Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Ni-address vizuri nifikeLoliondo Hotel 😤😤😤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni-address vizuri nifikeLoliondo Hotel 😤😤😤
Utazikuta 👉📦
Amani wachen ushamba mji haupimwi kwa watu kushindana majengo hebu ulizeni jaman sasa leo unaongelea goba au bonyokwa hata barabra hamna unaweka prime house pembeni kuna mbege mvua umetoka asbh haipo ukirudi usiku gari inasleep ufinyanzi umeshiba mji watz hebu angalieni factors za kuwa jiji jamani ulizeni wakati wa ukoloni whites waliishi wapi msishangilie nyumba kuwekwa vioo nanrangi za zanyelSema mwanangu zamani watu walikuwa wanapasifu obey, Masaki lakini sahv kuna hizi sehemu Tatu mbeleni, Goba, bonyokwa, Kigamboni kibada babu huku kuna Watu wananyanyua mijengo mzee siku s nyingi Masaki na obey patakuwa si dil tena
Fika Mtogole ulizia Msikiti wa Bi Mtumwa ukifika pale Msikitini ulizia Loliondo HotelNi-address vizuri nifike
Kibaga😃😃😃
Kuna Kinyerezi mahali fulani jina limenitoka aisee, yaani kule Masaki/Oystebay ni uswazi tu
Labda Ile Oysterbay ya kule Goba na Masaki ya kule Kahama labda.😃😃😃
Kuna Kinyerezi mahali fulani jina limenitoka aisee, yaani kule Masaki/Oystebay ni uswazi tu
Bila picha Uzi huu ni batiliHuku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
Sio Kibada, aje KisotaUmeshafika Kigamboni Kibada?
Kabisa tena.
Tanzania Shillingi ndiyo zenye kazi. Ukitaka pesa zifate India (paisa) au Oman (baisa).
Kama wazazi wako walishindwa kuzipata tazama walikosea wapi usirudie makosa yao.
Wanapaita half London. Ni hatari sanaKuna Goba mahali flan cjui london or something ni hatare pale ,ukinunua kiwanja lazima wananzengo waa prove ramani usije ukachafua mji
Yeah ManKibaga
Dom inajitahidi napo mijengo si habaUkija Dodoma kuna sehemu panaitwa ILAZO EXTENTION BLOCK D huko nako ni hatari, kuna uzunguni ,Chidachi...Area 'C' na Kisasa saivi ni kama old town = Oysterbay na Masaki za huko Dar.
Madon wengi na wawekezaji wengi kutoka nje hasa wachina, wahindi na waarabu wengi wanaishi kibada.Mbweni nimekaa kama mwaka hivi, majumba ya kule ni ya maana kweli kweli. Halafu mengi hayana watu, wamepewa tu wagogo wenzangu choka mbaya waishi kama walinzi. Baadae nikahamia Kigamboni, Kibada. Pia huku siyo kinyonge. Kuna siku mimi na washkaji tuliamua kuzunguka tu mitaa ya kibada ndanindani humo, aisee tanzania hii hii ila kuna watu wanaishi kama mambele...
Yeah, wako wengi sana... Ina na ingaunga mwana pia wapo. Kuna siku niligongewa mlango kutoka nakuta mhindi anauza vyombo na kukopesha kama waha wafanyanyo. Kimoyomoyo nikawa najiuliza huyu kanjibai yeye alifeli wapi?Madon wengi na wawekezaji wengi kutoka nje hasa wachina, wahindi na waarabu wengi wanaishi kibada.