Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,810
- 2,844
Eeeh bhn... Yan full ulinzi yani.Na Camera za kutosha Barabarani kabla ya kuingia eneo lile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh bhn... Yan full ulinzi yani.Na Camera za kutosha Barabarani kabla ya kuingia eneo lile.
Unajua tofauti ya hao na waha?Mitaji mikubwa angetembeza vyombo kama waha?
Aache kufungua duka kubwa aingie road kupigwa jua na mvua halafu tuamini ana mtaji mkubwa?
Tuache masihara mkuu mtu mwenye mtaji mkubwa hawezi kupigika road vinginevyo ziwe hela za masharti.
Hizo picha ziko wapi tuzione?Huku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
Hao ni wenyeji waliowauzia maeneo hao washuaHiyo miaka 20 mingi sana mkuu hata sasa hivi tu hivyo Vibanda vipo, maana hiyo Mbweni anayoiongelea yeye ni ya ushuani kuna mitaa inaitwa Geza na Maputo ni uswazi typical, kwa ufupi maeneo mengi Dar yanayosifika kuwa ni ushuani lazima kuwepo mitaa ambayo ni uswahilini
Hata ndio mawazo yanayoishusha nchiHuku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
Sorry Jombaa sikuingia muda kidogo huku. Hii nyumba ipo Kimbiji Kigamboni kwa sasa inatumika kama airbnb inaitwa The White beach house. Gezaulole na Kimbiji specifically huku baharini kuna nyumba nyingi sana za design hii.Duuh huo mjengo upo Gezaulole?
Mkuu unaweza kuwa sawa. Lakini pia nenda masaki na Obay, siku hizi kuna frame za kuuza chips. Kiukweli Tanzania bado tuna changamoto ya kupangilia makazi yetu. masaki ilipimwa vizuri sana na wakoloni. Wanasiasa wamegawiana nyumba matokeo yake, viwanja vinakatwa na kujengwa frames.J
Amani wachen ushamba mji haupimwi kwa watu kushindana majengo hebu ulizeni jaman sasa leo unaongelea goba au bonyokwa hata barabra hamna unaweka prime house pembeni kuna mbege mvua umetoka asbh haipo ukirudi usiku gari inasleep ufinyanzi umeshiba mji watz hebu angalieni factors za kuwa jiji jamani ulizeni wakati wa ukoloni whites waliishi wapi msishangilie nyumba kuwekwa vioo nanrangi za zanyel
Braza, mambo yanafanyika Mbweni siyo ya kawaida..... Plot ya 2400sqm, na nyumba inajaa.Umeshafika Kigamboni Kibada?