mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Asante sanaPole sana mkuu
Hivyo hivyoPole sana ndugu dawa kuwakwepa tu hamna namna
Wewe unasema hivyo mm nililipa 1 million kwa biashara ambayo haijawah ku operate hata siku moja..Pamoja na umachinga wangu, bado nikasema nisaidie nchi yangu kwa kulipa kodi, nimechukua tin namba nikakata leseni nikafungua kiosk, nikakadiriwa nilipe laki nne kwa mwaka, kila miezi mitatu 100,000/=.
Nimelipa vizuri mara tatu, mara ya nne nimechelewa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu ikiwemo biashara kuchechemea,
Wiki iliyopita nikakopa ili nilipe deni la serikali nakuta kuna 100,000/= principal,
1500/= riba na 150,000/= adhabu au faini ajili ya kuchelewa kulipa,
Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?
Serikali na nyie tra mjiangalie sasa
Pole piaMwenzio nlichelewa kutuma return,. Napo sikuchelewa ila ilikua ni ishu ya mtandao.. SDL 450,000/= penalty. PAYE 450,000/= penalty. Jumla 900,000/=..
Na siwezi kurenew leseni hadi nilipe,. Humu tu🤒
Dah, pole sana, kumbe tupo wengi, basi serikali inakula haramu aiseeWewe unasema hivyo mm nililipa 1 million kwa biashara ambayo haijawah ku operate hata siku moja..
Niliumia sana sitasahau isee.
Happy nyu yia,,humu tu😆🤣Mwenzio nlichelewa kutuma return,. Napo sikuchelewa ila ilikua ni ishu ya mtandao.. SDL 450,000/= penalty. PAYE 450,000/= penalty. Jumla 900,000/=..
Na siwezi kurenew leseni hadi nilipe,. Humu tu
Hawa ukiwaendekeza unaua mtaji wako wote,.Pole pia
Washenzi hawa,,. Na wanakaza wanajua lazima nilipe kwasabu leseni karibu inaexpire,.Happy nyu yia,,humu tu😆🤣
Ndio maana nafunga biashara nianze kukimbizana nao na mie angalau nitajirike sasaHawa ukiwaendekeza unaua mtaji wako wote,.
Tutaendelea tu kupita njia za panya
😂Mi nimeishi kuwakwepa mwaka wa 7 huu wakinikamata wataniua walahi tena😂
Ni mwendo wa kuwakwepa tu saiviWashenzi hawa,,. Na wanakaza wanajua lazima nilipe kwasabu leseni karibu inaexpire,.
Wapambane tu hali yao hukohuko