Huku ni kudhalilisha elimu ya degree. Yaani kuwa mhudumu wa basi napo mpaka degree. Wamiliki wa mabasi acheni dharau

Huku ni kudhalilisha elimu ya degree. Yaani kuwa mhudumu wa basi napo mpaka degree. Wamiliki wa mabasi acheni dharau

IMG_20231031_162409.jpg

Kwa digrii nyingi za hivi vyuo vyetu kazi yake tu ni kumuonyesha anayeweza kuwa mwajiri wako kwamba ulijitokeza mahali fulani kwa miaka kadhaa mfululizo, ukakamilisha mfululizo wa kazi fulani ipasavyo, na kwa wakati. Kwa hivyo, ikiwa atakuajiri, kuna uwezekano kwamba utakuja hapo kila siku na huta *@&#&£ biashara yake
 
Unashangaa hiyo? Shangaa kuna vijana wameanzisha pre form tuition wanataka walimu wa kufundisha watoto hao wawe na degree nimecheka sina mbavu. Yaani wenye degree wanadhalilika kiasi hicho? Si bora nikalime nyanya shambani, full kichekesho ni mapatano ya mshahara hauendani na ukubwa wa elimu. Tuache ushenzi tuheshimu na kuthamini elimu yetu
 
Ewaaah! Warembo wenye sifa hizo wachangamkie fursa hiyo
Tunaishukuru serikali ya CCM kwa kuwezesha kupatikana wasomi wenye misambwanda. Zamani ilikua mtu kama spika kijana Tulia ndo bila kuuliza unajua ni msomi... ila siku hizi wadada wenye shepu za Uwoya, Mariam biriani, Sanchoka nao ni wasomi na unakuta ni kipanga haswa.
 
Degree+connection +kulalwa= kazi ya ukondakta wa mabasi
Nchi hii imechoka sana
 
Wanazungumzia urembo wakati mabasi yenyewe hayana mvuto, wangeanza wao ku beautify mabasi
wapumbavu wengi hata haya hawana, we ulitaka uone mvuto gani kwenye basi. Halafu ukute mshamba flani tu umefika mjini juzi.
 
Digirii ni kauchafu flani watu wanako alafu hakana faida kama yule mbweha anaelalamika kukosa kazi TRA
 
Ndugu badilika utabaki na hiyo degree yako wenzako wanapiga pesa.
Muache ,utadhani ndiye wa kwanza kuishika iyo degree. Ishu Ni hela. Kuna watu wana masters na degree wanalipwa hela ambayo mwanachuo wa Tanzania anamzidi ,Mana saivi madogo Wana lamba 300k per month. Sasa Kuna watu wanalipwa 150-200k
 
Mkuu Mbona Ipo Vyema Sana Tunataka Mapinduzi Ya Huduma Na Huwezi Kupata Bila Kutumia Elimu
 
Unashangaa hiyo? Shangaa kuna vijana wameanzisha pre form tuition wanataka walimu wa kufundisha watoto hao wawe na degree nimecheka sina mbavu. Yaani wenye degree wanadhalilika kiasi hicho? Si bora nikalime nyanya shambani, full kichekesho ni mapatano ya mshahara hauendani na ukubwa wa elimu. Tuache ushenzi tuheshimu na kuthamini elimu yetu
Mwaka 2018 kwenye biashara yangu ya mgahawa kulikuwa mpika vitafunwa mwenye Bcom ya Mlimani. Yule dada wakati kaomba kazi hakutaja elimu yake kwasababu ilikuwa anahitajika kwa haraka sana hakukuwa na muda wa kuulizana. Baada ya miezi kupita ndo katika stori akaanza kutupigia stori za UDBS na mambo mengine mengi. Nilishangaq sana pamoja na kuhuzunika huku nikijiuliza maswali mengi. Kitu alichokuwa tofauti ni ule u-smart wake. Vile vitafunwa vyake vilikuwa na quality ya popote duniani na alikuwa msafi balaa. Kwa sasa sijui yuko wapi ila kama aliendelea na upishi wa vitafunwa nadhani atakuwa yuko sehemu yenye malisho mazuri.
 
Kazi ya ukondakta wanataka degree?
Mabasi ya mchina mnaweza kuishia kutolewa makafara tu shauri yenu vijana.
 
Back
Top Bottom