AiseeeZulu man na picha imepatikana na hapo ndio Loliondo Hotel. Maharage, Chapati na Maandazi matatu kwa buku tu na unarudishiwa chenji 200 🤣🤣🤣
View attachment 3152892
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeZulu man na picha imepatikana na hapo ndio Loliondo Hotel. Maharage, Chapati na Maandazi matatu kwa buku tu na unarudishiwa chenji 200 🤣🤣🤣
View attachment 3152892
Naona umenipiga picha kabisa ,niliyevaa blue t-shirtZulu man na picha imepatikana na hapo ndio Loliondo Hotel. Maharage, Chapati na Maandazi matatu kwa buku tu na unarudishiwa chenji 200 🤣🤣🤣
View attachment 3152892
Kifuru mbona pazuri tuHaya wahi daladala urudi Kwenu kifuru
Wacha weee nilikuwa kwenye gari picha haijatulia. Vipi kuna menu gani hapo leo ijumaa ?Naona umenipiga picha kabisa ,niliyevaa blue t-shirt
Karibu sana hapo ndio sehemu yangu ya kujidai
Kigamboni mafuta ndio yanawapa watu jeuriKaribu pia Kigamboni Gezaulole na Kimbiji baharini huku kama alivyosema Mshana Jr hapo juu. Tanzania watu wanajenga nyumba nzuri sana siku hizi.
View attachment 3152485
View attachment 3152486
View attachment 3152487
Hata ile mitaa kule chekechea haijamboSio Kibada, aje Kisota
Kila kitu rafiki,kazi kwako.Wacha weee nilikuwa kwenye gari picha haijatulia. Vipi kuna menu gani hapo leo ijumaa ?
Hii ndiyo taabu ya wanaume wapenda mishangaziHuku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
Yah, pamejengeka vizuri sana mijengo ya kishua geti Dar hadi Mombo.😂Kibaga kuna mijengo sana
Huu uzi bila picha ni uongo
Hiyo miaka 20 mingi sana mkuu hata sasa hivi tu hivyo Vibanda vipo, maana hiyo Mbweni anayoiongelea yeye ni ya ushuani kuna mitaa inaitwa Geza na Maputo ni uswazi typical, kwa ufupi maeneo mengi Dar yanayosifika kuwa ni ushuani lazima kuwepo mitaa ambayo ni uswahiliniHata Mbezi Beach ilianza hivihivi, wabongo wape miaka 20 tu utaona vibandavibanda vya wauza nyanya kote huko.
Kuna sehemu panaitwa maputo huko huko mbweni ni uswazi kinoma... kuna kamtaa wanakaita mtaa wa mazombi maana watu wa hapo walikuwa wakilewa wanatembea kama mazombie...Hiyo miaka 20 mingi sana mkuu hata sasa hivi tu hivyo Vibanda vipo, maana hiyo Mbweni anayoiongelea yeye ni ya ushuani kuna mitaa inaitwa Geza na Maputo ni uswazi typical, kwa ufupi maeneo mengi Dar yanayosifika kuwa ni ushuani lazima kuwepo mitaa ambayo ni uswahilini
Niliitazama nikagundua kumbe mimi ninaishi kwenye banda la kukuHuku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
🤣Wewe manyanzaZulu man na picha imepatikana na hapo ndio Loliondo Hotel. Maharage, Chapati na Maandazi matatu kwa buku tu na unarudishiwa chenji 200 🤣🤣🤣
View attachment 3152892
Wabongo wameharibu mpaka "Millionaire's Row" waliyoachiwa na mkoloni Oysterbay Coco Beach.Hiyo miaka 20 mingi sana mkuu hata sasa hivi tu hivyo Vibanda vipo, maana hiyo Mbweni anayoiongelea yeye ni ya ushuani kuna mitaa inaitwa Geza na Maputo ni uswazi typical, kwa ufupi maeneo mengi Dar yanayosifika kuwa ni ushuani lazima kuwepo mitaa ambayo ni uswahilini
Kamera mani ungezoom majengo ili tuone hiyo ulaya ndani ya bongo