Huku ni kukomoana, sijawahi kuona wala kusikia kama hili duniani, TRA mjiangalie

Huku ni kukomoana, sijawahi kuona wala kusikia kama hili duniani, TRA mjiangalie

Mwenzio nlichelewa kutuma return,. Napo sikuchelewa ila ilikua ni ishu ya mtandao.. SDL 450,000/= penalty. PAYE 450,000/= penalty. Jumla 900,000/=..
Na siwezi kurenew leseni hadi nilipe,. Humu tu:AMOGUS:
Sis una kampuni kabisa nipe mchongo 😝.....

Kuna mwenzio haku file 2022 & 2023 ni hatare

Notice of discussion kama zote......
 
Tena mimi siongei sana na-screenshot namtumia yeye mwenyewe amalize wasinichoshe basi atajisemesha mpk basi 😹😹😹
Na kuniacha hawezi inabidi awe mpole
Atafanyaje sasa😄,.

Mie nilishajisemeaga kodi nitalipa, service levy nitalipia lakini hizi penalty kwakweli mie waendelee tu kunipiga silipi,.
Wakinibana sana nitabadili jina😑
 
Mkuu unakitu flani,. Naomba tueleweshe tena tafadhali
Yaani hapo unaweza omba kupunguziwa adhabu ama kufutiwa adhabu ya hizo penalties zao Ila lipa kiasi kile unachohitajika kulipa huku ukiambatanisha barua...... kwenda TRA. Tafuta tax experts akusaidie hasa hizi kampuni za AUDIT and Tax wako vzr upande huo.......
 
Yaani hapo unaweza omba kupunguziwa adhabu ama kufutiwa adhabu ya hizo penalties zao Ila lipa kiasi kile unachohitajika kulipa huku ukiambatanisha barua...... kwenda TRA. Tafuta tax experts akusaidie hasa hizi kampuni za AUDIT and Tax wako vzr upande huo.......
 
Shida ndio kwanza kinaanza hata bado hakijakua,.
Nilichogundua hii nchi ukitaka kufanya mambo yako systematically unaweza hata kufirisika na kuua kamtaji kako kote,.
Jitihada kama ni kampuni maake nimeona SDL NA PAYE

file mapema kabla ya tarehe saba kila mwezi kama kampuni bado Haina wafanyakazi kazi kumi hulipii SDL Ila una file zero return lakini ni lazima u-- file!

Kingine fanya makadirio mapema na lipa mapema maake ikikaribia 31stjanuary au June au September mfumo wao unakuwa nzito!

Lipia withholding tax ya Kodi, watu wa taka, ulinzi, wafanyakazi, kata maake unatoa katika unacholipa so hamna hela yako kutoka mfukoni.....

Then Kuna kufile Tena hizo withholding ukiisha lipia.......


Utaenda nao vizuri

Usisahau EFD receipts na zreport ziwe sahihi na sales as you record in Tally ama quick books!
 
Jitihada kama ni kampuni maake nimeona SDL NA PAYE

file mapema kabla ya tarehe saba kila mwezi kama kampuni bado Haina wafanyakazi kazi kumi hulipii SDL Ila una file zero return lakini ni lazima u-- file!

Kingine fanya makadirio mapema na lipa mapema maake ikikaribia 31stjanuary au June au September mfumo wao unakuwa nzito!

Lipia withholding tax ya Kodi, watu wa taka, ulinzi, wafanyakazi, kata maake unatoa katika unacholipa so hamna hela yako kutoka mfukoni.....

Then Kuna kufile Tena hizo withholding ukiisha lipia.......


Utaenda nao vizuri

Usisahau EFD receipts na zreport ziwe sahihi na sales as you record in Tally ama quick books!
Yote hayo nafanya mkuu na niko makini sana sana sana,.

Nadhani Ilitokea tu mistake nilichelewa nayo ilikuwa ni kwasababu ya mtandao,. Na sikuwa nafahamu mpaka nilipoenda kuomba Tax clearance ndio nikakutana nalo hilo na wamekaza inabidi nilipe licha ya kujitetea na kuomba kufutiwa,.
 
Atafanyaje sasa😄,.

Mie nilishajisemeaga kodi nitalipa, service levy nitalipia lakini hizi penalty kwakweli mie waendelee tu kunipiga silipi,.
Wakinibana sana nitabadili jina😑
Hana la kufanya, anajuta kujichanganya kwa mkinga 😹😹

Mimi kuna mmoja tulizinguana kuhusu mashine ya risiti, wakanipiga faini million tatu na laki tano.!! Akajua ntamwambia tuyajenge nikamwambia pouwa hamna shida mheshimiwa, akaniwekea na namba zake nimtafute.!! Nikasema sawa.!!

Nikamtafuta boss wake nikampa taarifa, nikakuta jamaa karudi ananichekea 😹😹

Namuuliza vipi? Haah sister naona unaringia rangi 🤣😹😹
Nikamwambia sasa kulikuwa na umuhimu gani baba kumsaundisha chotara azae naye??😜
Hii nchi kuna muda haitaki uwe serious 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Hapo wamezingua big time but ni vizuri pia kuwa na watu kwenye system hao jamaa ni rafiki zetu tusiwafanye maadui.

Kwenye vitengo kuwa na watu wawili watatu kunakusaidia kuepuka baadhi ya mambo zipo moment mtu unazipitia kwa sababu huna watu,mimi nafanya biashara naelewa maumivu unayopitia but next time jaribu kuwavuta watu kwenye angle yako ili ucheze salama simshauri mtu kuwakwepa bora kuwaweka karibu.
 
Mkuu unakitu flani,. Naomba tueleweshe tena tafadhali
Mkuu, Afisa TRA kazi yake ni kukusanya au kutengeneza fedha kupitia kodi, hili ndo lengo kuu na anapimwa nalo.

Mara nyingine japo si mara zote maafisa esp wanaosimamia small na medium tax payers huwa wanatoa majibu ya midomoni kukidhi miongozo ya malengo yao waliyopewa. Hawakuambii wazi ukitaka usilipe ni nini cha kufanya.

Hii mbinu wanaipenda mno sababu sisi huwa tunachukua majibu ya midomoni ya maafisa kama majibu rasmi ya serikali kupitia TRA kumbe afisa wakati anakujibu alikuwa anawaza target zake alizopewa na incharge wake.

Sasa tukichukulia mfano wa mleta mada, adhabu na interest zipo kisheria na ni halali, ila sheria hiyo hiyo inaruhusu kusamehewa adhabu kwa makubaliano ya kulipa principle na wafanyabiashara wanaendelea kusamehewa adhabu na riba kwa utaratibu huu.

Sasa, hakuna haja ya kubishana na afisa maana yeye ana uwezo wa kutumia kutokujua kwako kufikia malengo yake aliyowekewa.

We unajiuliza tu maswali:
Hii adhabu ni halali kusheria? Ndio
Naweza kuilipa? Hapana.
Nina haki ya kutokuilipa kisheria pamoja na uhalali wake? Ndio.
Unapambania jambo lako.

Njia pekee ya kupata haki yako ni majibizano kwa njia ya barua. Hata ikitokea incharge au manager kesi yako imemfikia, akiitisha file anapata historia nzima si bla bla za niliambiwa hivi, nikaambiwa vile.
 
Yaani wanavyowakomalia hivyo utafikiri wako serious wanatafuta hela ya serikali kumbe wanatafuta hela ya ada za watoto wao na kumalizia nyumba zao.
Nishafunga biashara moja. Hii iliobaki nawasubiri siku ya discussion hawataamini nikiwaambia hio hela mnayotaka nilipe sina, fungeni boashara.
 
Hana la kufanya, anajuta kujichanganya kwa mkinga 😹😹

Mimi kuna mmoja tulizinguana kuhusu mashine ya risiti, wakanipiga faini million tatu na laki tano.!! Akajua ntamwambia tuyajenge nikamwambia pouwa hamna shida mheshimiwa, akaniwekea na namba zake nimtafute.!! Nikasema sawa.!!

Nikamtafuta boss wake nikampa taarifa, nikakuta jamaa karudi ananichekea 😹😹

Namuuliza vipi? Haah sister naona unaringia rangi 🤣😹😹
Nikamwambia sasa kulikuwa na umuhimu gani baba kumsaundisha chotara azae naye??😜
Hii nchi kuna muda haitaki uwe serious 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Haha😂😂😂,.
Sema mie huwa sina ujasiri nilisema tu sawa baasi,. Kwasabu najua hata wasiponipa Clearance Kuna watu ni wajanja sana hii nchi,.
SAizi waniache tu kwanza
 
Yaani hapo unaweza omba kupunguziwa adhabu ama kufutiwa adhabu ya hizo penalties zao Ila lipa kiasi kile unachohitajika kulipa huku ukiambatanisha barua...... kwenda TRA. Tafuta tax experts akusaidie hasa hizi kampuni za AUDIT and Tax wako vzr upande huo.......
WakO vizuri ila na wenyewe wana beiiii
 
Nachokushauri na wao wapo hapa...na NI makatili kweli kweli...na wanamamlaka ya kukupsamehe hio fain ...ongea nao vizuri hata hio biashara umekadiriwa juu sana itakuwa umewapa maelezo ya prediction za juu...hao NI watu ongea nao ukishindwa so salama Ila wakwepe ...tatizo tunakopa Kodi wachache...tungelipa wote kama.magu alivyofanya kila MTU yaani hakuna kuzurura bila ya kulipa Kodi ndio tungeelewana kidogo maumivu uyapatayo wachache wanayajua
 
Huyo hakufanya biashara ila hakuandika barua kuwa hafanyi biashara na alipewa makadirio.
Ni kweli mkuu RRONDO ila afisa alipaswa kumpa elimu sahihi na njia ya kutoka hapo. Naamini hili lingetokea asingekuja mitandaoni.

Raia tuna udhaifu na maafisa wana udhaifu matokeo yake ndo haya. Kuviziana na kukomoana. TRA anakosa kodi na mfanyabiashara ninakosa uhuru wa kufanya biashara
 
Mwenzio nlichelewa kutuma return,. Napo sikuchelewa ila ilikua ni ishu ya mtandao.. SDL 450,000/= penalty. PAYE 450,000/= penalty. Jumla 900,000/=..
Na siwezi kurenew leseni hadi nilipe,. Humu tu:AMOGUS:
Kama iliyopita ilikuwa kabla ya mfumo anza upya usirenew. Ila kama mfumo ulikuwa ushaanza kipindi unakata ndo basi tena hauna namna, inabidi ulipe tu ili urenew.
 
Back
Top Bottom