Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Watakwambia mkoaniChanika umewahi kufika Mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakwambia mkoaniChanika umewahi kufika Mkuu!
Tatizo nini?Huku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
Ukiweka picha mjongeo ukiwa unanunua hivyo vitu nitaamini 70%
Hapana Mkuu pale siwezi kula tena aisee 🤣🤣🤣Ukiweka picha mjongeo ukiwa unanunua hivyo vitu nitaamini 70%
Wapi hapo?Hapana Mkuu pale siwezi kula tena aisee 🤣🤣🤣
Tatizo pesa dada🤣Tatizo nini?
Jazia jazi pichaa
Sema mwanangu zamani watu walikuwa wanapasifu obey, Masaki lakini sahv kuna hizi sehemu Tatu mbeleni, Goba, bonyokwa, Kigamboni kibada babu huku kuna Watu wananyanyua mijengo mzee siku s nyingi Masaki na obey patakuwa si dil tenaHuku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
Tangu nianze kusikia mbweni sijawahi ona hata picha
Hivi mandhani kila mtu amefikambweni
Tangu nianze kusikia mbweni sijawahi ona hata picha
Hivi mandhani kila mtu amefika mbweni
IchahHuku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
Pesa za nini Tanzania?Tatizo pesa dada🤣
Lakini ndolio mji wenye shamanic na icon ya jiji la dar upimaji na miundo mbinu yote na huduma zote ni za viwango vya dunia sasa leo unaenda mbweni kwanza unapita kwa ndevu sijui kibaoni full stress hapa leo ukinipa nyumba ya kisasa mbweni na kunipa nyumba ya zamani cholesterol road au daraaja la Tanzanite nakubali masaki o bay na the likeOyserbay na masaki Kuna vinyumba vikuu kuu hamna kitu kabisa ilikuwa zamani
Kwa kweli hazina kazi🤣🤣🤣Pesa za nini Tanzania?
Loliondo Hotel 😤😤😤Wapi hapo?
Utazikuta 👉📦Jazia jazi pichaa
Kabisa tena.Kwa kweli hazina kazi🤣🤣🤣
Mtoa mada zingatia hiliAcha tu ndugu yangu, ila ungetusaidia na kapicha ili na sisi wa mikoani tuwe tumeshirikishwa vizuri.