Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

akuwe slay queen till date while she have two beautiful kids..? Ama uslei kwini unapaswa uishe lini..!?
Wolper tatizo nae kajiachia kanenepeana kama boga ndio maana anaonekana mzee kuliko dada zake akina Millen, Nancy, K-Lyn n.

Ila yeye kwakuwa ana ndoa, inategemewa zaidi atulie aache haya anayofanya hata kama mumewe kakengeuka ndio mumewe tena.
 
absolutely Sweets,
wanatakiwa wakae zao low key wa-enjoy matunda ya huba lao kimya kimya..!!
'unakula kisha unafuta mdomo', zile za kula nyama nyamaza..!!😂😂
🤣🤣🤣🤣 kumbe una vituko hivi?

Mimi katika wadada maarufu namkubali sana Maua Sama, kanajielewaaa.

Alipewa somo na Vanessa hajamwangusha, kanakula kimyakimya!
 
Tena bora hata kwa Rich, huyu mpya atamliza kilio cha mtu mzima mdomo wazi!
Tuko hapa
 
Kwa waliocheza komborera wanajua lile chupa au chochote kinavyobutuliwa ashazoweya kubutuliwa na kila sana!
 
Kwasababu wataendeleza bata,
Mzee atataka akae walee familia tu
Siyo sahihi! Issue ni kuwa mtu kama wolper ni mkoboaji aliyekubuhu. Alifukuzwa shule sababu ya kuwakoboa wenzie.

Ukoboaji unaambatana na kuilamba K. Kwa mwanamke aliyezoea kunyonywa k hatosheki hadi ulimi ausikie kwa chinova.

Mwanaume anayejitegemea mtu mzima hawezi kuingiza ulimi wake katika K. Lakini Mario akiambiwa nyonya, hana jinsi. Ndo maana unakuta mamario wana midomo myekundu kwa kuathirika na mabakteria etc.

Ukumbuke masupastaa wengi ni wakoboaji. Cc Nifah
 
Tanzania ni kiwanda cha matatizo ya ndoa
 
Nimekuja kugundua Wopler anapenda vivulana vidogo, wakubwa huwa ni madanga tu.

Refer Harmonize, kale kavulana sijui brown, mume Rich ndio hivyo nae mdogo…
Sasa hivi hilo shimo si km mapango ya amboni?
Ukiingia ni mazima labda uingize kichwa mwili ufuate.
Dogo wa mitindo kakimbia ili asiendelee kuzama.
 
Hawa mabinti walichokosea walifocus na sanaa kipindi ambacho walikuwa wako on fire. Tofauti ya Wema, Uwoya na Jokate, Faraja Kota ni shule. Baada ya kufanya vizuri kwenye miss Tanzania Wangefocus kwenye shule wangefika mbali sana. Maana huu mfumo wa haki sawa unapendelea wanawake wazuri wenye vyeti. Maana hata ukifuatilia huko nyuma Akina Chifupa na Vicky Kamata walikuwa wa moto sana.
 
Nifah inasemekana Wolper aliwahi kukuta meseji richi anabebishana na kidume mwenzie...baby baby nyingi. Inasemekana 😃
Hili pia nimewahi kulisikia dear, wengine wanadai Wolper anapenda maisha makubwa ndio Rich ikawa inabidi nae adange masikini!

Ila sijapata uhakika nalo, ngoja nitalifuatilia.
 
Aiseeee leo nitajifunza mengi! Kumbe huwa inashindikana kuacha?
 
Hivi warumi aliiugua? Alikuwa na taarifa za moto sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…