Huku Mbweni hii mijengo ni ya Watanzania wenzetu?

Huku Mbweni hii mijengo ni ya Watanzania wenzetu?

Huku kuna mijumba ya hela nyingi sana.

Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?

Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”

Visit Mbweni
Gentleman,
Ukiwa kwenye maombolezo concentrate nayo. Unakodoa macho na mambo mengineyo ili ujipe stress au uongeze juhudi katika kazi Zaid, right?🐒
 
Back
Top Bottom