Huku Kampeni zikiwa zimeshaanza na Uchaguzi Mkuu kukaribia hatimaye Rais wa 'Malawi ya Kaskazini' awapandishia 'Mishahara' Wanajeshi wote

Huku Kampeni zikiwa zimeshaanza na Uchaguzi Mkuu kukaribia hatimaye Rais wa 'Malawi ya Kaskazini' awapandishia 'Mishahara' Wanajeshi wote

Ila ccm akili huwa zinaruka mara nyingine, et lijitu linakwambia tumeibiwa sana wakati nyinyi wenyewe ccm ndiwo mlikuwa mnasaini mikataba na mibovu na wakoloni haohao, misaada hampati toka kwa hao wakoloni basi mnawaita mabeberu.

'Malawi ya Kaskazini' nao wamekuambia kuwa wana 'Kitu' Kiitwacho sijui CCM na walishawahi Kuingia 'Mikataba' yoyote ile ya 'Madini' na Wakoloni?
 
Cha Msingi nakuomba Wewe tulia tu na uwe Msomaji wa 'Comments' za hapa kutoka kwa 'Vipanga' wanaonielewa GENTAMYCINE mapema sawa?
Duuuh! Baba Jesca ndio ameameamua kuwahadaa wanajeshi na ongezeko la mshahara!
 
Duuuh! Baba Jesca ndio ameameamua kuwahadaa wanajeshi na ongezeko la mshahara!

Nimejitahidi mno 'Kumtafuta' huyu sijui Baba Jesca hapa nilipo Kimakazi 'Malawi ya Kaskazini' wala sijampata na pia hata Raia wa hapa hawamjui.
 
Nimejitahidi mno 'Kumtafuta' huyu sijui Baba Jesca hapa nilipo Kimakazi 'Malawi ya Kaskazini' wala sijampata na pia hata Raia wa hapa hawamjui.
Rais wa Malawi kaskazin ana binti yake alizaa nje ya ndoa anaitwa Jesca! sio lahisi afahamike na wengi! siunajua wakubwa wanapenda kuficha michepuko yao!
 
Mkuu GENTAMYCINE hapo Malawi ya kaskazini ulipo, kuna jamaa yangu moja aliniambia wafanyakazi wa serikali hiyo ya Malawi ya Kaskazini kwa miaka mitano sasa hapakuwepo na ongezeko la Mishahara wala ajira mpya kwa miaka mitano......sijui kama ni kweli au ni umbea wa wapinzani wa serikali ya nchi ya hiyo.
 
Malawi kaskazini ya Tanzania ..wenye akili tumekuelewa mkuu..hadi polisi wameongezewa kinyemela
emoji23.png
emoji23.png
emoji125.png
emoji125.png
emoji125.png
Una hakika umemuelewa?au unataka kuonekana umemuelewa? punguza speed.
 
Kwa tulioko hapa nchini 'Malawi ya Kaskazini' tunajua kuwa sasa Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeshaanza japo nimegundua kuwa kumbe kwa mara ya Kwanza Uchaguzi Mkuu wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' umefanana mno 'Kiratiba' na ule Uchaguzi Mkuu ambao nimesikia kuwa unaenda Kufanyika pia kwa 'Majirani' zetu Watanzania ( Tanzania ) japo ambalo limeleta 'Utamu' wa Kidemokrasia.

Kilichotushangaza sana Sisi wana 'Malawi ya Kaskazini' ni Kitendo cha huyu Rais wetu Kuwapandishia 'Mishahara' Wanajeshi wetu 'Kisirisiri' huku 'Watendaji' wengine ambao nao pia wana 'Umuhimu' mkubwa wa 'Kiufanisi' hapa nchini nilipo 'Kimakazi' wakiachwa na Mishahara yao ile ile midogo na ya kawaida sana.

GENTAMYCINE nimetembelea nchi kadhaa za Afrika ila sijawahi Kukutana na 'Wanajeshi' ambao ni 'Wambea' na wasio na 'Vifua' vya Kutunza 'Siri' zao kama wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' hasa hasa wakiwa 'Vijiweni' wanakunywa 'Gongo' au wanataka Kununua 'Mbunye' Mitaani. Upuuzi huu kamwe huwezi 'Kuukuta' kwa Majeshi yenye Nidhamu na Uweledi kama ya Tanzania, Rwanda na Angola.

Nadhani ipo haja sasa ya huyu Rais wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' na Jeshi lake 'Kujifunza' Uweledi wa Majeshi ya Tanzania, Rwanda na la Angola.
naomba kujua raisi wa Malawi ya kaskazini? Je Malawi INA marais zaidi ya mmoja?
 
Kwa tulioko hapa nchini 'Malawi ya Kaskazini' tunajua kuwa sasa Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeshaanza japo nimegundua kuwa kumbe kwa mara ya Kwanza Uchaguzi Mkuu wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' umefanana mno 'Kiratiba' na ule Uchaguzi Mkuu ambao nimesikia kuwa unaenda Kufanyika pia kwa 'Majirani' zetu Watanzania ( Tanzania ) japo ambalo limeleta 'Utamu' wa Kidemokrasia.

Kilichotushangaza sana Sisi wana 'Malawi ya Kaskazini' ni Kitendo cha huyu Rais wetu Kuwapandishia 'Mishahara' Wanajeshi wetu 'Kisirisiri' huku 'Watendaji' wengine ambao nao pia wana 'Umuhimu' mkubwa wa 'Kiufanisi' hapa nchini nilipo 'Kimakazi' wakiachwa na Mishahara yao ile ile midogo na ya kawaida sana.

GENTAMYCINE nimetembelea nchi kadhaa za Afrika ila sijawahi Kukutana na 'Wanajeshi' ambao ni 'Wambea' na wasio na 'Vifua' vya Kutunza 'Siri' zao kama wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' hasa hasa wakiwa 'Vijiweni' wanakunywa 'Gongo' au wanataka Kununua 'Mbunye' Mitaani. Upuuzi huu kamwe huwezi 'Kuukuta' kwa Majeshi yenye Nidhamu na Uweledi kama ya Tanzania, Rwanda na Angola.

Nadhani ipo haja sasa ya huyu Rais wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' na Jeshi lake 'Kujifunza' Uweledi wa Majeshi ya Tanzania, Rwanda na la Angola.
hivi Malawi INA marais wangapi?
 
Mkuu GENTAMYCINE hapo Malawi ya kaskazini ulipo, kuna jamaa yangu moja aliniambia wafanyakazi wa serikali hiyo ya Malawi ya Kaskazini kwa miaka mitano sasa hapakuwepo na ongezeko la Mishahara wala ajira mpya kwa miaka mitano......sijui kama ni kweli au ni umbea wa wapinzani wa serikali ya nchi ya hiyo.

Wao wameambiwa wajitahidi Chama 'Kikongwe' cha 'Kisiasa' cha nchi hiyo Kiitwacho MCC kinashinda na kubakia 'Madarakani' ndipo wataongezewa.
 
Back
Top Bottom