Huku ni kukomoana, sijawahi kuona wala kusikia kama hili duniani, TRA mjiangalie

Huku ni kukomoana, sijawahi kuona wala kusikia kama hili duniani, TRA mjiangalie

Kuna Kodi nyingi sana serikali kupitia TRA inapoteza kwa kulazimisha watu wachache wabebe mzigo wa waTZ wote.
Mfano Wamachinga hasa kkoo kwenye hizzi meza,madalali,mawinga,wauza dawa asili/tiba lishe,mafundi,wauza vyakula/vibanda vya chips/mama ntilie/migahawa/wauza juice/vinywaji n.k

Hawa watu wanaingiza pesa vibaya mnooo,ajabu tunabanwa watu na vimitaji vyetu vidogo vya kuunga unga,Lazima wafanyie kazi ili makali ya Kodi yapungue kwa walioamua kwa hiari kulipa Kodi ili wasije juta.

Kodi iqe lazima kwa wote bila ubaguzi,Hata madalali wajisajili na wapewe mashine ya EFD kama wengine na vimitaji vya million5 Tena ya mikopo tukalazimishwa tubblebe mashine za EFD.
 
Kuna Kodi nyingi sana serikali kupitia TRA inapoteza kwa kulazimisha watu wachache wabebe mzigo wa waTZ wote.
Mfano Wamachinga hasa kkoo kwenye hizzi meza,madalali,mawinga,wauza dawa asili/tiba lishe,mafundi,wauza vyakula/vibanda vya chips/mama ntilie/migahawa/wauza juice/vinywaji n.k

Hawa watu wanaingiza pesa vibaya mnooo,ajabu tunabanwa watu na vimitaji vyetu vidogo vya kuunga unga,Lazima wafanyie kazi ili makali ya Kodi yapungue kwa walioamua kwa hiari kulipa Kodi ili wasije juta.

Kodi iqe lazima kwa wote bila ubaguzi,Hata madalali wajisajili na wapewe mashine ya EFD kama wengine na vimitaji vya million5 Tena ya mikopo tukalazimishwa tubblebe mashine za EFD.
Umeongea bonge la point, TRA Tanzania njoeni hapa
 
Nimewaambia pokeeni hii haki yenu mi nafunga biashara, wamesema hawaifungi mpaka nilipe deni lote
Huyo ni afisa anakusumbua tu kumeet target, we achana na maneno, kuwa serious na jambo lako, andika barua rasmi, lipa principle omba remission ya interest na penalties. Watu wanafutiwa mamilioni ya penati kwa kulipa principle TRA ikukazie kwanini?
 
Huyo ni afisa anakusumbua tu kumeet target, we achana na maneno, kuwa serious na jambo lako, andika barua rasmi, lipa principle omba remission ya interest na penalties. Watu wanafutiwa mamilioni ya penati kwa kulipa principle TRA ikukazie kwanini?
Sawa nitajaribu, nikishindwa nitakutag
 
Kuna Kodi nyingi sana serikali kupitia TRA inapoteza kwa kulazimisha watu wachache wabebe mzigo wa waTZ wote.
Mfano Wamachinga hasa kkoo kwenye hizzi meza,madalali,mawinga,wauza dawa asili/tiba lishe,mafundi,wauza vyakula/vibanda vya chips/mama ntilie/migahawa/wauza juice/vinywaji n.k

Hawa watu wanaingiza pesa vibaya mnooo,ajabu tunabanwa watu na vimitaji vyetu vidogo vya kuunga unga,Lazima wafanyie kazi ili makali ya Kodi yapungue kwa walioamua kwa hiari kulipa Kodi ili wasije juta.

Kodi iqe lazima kwa wote bila ubaguzi,Hata madalali wajisajili na wapewe mashine ya EFD kama wengine na vimitaji vya million5 Tena ya mikopo tukalazimishwa tubblebe mashine za EFD.
TRA Tanzania waisome hii📌
 
Back
Top Bottom