Huku mtaani Rais Samia hakubaliki kivile, Upinzani wangekuwa na Mikakati 2025 wangeichukua nchi

Huku mtaani Rais Samia hakubaliki kivile, Upinzani wangekuwa na Mikakati 2025 wangeichukua nchi

Siku zote Taikon ni mtu asiye na unafiki, mapema ukweli mara nyingi. Hivyo ndivyo ninavyojitambulisha.

Mimi sio Mfuasi wala mwanachama wa Chama chochote au mtu yeyote Yule. Kumaanisha nipo huru kusema ukweli.

Wazazi wangu, ndugu, jamaa na marafiki zangu karibu wote ni CCM.
Kipindi cha JPM wengi wao waliniona ni nipo chama pinzani hasa CHADEMA kutokana na kuwa sikuwa navutiwa na Siasa za JPM hasa za ubabe.
Wakati nikimpinga JPM nilipata Upinzani mkubwa kutoka Kwa wazazi wangu, ndugu, jamaa na marafiki Kwa sababu wengi wao walikuwa wakimkubali.

Kitu kimoja walichoshindwa kunielewa ni kuwa, Taikon hana ushabiki, sina timu, sina chama, na sasa nakaribia kutokuwa na Dini hasa hizi dini za kigeni. Nipo huru kusema ukweli bila kuwa mnafiki.

Sasa hapa katikati mambo yamebadilika, baada ya JPM Kufariki SSH kachukua usukani.

Kinachonishangaza ni kuwa Wale wote waliokuwa wanampenda JPM ati hawamkubali SSH licha ya kuwa nao ni CCM.

Kutokana na kuwa, Taikon ni mtu wa kujichanganya vijiweni, na kwenye vilinge. Nimegundua kuwa SSH Hana ushawishi mkubwa ndani ya jamii.

Hata hivyo hilo lisimuumize SSH kwani ni Jambo la kawaida kwenye jamii ya kitanzania ambayo haijazoea kuongozwa na Mwanamke hasa kwenye nafasi ya juu Kama urais.

Sifikirii Kama kuna Jambo lolote ambalo SSH atalifanya ili jamii umekubali na apate ushawishi mkubwa ndani yake.

Kwa macho yangu, nikijaribu kuangalia mbele naona Kama karibu kila atakachokifanya SSH atapata lawama kwa sehemu kubwa.
Hiyo pia isimuumize kama nilivyotoa sababu ya Jambo hilo awali.

KINACHONISHANGAZA;
Upinzani sijui hawataki kuchukua nchi au ni kitu gani. Au pengine kuna ambao wanawahujumu, au huenda wanashindwa kusoma gap lililopo katika awamu hii.

Upinzani sijui intelligensia yao imeshindwa kuona gap la kutosha ambalo wakilitumia wanaweza kuchukua Dola 2025.

Intelejensia yangu inanambia hivi kuwahusu Watanzania;

1. Watanzania wengi wanaamini kiongozi anayewatukana matajiri ndiye mwenye mapenzi ya kweli nao.
Sio ajabu Hayatti JKN na JPM wakawa wanapendwa zaidi na kuonekana watetezi wa kweli WA wanyonge kuliko Marais wengine.

2. Watanzania wengi wanapenda zaidi kiongozi mwenye tabia za kidikteta.
Unajua Kwa nini?
Udikteta haubani masikini au wajinga.
Udikteta unawabana zaidi matajiri na watu walioenda shule/wasomi.

Watanzania wengi wao ni masikini na wajinga wasio na elimu, Rais yeyote akiwa na viashiria vya udikteta lazima apendwe na Kundi Hilo zaidi.

3. Watanzania wengi huendekeza propaganda na mambo dhahania.
Rais yeyote anayewekeza huko lazima apate wafuasi, ushawishi na kupendwa Sana.

Watanzania wengi kutokana na umasikini, na kutokusoma wengi wao hupenda propaganda za uongo kuliko mambo ya kisayansi na kitaalamu.
Usishangae hata ishu za CORONA zinavyoendeshwa, ni rahisi kumwambia MTANZANIA kuwa Corona ni mpango wa Wazungu kuingamiza Dunia, au mpango wa Freemason kuelekea 666 na wakakuamini.
Ni rahisi kuwaambia Watanzania ugonjwa Fulani umesababishwa na Ushirikina au uchawi au laana ya Mungu wakakuelewa hata Kama ugonjwa huo unatokana na uchafu wao au mitindo mibaya ya maisha.

JPM alilijua hilo vyema, hata Manabii Uchwara kina Gwajiboy, anajua fika kuwa Watanzania wengi ni Hamnazo, ndio maana huamini Kwa urahisi Propaganda na mambo dhahania.

4. Watanzania wengi hupenda anguko la aliyefanikiwa.
Rais Kama atawekeza kwenye kuangusha, kutumbua watu au kufukuza kazi Wasaidizi wake. Basi lazima apendwe na Watanzania wengi.
Kwani Watanzania wengi kutokana na maisha yao kuwa magumu wanataka kila mtu awe na maisha magumu Kama wao.

Watanzania wengi hawapendi kiongozi anayetoa second chance Kwa kiongozi aliyekosea.
Wanataka akijaribu hata Kama ni kitu kidogo basi umtumbue.

5. Watanzania wengi wanapenda uwataje taje kwa majina ya kuwaonea huruma Kama wanyonge, masikini, wavuja jasho, watifua udongo NK.
Ukitaka uzikamate akili za Watanzania wengi ukiwa kiongozi basi karibu kila baada ya maneno yako hamsini basi chomekea mfano wa sentensi zifuatazo;
" Nawapigani wavuja jasho hawa"
" Waacheni wanyonge wafanye kazi zao Kwa Amani"
" Uchumi huu umelenga kugusa watu masikini"
" Yeyote atakayewaonea hawa watifua udongo ataona joto la jiwe"
" Ninawatumikia Hawa wasakatonge, hawa ndio mboni yangu"
Na kauli zingine Kama hizo.

Kama hutatumia kauli hizo Kwa sehemu kubwa basi jua umeumia kwenye nchi hii.

6. Watanzania wengi hasa wasioajiriwa serikali au sekta Rasmi hupenda kusikia watumishi wa Umma wanalalamika iwe Kwa kutoongezewa mishahara, iwe Kwa kunyimwa posho, au kunyanyaswa na wanasiasa.

Kiongozi yeyote ambaye atawafanya watumishi wa Umma walie lie Kama Mbuzi, anajijengea kupendwa na Watanzania wengi waliomasikini.

7. Watanzania wengi hasa waliokataa shule wanafurahia wasomi kukosa Ajira.
Unaweza usiamini lakini iko hivyo.
Mtu yeyote ambaye ataathiri suala la Ajira mpaka wasomi wakapiga mayowe lazima apendwe na watu wa chini kabisa.

8. Watanzania wengi wanapenda kutetewa kuliko kujitetea, yakikukuta watakuita kihere here.
Kutokana na umasikini na ujinga WA wengi hii huwafanya kuwa wanafiki.
Unapowatetea Watanzania basi kuwa makini Sana. Watetea ukiwa na maslahi yako binafsi.
Ukiingia mzima mzima yatakukuta, na yakikukuta watakuita kiherehere.

Kama nilivyowahi kuandika, usiwasaidie masikini
Kisha niliwahi kumuandikie Barua Lisu kuwa asiwatetee masikini na wajinga isipokuwa akiwa na Maslahi yake binafsi.

Upinzani nafikiri wakati huu kwao ulikuwa muhimu Sana,

SSH Hana ushawishi mkubwa kihivyo.
Mlipaswa mtembee na Line hiyo Kwanza.
Kisha mtembee na makosa yanayojitokeza kama vile ishu ya Tozo za MIAMALA, suala la kukatika katika Kwa umeme, kupanda Kwa bei ya Mafuta NK.
Kwani mambo hayo ndio yanaogusa Watanzania wengi waliomasikini na wasio na elimu.

Kama mngefanya hiyo calculation hakika mngepata uungwaji Mkono na Watanzania wengi ingawaje Kama nilivyosema Watanzania wengi ni WANAFIKI lakini huenda mngeongeza Fans base ndani ya jamii.

Pia kutokana na Watanzania wengi kupenda hadithi za kufikirika na propaganda za kitoto. Hili la Chanjo ya Corona mngelipinga,
Hata Kama msingepinga wote lakini angetokea viongozi wanne wenye ushawishi walipinge Kama anavyofanya Gwajima.
Ingawaje naona ugumu Kwa upande wenu kwani wenye hizo chanjo huenda ndio wanaowafadhili.

Mnashindwa hata na Gwajima bhana. Fanyeni Calculation vizuri. Hii michezo inahitaji akili zaidi kuliko hisia.

SSH akiwashinda 2025 msitegemee Kama kuna ambaye mtamuweza.
Sababu nimeshawapa, nayo ni kuwa Hana ushawishi mkubwa ndani ya jamii kutokana na kuwa bado kuna kasumba ya mwanamke kutopewa nafasi kubwa ya uongozi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
Ukiachana na tabia za watanzania lakini nchi hii ilifika mda tupate raisi ambaye atakuwa anafanya maamuzi magumu kwa ajili ya manufaa ya taifa na RAISI Magufuli alipendwa sababu ya kuwaweka sawa watu wa hali ya chini na wajuu kwenye kundi moja bila mmoja kupewa kipaumbele, zamani ilikuwa tajiri anaweza kukwepa KODi lakini sio mtu wa kipato cha chini..mama samia hawezi kupendwa na watanzania SABABU yy anawatumikia wenye kipato cha juu na kuwakandamiza wenye kipato cha chini... kusema wawachie wafanyabishara wenye madeni account zao halafu kuja kuwabana wenye kipato cha chini kwenye TOZO hilo ni jambo ambalo hakuna ataweza kumpenda kingine Magufuli katengeza Nchi na watu wameona hata kama kuna mapungufu lakini samia alivyoingia kupitia sag akataka kumchfua huwezi ondoa MAPENZI YA WA TANZANIA KWA MAGUFULI KAMWE

Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
 
Siku zote Taikon ni mtu asiye na unafiki, mapema ukweli mara nyingi. Hivyo ndivyo ninavyojitambulisha.

Mimi sio Mfuasi wala mwanachama wa Chama chochote au mtu yeyote Yule. Kumaanisha nipo huru kusema ukweli.

Wazazi wangu, ndugu, jamaa na marafiki zangu karibu wote ni CCM.

Kipindi cha JPM wengi wao waliniona ni nipo chama pinzani hasa CHADEMA kutokana na kuwa sikuwa navutiwa na Siasa za JPM hasa za ubabe.

Wakati nikimpinga JPM nilipata Upinzani mkubwa kutoka Kwa wazazi wangu, ndugu, jamaa na marafiki Kwa sababu wengi wao walikuwa wakimkubali.

Kitu kimoja walichoshindwa kunielewa ni kuwa, Taikon hana ushabiki, sina timu, sina chama, na sasa nakaribia kutokuwa na Dini hasa hizi dini za kigeni. Nipo huru kusema ukweli bila kuwa mnafiki.

Sasa hapa katikati mambo yamebadilika, baada ya JPM Kufariki SSH kachukua usukani.

Kinachonishangaza ni kuwa Wale wote waliokuwa wanampenda JPM ati hawamkubali SSH licha ya kuwa nao ni CCM.

Kutokana na kuwa, Taikon ni mtu wa kujichanganya vijiweni, na kwenye vilinge. Nimegundua kuwa SSH Hana ushawishi mkubwa ndani ya jamii.

Hata hivyo hilo lisimuumize SSH kwani ni Jambo la kawaida kwenye jamii ya kitanzania ambayo haijazoea kuongozwa na Mwanamke hasa kwenye nafasi ya juu Kama urais.

Sifikirii Kama kuna Jambo lolote ambalo SSH atalifanya ili jamii umekubali na apate ushawishi mkubwa ndani yake.

Kwa macho yangu, nikijaribu kuangalia mbele naona Kama karibu kila atakachokifanya SSH atapata lawama kwa sehemu kubwa.
Hiyo pia isimuumize kama nilivyotoa sababu ya Jambo hilo awali.

KINACHONISHANGAZA;

Upinzani sijui hawataki kuchukua nchi au ni kitu gani. Au pengine kuna ambao wanawahujumu, au huenda wanashindwa kusoma gap lililopo katika awamu hii.

Upinzani sijui intelligensia yao imeshindwa kuona gap la kutosha ambalo wakilitumia wanaweza kuchukua Dola 2025.

Intelejensia yangu inanambia hivi kuwahusu Watanzania;

1. Watanzania wengi wanaamini kiongozi anayewatukana matajiri ndiye mwenye mapenzi ya kweli nao.
Sio ajabu Hayatti JKN na JPM wakawa wanapendwa zaidi na kuonekana watetezi wa kweli WA wanyonge kuliko Marais wengine.

2. Watanzania wengi wanapenda zaidi kiongozi mwenye tabia za kidikteta. Unajua Kwa nini?

Udikteta haubani masikini au wajinga.
Udikteta unawabana zaidi matajiri na watu walioenda shule/wasomi.

Watanzania wengi wao ni masikini na wajinga wasio na elimu, Rais yeyote akiwa na viashiria vya udikteta lazima apendwe na Kundi Hilo zaidi.

3. Watanzania wengi huendekeza propaganda na mambo dhahania.

Rais yeyote anayewekeza huko lazima apate wafuasi, ushawishi na kupendwa Sana.

Watanzania wengi kutokana na umasikini, na kutokusoma wengi wao hupenda propaganda za uongo kuliko mambo ya kisayansi na kitaalamu.

Usishangae hata ishu za CORONA zinavyoendeshwa, ni rahisi kumwambia MTANZANIA kuwa Corona ni mpango wa Wazungu kuingamiza Dunia, au mpango wa Freemason kuelekea 666 na wakakuamini.

Ni rahisi kuwaambia Watanzania ugonjwa Fulani umesababishwa na Ushirikina au uchawi au laana ya Mungu wakakuelewa hata Kama ugonjwa huo unatokana na uchafu wao au mitindo mibaya ya maisha.

JPM alilijua hilo vyema, hata Manabii Uchwara kina Gwajiboy, anajua fika kuwa Watanzania wengi ni Hamnazo, ndio maana huamini Kwa urahisi Propaganda na mambo dhahania.

4. Watanzania wengi hupenda anguko la aliyefanikiwa.
Rais Kama atawekeza kwenye kuangusha, kutumbua watu au kufukuza kazi Wasaidizi wake. Basi lazima apendwe na Watanzania wengi.
Kwani Watanzania wengi kutokana na maisha yao kuwa magumu wanataka kila mtu awe na maisha magumu Kama wao.

Watanzania wengi hawapendi kiongozi anayetoa second chance Kwa kiongozi aliyekosea.
Wanataka akijaribu hata Kama ni kitu kidogo basi umtumbue.

5. Watanzania wengi wanapenda uwataje taje kwa majina ya kuwaonea huruma Kama wanyonge, masikini, wavuja jasho, watifua udongo NK.
Ukitaka uzikamate akili za Watanzania wengi ukiwa kiongozi basi karibu kila baada ya maneno yako hamsini basi chomekea mfano wa sentensi zifuatazo:

" Nawapigani wavuja jasho hawa"
" Waacheni wanyonge wafanye kazi zao Kwa Amani"
" Uchumi huu umelenga kugusa watu masikini"
" Yeyote atakayewaonea hawa watifua udongo ataona joto la jiwe"
" Ninawatumikia Hawa wasakatonge, hawa ndio mboni yangu"
Na kauli zingine Kama hizo.

Kama hutatumia kauli hizo Kwa sehemu kubwa basi jua umeumia kwenye nchi hii.

6. Watanzania wengi hasa wasioajiriwa serikali au sekta Rasmi hupenda kusikia watumishi wa Umma wanalalamika iwe Kwa kutoongezewa mishahara, iwe Kwa kunyimwa posho, au kunyanyaswa na wanasiasa.

Kiongozi yeyote ambaye atawafanya watumishi wa Umma walie lie Kama Mbuzi, anajijengea kupendwa na Watanzania wengi waliomasikini.

7. Watanzania wengi hasa waliokataa shule wanafurahia wasomi kukosa Ajira.
Unaweza usiamini lakini iko hivyo.

Mtu yeyote ambaye ataathiri suala la Ajira mpaka wasomi wakapiga mayowe lazima apendwe na watu wa chini kabisa.

8. Watanzania wengi wanapenda kutetewa kuliko kujitetea, yakikukuta watakuita kihere here. Kutokana na umasikini na ujinga WA wengi hii huwafanya kuwa wanafiki.

Unapowatetea Watanzania basi kuwa makini Sana. Watetea ukiwa na maslahi yako binafsi. Ukiingia mzima mzima yatakukuta, na yakikukuta watakuita kiherehere.

Kama nilivyowahi kuandika, usiwasaidie masikini. Kisha niliwahi kumuandikie Barua Lisu kuwa asiwatetee masikini na wajinga isipokuwa akiwa na Maslahi yake binafsi.

Upinzani nafikiri wakati huu kwao ulikuwa muhimu Sana.

SSH Hana ushawishi mkubwa kihivyo. Mlipaswa mtembee na Line hiyo Kwanza.

Kisha mtembee na makosa yanayojitokeza kama vile ishu ya Tozo za MIAMALA, suala la kukatika katika Kwa umeme, kupanda Kwa bei ya Mafuta NK.

Kwani mambo hayo ndio yanaogusa Watanzania wengi waliomasikini na wasio na elimu.

Kama mngefanya hiyo calculation hakika mngepata uungwaji Mkono na Watanzania wengi ingawaje Kama nilivyosema Watanzania wengi ni WANAFIKI lakini huenda mngeongeza Fans base ndani ya jamii.

Pia kutokana na Watanzania wengi kupenda hadithi za kufikirika na propaganda za kitoto. Hili la Chanjo ya Corona mngelipinga,
Hata Kama msingepinga wote lakini angetokea viongozi wanne wenye ushawishi walipinge Kama anavyofanya Gwajima.
Ingawaje naona ugumu Kwa upande wenu kwani wenye hizo chanjo huenda ndio wanaowafadhili.

Mnashindwa hata na Gwajima bhana. Fanyeni Calculation vizuri. Hii michezo inahitaji akili zaidi kuliko hisia.

SSH akiwashinda 2025 msitegemee Kama kuna ambaye mtamuweza.

Sababu nimeshawapa, nayo ni kuwa Hana ushawishi mkubwa ndani ya jamii kutokana na kuwa bado kuna kasumba ya mwanamke kutopewa nafasi kubwa ya uongozi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
NAJUA anatusoma au wanatusoma na nivizuri ili wajue tuliwaambia sasa ni hivi; to light up, ni kweli ujue sie wananchi wa kitaa na mkanyageni ndio tunajua mengi na kuyaona kwa kuyashuhudia na kuyaishi si tu kuyasikia. Ni UKWELI usiofumbika inabidi CCM na mamlaka husika ijipange na ifanye kazi ya ziada kuweka mambo mswano, to be honest approval ratings ya SSH imeshuka kwa kasi sana na kwa muda mfupi tofauti na alivyoingia.

Si mijini si mikoa ya kati si kaskazini si kusini si pembezoni si vijijini (tena huko ndio hawaelewi kabisa mambo yanavyoenda: mind you aisee kuna watu vijijini wana uelewa mkubwa sana kuliko wa mjini) si visiwani si vizimbani na chakushangaza kabisa na kabisa si wanawake na akina mama ambao tulitegemea wao wawe mstari wa mbele na wakwanza kumlinda na kumshangilia ila ndio wanaoongoza kutomkubali.

Katika siasa ni suala la kawaida ila likiachwa sana litakififisha chama na si yeye. Nikirudi nitakuja na kipi kifanyike.
 
NAJUA anatusoma au wanatusoma na nivizuri ili wajue tuliwaambia sasa ni hivi; to light up, ni kweli ujue sie wananchi wa kitaa na mkanyageni ndio tunajua mengi na kuyaona kwa kuyashuhudia na kuyaishi si tu kuyasikia. Ni UKWELI usiofumbika inabidi CCM na mamlaka husika ijipange na ifanye kazi ya ziada kuweka mambo mswano, to be honest approval ratings ya SSH imeshuka kwa kasi sana na kwa muda mfupi tofauti na alivyoingia.

Si mijini si mikoa ya kati si kaskazini si kusini si pembezoni si vijijini (tena huko ndio hawaelewi kabisa mambo yanavyoenda: mind you aisee kuna watu vijijini wana uelewa mkubwa sana kuliko wa mjini) si visiwani si vizimbani na chakushangaza kabisa na kabisa si wanawake na akina mama ambao tulitegemea wao wawe mstari wa mbele na wakwanza kumlinda na kumshangilia ila ndio wanaoongoza kutomkubali.

Katika siasa ni suala la kawaida ila likiachwa sana litakififisha chama na si yeye. Nikirudi nitakuja na kipi kifanyike.


Umenena sahihi kabisa.
Tunakusubiri
 
Watu werevu wapewe nafasi ya kuongoza nchi, sio kila mtu hatoke CCM au haweMAMLUKI wa CCM ndio haonekane na anafaa, nchi hii ya watanzania, hata wasio na VYAMA wana haki ya kusikilizwa. CCM imejimIlikisha kila kitu na sasa inataka mpaka fikra za wananchi wa TZ wajimilikishe.
Endelea kusubiria meli jangwani.
 
Ukiachana na tabia za watanzania lakini nchi hii ilifika mda tupate raisi ambaye atakuwa anafanya maamuzi magumu kwa ajili ya manufaa ya taifa na RAISI Magufuli alipendwa sababu ya kuwaweka sawa watu wa hali ya chini na wajuu kwenye kundi moja bila mmoja kupewa kipaumbele, zamani ilikuwa tajiri anaweza kukwepa KODi lakini sio mtu wa kipato cha chini..mama samia hawezi kupendwa na watanzania SABABU yy anawatumikia wenye kipato cha juu na kuwakandamiza wenye kipato cha chini... kusema wawachie wafanyabishara wenye madeni account zao halafu kuja kuwabana wenye kipato cha chini kwenye TOZO hilo ni jambo ambalo hakuna ataweza kumpenda kingine Magufuli katengeza Nchi na watu wameona hata kama kuna mapungufu lakini samia alivyoingia kupitia sag akataka kumchfua huwezi ondoa MAPENZI YA WA TANZANIA KWA MAGUFULI KAMWE

Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app

Hakuna watu wasiolipa Kodi Kama Masikini
 
Siku zote Taikon ni mtu asiye na unafiki, mapema ukweli mara nyingi. Hivyo ndivyo ninavyojitambulisha.

Mimi sio Mfuasi wala mwanachama wa Chama chochote au mtu yeyote Yule. Kumaanisha nipo huru kusema ukweli.

Wazazi wangu, ndugu, jamaa na marafiki zangu karibu wote ni CCM.

Kipindi cha JPM wengi wao waliniona ni nipo chama pinzani hasa CHADEMA kutokana na kuwa sikuwa navutiwa na Siasa za JPM hasa za ubabe.

Wakati nikimpinga JPM nilipata Upinzani mkubwa kutoka Kwa wazazi wangu, ndugu, jamaa na marafiki Kwa sababu wengi wao walikuwa wakimkubali.

Kitu kimoja walichoshindwa kunielewa ni kuwa, Taikon hana ushabiki, sina timu, sina chama, na sasa nakaribia kutokuwa na Dini hasa hizi dini za kigeni. Nipo huru kusema ukweli bila kuwa mnafiki.

Sasa hapa katikati mambo yamebadilika, baada ya JPM Kufariki SSH kachukua usukani.

Kinachonishangaza ni kuwa Wale wote waliokuwa wanampenda JPM ati hawamkubali SSH licha ya kuwa nao ni CCM.

Kutokana na kuwa, Taikon ni mtu wa kujichanganya vijiweni, na kwenye vilinge. Nimegundua kuwa SSH Hana ushawishi mkubwa ndani ya jamii.

Hata hivyo hilo lisimuumize SSH kwani ni Jambo la kawaida kwenye jamii ya kitanzania ambayo haijazoea kuongozwa na Mwanamke hasa kwenye nafasi ya juu Kama urais.

Sifikirii Kama kuna Jambo lolote ambalo SSH atalifanya ili jamii umekubali na apate ushawishi mkubwa ndani yake.

Kwa macho yangu, nikijaribu kuangalia mbele naona Kama karibu kila atakachokifanya SSH atapata lawama kwa sehemu kubwa.
Hiyo pia isimuumize kama nilivyotoa sababu ya Jambo hilo awali.

KINACHONISHANGAZA;

Upinzani sijui hawataki kuchukua nchi au ni kitu gani. Au pengine kuna ambao wanawahujumu, au huenda wanashindwa kusoma gap lililopo katika awamu hii.

Upinzani sijui intelligensia yao imeshindwa kuona gap la kutosha ambalo wakilitumia wanaweza kuchukua Dola 2025.

Intelejensia yangu inanambia hivi kuwahusu Watanzania;

1. Watanzania wengi wanaamini kiongozi anayewatukana matajiri ndiye mwenye mapenzi ya kweli nao.
Sio ajabu Hayatti JKN na JPM wakawa wanapendwa zaidi na kuonekana watetezi wa kweli WA wanyonge kuliko Marais wengine.

2. Watanzania wengi wanapenda zaidi kiongozi mwenye tabia za kidikteta. Unajua Kwa nini?

Udikteta haubani masikini au wajinga.
Udikteta unawabana zaidi matajiri na watu walioenda shule/wasomi.

Watanzania wengi wao ni masikini na wajinga wasio na elimu, Rais yeyote akiwa na viashiria vya udikteta lazima apendwe na Kundi Hilo zaidi.

3. Watanzania wengi huendekeza propaganda na mambo dhahania.

Rais yeyote anayewekeza huko lazima apate wafuasi, ushawishi na kupendwa Sana.

Watanzania wengi kutokana na umasikini, na kutokusoma wengi wao hupenda propaganda za uongo kuliko mambo ya kisayansi na kitaalamu.

Usishangae hata ishu za CORONA zinavyoendeshwa, ni rahisi kumwambia MTANZANIA kuwa Corona ni mpango wa Wazungu kuingamiza Dunia, au mpango wa Freemason kuelekea 666 na wakakuamini.

Ni rahisi kuwaambia Watanzania ugonjwa Fulani umesababishwa na Ushirikina au uchawi au laana ya Mungu wakakuelewa hata Kama ugonjwa huo unatokana na uchafu wao au mitindo mibaya ya maisha.

JPM alilijua hilo vyema, hata Manabii Uchwara kina Gwajiboy, anajua fika kuwa Watanzania wengi ni Hamnazo, ndio maana huamini Kwa urahisi Propaganda na mambo dhahania.

4. Watanzania wengi hupenda anguko la aliyefanikiwa.
Rais Kama atawekeza kwenye kuangusha, kutumbua watu au kufukuza kazi Wasaidizi wake. Basi lazima apendwe na Watanzania wengi.
Kwani Watanzania wengi kutokana na maisha yao kuwa magumu wanataka kila mtu awe na maisha magumu Kama wao.

Watanzania wengi hawapendi kiongozi anayetoa second chance Kwa kiongozi aliyekosea.
Wanataka akijaribu hata Kama ni kitu kidogo basi umtumbue.

5. Watanzania wengi wanapenda uwataje taje kwa majina ya kuwaonea huruma Kama wanyonge, masikini, wavuja jasho, watifua udongo NK.
Ukitaka uzikamate akili za Watanzania wengi ukiwa kiongozi basi karibu kila baada ya maneno yako hamsini basi chomekea mfano wa sentensi zifuatazo:

" Nawapigani wavuja jasho hawa"
" Waacheni wanyonge wafanye kazi zao Kwa Amani"
" Uchumi huu umelenga kugusa watu masikini"
" Yeyote atakayewaonea hawa watifua udongo ataona joto la jiwe"
" Ninawatumikia Hawa wasakatonge, hawa ndio mboni yangu"
Na kauli zingine Kama hizo.

Kama hutatumia kauli hizo Kwa sehemu kubwa basi jua umeumia kwenye nchi hii.

6. Watanzania wengi hasa wasioajiriwa serikali au sekta Rasmi hupenda kusikia watumishi wa Umma wanalalamika iwe Kwa kutoongezewa mishahara, iwe Kwa kunyimwa posho, au kunyanyaswa na wanasiasa.

Kiongozi yeyote ambaye atawafanya watumishi wa Umma walie lie Kama Mbuzi, anajijengea kupendwa na Watanzania wengi waliomasikini.

7. Watanzania wengi hasa waliokataa shule wanafurahia wasomi kukosa Ajira.
Unaweza usiamini lakini iko hivyo.

Mtu yeyote ambaye ataathiri suala la Ajira mpaka wasomi wakapiga mayowe lazima apendwe na watu wa chini kabisa.

8. Watanzania wengi wanapenda kutetewa kuliko kujitetea, yakikukuta watakuita kihere here. Kutokana na umasikini na ujinga WA wengi hii huwafanya kuwa wanafiki.

Unapowatetea Watanzania basi kuwa makini Sana. Watetea ukiwa na maslahi yako binafsi. Ukiingia mzima mzima yatakukuta, na yakikukuta watakuita kiherehere.

Kama nilivyowahi kuandika, usiwasaidie masikini. Kisha niliwahi kumuandikie Barua Lisu kuwa asiwatetee masikini na wajinga isipokuwa akiwa na Maslahi yake binafsi.

Upinzani nafikiri wakati huu kwao ulikuwa muhimu Sana.

SSH Hana ushawishi mkubwa kihivyo. Mlipaswa mtembee na Line hiyo Kwanza.

Kisha mtembee na makosa yanayojitokeza kama vile ishu ya Tozo za MIAMALA, suala la kukatika katika Kwa umeme, kupanda Kwa bei ya Mafuta NK.

Kwani mambo hayo ndio yanaogusa Watanzania wengi waliomasikini na wasio na elimu.

Kama mngefanya hiyo calculation hakika mngepata uungwaji Mkono na Watanzania wengi ingawaje Kama nilivyosema Watanzania wengi ni WANAFIKI lakini huenda mngeongeza Fans base ndani ya jamii.

Pia kutokana na Watanzania wengi kupenda hadithi za kufikirika na propaganda za kitoto. Hili la Chanjo ya Corona mngelipinga,
Hata Kama msingepinga wote lakini angetokea viongozi wanne wenye ushawishi walipinge Kama anavyofanya Gwajima.
Ingawaje naona ugumu Kwa upande wenu kwani wenye hizo chanjo huenda ndio wanaowafadhili.

Mnashindwa hata na Gwajima bhana. Fanyeni Calculation vizuri. Hii michezo inahitaji akili zaidi kuliko hisia.

SSH akiwashinda 2025 msitegemee Kama kuna ambaye mtamuweza.

Sababu nimeshawapa, nayo ni kuwa Hana ushawishi mkubwa ndani ya jamii kutokana na kuwa bado kuna kasumba ya mwanamke kutopewa nafasi kubwa ya uongozi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
Hizi tunaita makala fyongo kutoka kwa watu fyongo. Hata upinzani ungekuwa na ushawishi gani, uchaguzi ukiendeshwa kama ulivyoendeshwa 2020 unadhani kutakuwa na mabadiliko? Zanzibar upinzani unashinda karibu chaguzi zote zilizopita na 2015 walishinda hata watoto wadogo walijua. Ni nini kilitokea? Bla bla bla nyiiiiingi lakini akili zero.
 
Hizi tunaita makala fyongo kutoka kwa watu fyongo. Hata upinzani ungekuwa na ushawishi gani, uchaguzi ukiendeshwa kama ulivyoendeshwa 2020 unadhani kutakuwa na mabadiliko? Zanzibar upinzani unashinda karibu chaguzi zote zilizopita na 2015 walishinda hata watoto wadogo walijua. Ni nini kilitokea? Bla bla bla nyiiiiingi lakini akili zero.

Upinzani ukiwa na ushawishi mkubwa kwenye jamii hakuna upuuzi ungefanyika take it from me.

Hao polisi wasingekuwa na uwezo wa kusogeza pua zao kuonea watu kisa wametumwa kwani wanajua hatari ya kufanya hivyo
 
Point yako ipo sahihi ,huyu bibi hakubaliki mtaani .anayebisha abishe.
 
Upinzani ukiwa na ushawishi mkubwa kwenye jamii hakuna upuuzi ungefanyika take it from me.

Hao polisi wasingekuwa na uwezo wa kusogeza pua zao kuonea watu kisa wametumwa kwani wanajua hatari ya kufanya hivyo
Nimekuuliza: Kule Zanzibar walikoshinda tena kwa kura nyingi kabisa hawana ushawishi? Wewe huna hoja yoyote ya maana.
 
Siku zote Taikon ni mtu asiye na unafiki, mapema ukweli mara nyingi. Hivyo ndivyo ninavyojitambulisha.

Mimi sio Mfuasi wala mwanachama wa Chama chochote au mtu yeyote Yule. Kumaanisha nipo huru kusema ukweli.

Wazazi wangu, ndugu, jamaa na marafiki zangu karibu wote ni CCM.

Kipindi cha JPM wengi wao waliniona ni nipo chama pinzani hasa CHADEMA kutokana na kuwa sikuwa navutiwa na Siasa za JPM hasa za ubabe.

Wakati nikimpinga JPM nilipata Upinzani mkubwa kutoka Kwa wazazi wangu, ndugu, jamaa na marafiki Kwa sababu wengi wao walikuwa wakimkubali.

Kitu kimoja walichoshindwa kunielewa ni kuwa, Taikon hana ushabiki, sina timu, sina chama, na sasa nakaribia kutokuwa na Dini hasa hizi dini za kigeni. Nipo huru kusema ukweli bila kuwa mnafiki.

Sasa hapa katikati mambo yamebadilika, baada ya JPM Kufariki SSH kachukua usukani.

Kinachonishangaza ni kuwa Wale wote waliokuwa wanampenda JPM ati hawamkubali SSH licha ya kuwa nao ni CCM.

Kutokana na kuwa, Taikon ni mtu wa kujichanganya vijiweni, na kwenye vilinge. Nimegundua kuwa SSH Hana ushawishi mkubwa ndani ya jamii.

Hata hivyo hilo lisimuumize SSH kwani ni Jambo la kawaida kwenye jamii ya kitanzania ambayo haijazoea kuongozwa na Mwanamke hasa kwenye nafasi ya juu Kama urais.

Sifikirii Kama kuna Jambo lolote ambalo SSH atalifanya ili jamii umekubali na apate ushawishi mkubwa ndani yake.

Kwa macho yangu, nikijaribu kuangalia mbele naona Kama karibu kila atakachokifanya SSH atapata lawama kwa sehemu kubwa.
Hiyo pia isimuumize kama nilivyotoa sababu ya Jambo hilo awali.

KINACHONISHANGAZA;

Upinzani sijui hawataki kuchukua nchi au ni kitu gani. Au pengine kuna ambao wanawahujumu, au huenda wanashindwa kusoma gap lililopo katika awamu hii.

Upinzani sijui intelligensia yao imeshindwa kuona gap la kutosha ambalo wakilitumia wanaweza kuchukua Dola 2025.

Intelejensia yangu inanambia hivi kuwahusu Watanzania;

1. Watanzania wengi wanaamini kiongozi anayewatukana matajiri ndiye mwenye mapenzi ya kweli nao.
Sio ajabu Hayatti JKN na JPM wakawa wanapendwa zaidi na kuonekana watetezi wa kweli WA wanyonge kuliko Marais wengine.

2. Watanzania wengi wanapenda zaidi kiongozi mwenye tabia za kidikteta. Unajua Kwa nini?

Udikteta haubani masikini au wajinga.
Udikteta unawabana zaidi matajiri na watu walioenda shule/wasomi.

Watanzania wengi wao ni masikini na wajinga wasio na elimu, Rais yeyote akiwa na viashiria vya udikteta lazima apendwe na Kundi Hilo zaidi.

3. Watanzania wengi huendekeza propaganda na mambo dhahania.

Rais yeyote anayewekeza huko lazima apate wafuasi, ushawishi na kupendwa Sana.

Watanzania wengi kutokana na umasikini, na kutokusoma wengi wao hupenda propaganda za uongo kuliko mambo ya kisayansi na kitaalamu.

Usishangae hata ishu za CORONA zinavyoendeshwa, ni rahisi kumwambia MTANZANIA kuwa Corona ni mpango wa Wazungu kuingamiza Dunia, au mpango wa Freemason kuelekea 666 na wakakuamini.

Ni rahisi kuwaambia Watanzania ugonjwa Fulani umesababishwa na Ushirikina au uchawi au laana ya Mungu wakakuelewa hata Kama ugonjwa huo unatokana na uchafu wao au mitindo mibaya ya maisha.

JPM alilijua hilo vyema, hata Manabii Uchwara kina Gwajiboy, anajua fika kuwa Watanzania wengi ni Hamnazo, ndio maana huamini Kwa urahisi Propaganda na mambo dhahania.

4. Watanzania wengi hupenda anguko la aliyefanikiwa.
Rais Kama atawekeza kwenye kuangusha, kutumbua watu au kufukuza kazi Wasaidizi wake. Basi lazima apendwe na Watanzania wengi.
Kwani Watanzania wengi kutokana na maisha yao kuwa magumu wanataka kila mtu awe na maisha magumu Kama wao.

Watanzania wengi hawapendi kiongozi anayetoa second chance Kwa kiongozi aliyekosea.
Wanataka akijaribu hata Kama ni kitu kidogo basi umtumbue.

5. Watanzania wengi wanapenda uwataje taje kwa majina ya kuwaonea huruma Kama wanyonge, masikini, wavuja jasho, watifua udongo NK.
Ukitaka uzikamate akili za Watanzania wengi ukiwa kiongozi basi karibu kila baada ya maneno yako hamsini basi chomekea mfano wa sentensi zifuatazo:

" Nawapigani wavuja jasho hawa"
" Waacheni wanyonge wafanye kazi zao Kwa Amani"
" Uchumi huu umelenga kugusa watu masikini"
" Yeyote atakayewaonea hawa watifua udongo ataona joto la jiwe"
" Ninawatumikia Hawa wasakatonge, hawa ndio mboni yangu"
Na kauli zingine Kama hizo.

Kama hutatumia kauli hizo Kwa sehemu kubwa basi jua umeumia kwenye nchi hii.

6. Watanzania wengi hasa wasioajiriwa serikali au sekta Rasmi hupenda kusikia watumishi wa Umma wanalalamika iwe Kwa kutoongezewa mishahara, iwe Kwa kunyimwa posho, au kunyanyaswa na wanasiasa.

Kiongozi yeyote ambaye atawafanya watumishi wa Umma walie lie Kama Mbuzi, anajijengea kupendwa na Watanzania wengi waliomasikini.

7. Watanzania wengi hasa waliokataa shule wanafurahia wasomi kukosa Ajira.
Unaweza usiamini lakini iko hivyo.

Mtu yeyote ambaye ataathiri suala la Ajira mpaka wasomi wakapiga mayowe lazima apendwe na watu wa chini kabisa.

8. Watanzania wengi wanapenda kutetewa kuliko kujitetea, yakikukuta watakuita kihere here. Kutokana na umasikini na ujinga WA wengi hii huwafanya kuwa wanafiki.

Unapowatetea Watanzania basi kuwa makini Sana. Watetea ukiwa na maslahi yako binafsi. Ukiingia mzima mzima yatakukuta, na yakikukuta watakuita kiherehere.

Kama nilivyowahi kuandika, usiwasaidie masikini. Kisha niliwahi kumuandikie Barua Lisu kuwa asiwatetee masikini na wajinga isipokuwa akiwa na Maslahi yake binafsi.

Upinzani nafikiri wakati huu kwao ulikuwa muhimu Sana.

SSH Hana ushawishi mkubwa kihivyo. Mlipaswa mtembee na Line hiyo Kwanza.

Kisha mtembee na makosa yanayojitokeza kama vile ishu ya Tozo za MIAMALA, suala la kukatika katika Kwa umeme, kupanda Kwa bei ya Mafuta NK.

Kwani mambo hayo ndio yanaogusa Watanzania wengi waliomasikini na wasio na elimu.

Kama mngefanya hiyo calculation hakika mngepata uungwaji Mkono na Watanzania wengi ingawaje Kama nilivyosema Watanzania wengi ni WANAFIKI lakini huenda mngeongeza Fans base ndani ya jamii.

Pia kutokana na Watanzania wengi kupenda hadithi za kufikirika na propaganda za kitoto. Hili la Chanjo ya Corona mngelipinga,
Hata Kama msingepinga wote lakini angetokea viongozi wanne wenye ushawishi walipinge Kama anavyofanya Gwajima.
Ingawaje naona ugumu Kwa upande wenu kwani wenye hizo chanjo huenda ndio wanaowafadhili.

Mnashindwa hata na Gwajima bhana. Fanyeni Calculation vizuri. Hii michezo inahitaji akili zaidi kuliko hisia.

SSH akiwashinda 2025 msitegemee Kama kuna ambaye mtamuweza.

Sababu nimeshawapa, nayo ni kuwa Hana ushawishi mkubwa ndani ya jamii kutokana na kuwa bado kuna kasumba ya mwanamke kutopewa nafasi kubwa ya uongozi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro

kwan wanaopinga chanjo ni watanzania tu? mama taikon 😂 😂 😂 😂
 
Unajua maana ya ushawishi lakini??

Kama Upinzani ungekuwa na ushawishi ZANZIBAR isingetawalika amini nakuambia
🤣 🤣 🤣 🤣Huna hoja yoyote. Kinachofanya CCM iweze kutekeleza uhuni wote huo ni kalba ya watanzania. Tukiacha siasa za kuingia Ikulu toa mfano wowote wa kitu ambacho wananchi walishahamisika kwa ushawishi na kuipinga serikali. Mfano mdogo tu ni huu wa ongezeko la tozo. Watu wanapiga kelele chini chini tu lakini hakuna wanaojitokeza kuchukuwa hatua yoyote. Mbona Kenya wananchi wako very sensitive kwa mambo mengine nje ya siasa?
 
Back
Top Bottom