Huku ni kudhalilisha elimu ya degree. Yaani kuwa mhudumu wa basi napo mpaka degree. Wamiliki wa mabasi acheni dharau

Huku ni kudhalilisha elimu ya degree. Yaani kuwa mhudumu wa basi napo mpaka degree. Wamiliki wa mabasi acheni dharau

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
F9sxMA_X0AE0mBm.jpg
 
Acha watu wapate hiyo kazi.. wakiwa kwenye hiyo kazi ndo watapata connection ya kazi za ndoto zao. Tena ninawashauri watakaopata wapige kazi na kuhudumia abiria vizuri ili kutengeneza mazingira ya bahati kuwa upande wao.
 
Back
Top Bottom