Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako degree unaona ni kitu Cha maana saaana si ndio?
Huna sifa acha porojo zisizo na msingiBasi zingekuwa km zile scania za kuanzia Zambia South Africa ingeleta tija sio haya makopo ya mchina
Ungejua wanalipwaje ndio useme wanadharau Degree...Ofisi kibao posta magorofani unakuta mhasibu mwenye degree anakula mshahara wa 300k sasa iyo ndio dharau.
........Kwani Wahindi wanawalipaje graduate?
Hivi unajua kama umeongea pumba mwanetu!Basi zingekuwa km zile scania za kuanzia Zambia South Africa ingeleta tija sio haya makopo ya mchina
kwa sasa unapata mwenye msambwanda na degree.Kampuni ya Loliondo wanakwambia kama hauna Bachelor Degree usijisumbue.
Wakati kampuni nyingine zinaangalia Msambwanda mixer Uzuri wa Binti, Loliondo wanakuambia Msambwanda bila degree kaa nalo nyumbani kwako
degree siyo ya maonesho, huko maofisini wanafanya nini la maana. La muhimu mkataba wa kazi na maslahi yote ikiwa pamoja na NSSF.