapa kutoka kwa 'Vipanga' wanaonielewa GENTAMYCINE mapema sawa?
Duuuh! Baba Jesca ndio ameameamua kuwahadaa wanajeshi na ongezeko la mshahara!
Rais wa Malawi kaskazin ana binti yake alizaa nje ya ndoa anaitwa Jesca! sio lahisi afahamike na wengi! siunajua wakubwa wanapenda kuficha michepuko yao!Nimejitahidi mno 'Kumtafuta' huyu sijui Baba Jesca hapa nilipo Kimakazi 'Malawi ya Kaskazini' wala sijampata na pia hata Raia wa hapa hawamjui.
rogomoro na sharuaKama kweli nawe uko nchini 'Malawi ya Kaskazini' nitajie Mikoa ambayo zinapatikana hizi Kambi 'Maarufu' za Kijeshi za Renge Renge na Lindumo.
Una hakika umemuelewa?au unataka kuonekana umemuelewa? punguza speed.Malawi kaskazini ya Tanzania ..wenye akili tumekuelewa mkuu..hadi polisi wameongezewa kinyemela
naomba kujua raisi wa Malawi ya kaskazini? Je Malawi INA marais zaidi ya mmoja?Kwa tulioko hapa nchini 'Malawi ya Kaskazini' tunajua kuwa sasa Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeshaanza japo nimegundua kuwa kumbe kwa mara ya Kwanza Uchaguzi Mkuu wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' umefanana mno 'Kiratiba' na ule Uchaguzi Mkuu ambao nimesikia kuwa unaenda Kufanyika pia kwa 'Majirani' zetu Watanzania ( Tanzania ) japo ambalo limeleta 'Utamu' wa Kidemokrasia.
Kilichotushangaza sana Sisi wana 'Malawi ya Kaskazini' ni Kitendo cha huyu Rais wetu Kuwapandishia 'Mishahara' Wanajeshi wetu 'Kisirisiri' huku 'Watendaji' wengine ambao nao pia wana 'Umuhimu' mkubwa wa 'Kiufanisi' hapa nchini nilipo 'Kimakazi' wakiachwa na Mishahara yao ile ile midogo na ya kawaida sana.
GENTAMYCINE nimetembelea nchi kadhaa za Afrika ila sijawahi Kukutana na 'Wanajeshi' ambao ni 'Wambea' na wasio na 'Vifua' vya Kutunza 'Siri' zao kama wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' hasa hasa wakiwa 'Vijiweni' wanakunywa 'Gongo' au wanataka Kununua 'Mbunye' Mitaani. Upuuzi huu kamwe huwezi 'Kuukuta' kwa Majeshi yenye Nidhamu na Uweledi kama ya Tanzania, Rwanda na Angola.
Nadhani ipo haja sasa ya huyu Rais wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' na Jeshi lake 'Kujifunza' Uweledi wa Majeshi ya Tanzania, Rwanda na la Angola.
hivi Malawi INA marais wangapi?Kwa tulioko hapa nchini 'Malawi ya Kaskazini' tunajua kuwa sasa Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeshaanza japo nimegundua kuwa kumbe kwa mara ya Kwanza Uchaguzi Mkuu wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' umefanana mno 'Kiratiba' na ule Uchaguzi Mkuu ambao nimesikia kuwa unaenda Kufanyika pia kwa 'Majirani' zetu Watanzania ( Tanzania ) japo ambalo limeleta 'Utamu' wa Kidemokrasia.
Kilichotushangaza sana Sisi wana 'Malawi ya Kaskazini' ni Kitendo cha huyu Rais wetu Kuwapandishia 'Mishahara' Wanajeshi wetu 'Kisirisiri' huku 'Watendaji' wengine ambao nao pia wana 'Umuhimu' mkubwa wa 'Kiufanisi' hapa nchini nilipo 'Kimakazi' wakiachwa na Mishahara yao ile ile midogo na ya kawaida sana.
GENTAMYCINE nimetembelea nchi kadhaa za Afrika ila sijawahi Kukutana na 'Wanajeshi' ambao ni 'Wambea' na wasio na 'Vifua' vya Kutunza 'Siri' zao kama wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' hasa hasa wakiwa 'Vijiweni' wanakunywa 'Gongo' au wanataka Kununua 'Mbunye' Mitaani. Upuuzi huu kamwe huwezi 'Kuukuta' kwa Majeshi yenye Nidhamu na Uweledi kama ya Tanzania, Rwanda na Angola.
Nadhani ipo haja sasa ya huyu Rais wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' na Jeshi lake 'Kujifunza' Uweledi wa Majeshi ya Tanzania, Rwanda na la Angola.
Ashura na romogoroKama kweli nawe upo hapa hapa nchini 'Malawi ya Kaskazini' nitajie Mikoa Miwili tu inayopatikana hizi Kambi 'Kubwa' za Renge Renge na Lindumo.
Mkuu GENTAMYCINE hapo Malawi ya kaskazini ulipo, kuna jamaa yangu moja aliniambia wafanyakazi wa serikali hiyo ya Malawi ya Kaskazini kwa miaka mitano sasa hapakuwepo na ongezeko la Mishahara wala ajira mpya kwa miaka mitano......sijui kama ni kweli au ni umbea wa wapinzani wa serikali ya nchi ya hiyo.
naomba kujua raisi wa Malawi ya kaskazini? Je Malawi INA marais zaidi ya mmoja?
hivi Malawi INA marais wangapi?