Shangazi zako hawakipigwa kama mkuu alivyoahidi?CCM imechokwa Hadi vijijini, shangazi zangu huko Mtwara hawataki hata kuisikia, hawajalipwa fedha za korosho zao na msimu mpya unaanza. Ndege zinawasaidia nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shangazi zako hawakipigwa kama mkuu alivyoahidi?
Wastaafu wenyewe mnashindwa kuwalipa halafu mnajisemesha eti tuna mapesa mengi sana sisi.Hovyoomzunguko wa pesa una indicators zake wacha pumba, haimaanishi eti kisa wanaouza maduka wamekosa wateja basi mzunguko uko vibaya, kufilisika kupo hata ukiwa kwenye uchumi mkubwa duniani, kama mm mwananchi wa kawaida naweza kusema mzunguko upo vizuri then probably it is, wewe kushindwa kuendesha biashara sio utusumbue uchumi, as long watu wengine wanafanya biashara zao na wanapata pesa za kujikimu ndo uchumi wenyewe sasa huu:
infact TSH ndo pesa iliosmama na USD mwaka mzima bila kuterereka afrika nzima
acha ufalla kafanye kazi.Huku ndo kukurupuka anakosema mleta mada, Wewe huo mzunguko mzuri wa fedha unakupitia wewe na ndugu zako mliojishikiza Ikulu unadhani hali iko hivyo kwa kila mtu?
Wastaafu wenyewe mnashindwa kuwalipa halafu mnajisemesha eti tuna mapesa mengi sana sisi.Hovyoo
Wapo wengi tu.hakuna mstaafu aliebaki na malalamiko hajalipwa, leten uongo mwingine
maduka gani yamekosa wateja, kkoo nakwenda kila siku ndio kwanza watu wamejaa mpaka usalama uko mashakani.mzunguko wa pesa una indicators zake wacha pumba, haimaanishi eti kisa wanaouza maduka wamekosa wateja basi mzunguko uko vibaya, kufilisika kupo hata ukiwa kwenye uchumi mkubwa duniani, kama mm mwananchi wa kawaida naweza kusema mzunguko upo vizuri then probably it is, wewe kushindwa kuendesha biashara sio utusumbue uchumi, as long watu wengine wanafanya biashara zao na wanapata pesa za kujikimu ndo uchumi wenyewe sasa huu:
infact TSH ndo pesa iliosmama na USD mwaka mzima bila kuterereka afrika nzima
Hakuna awamu watu wameuwawa Kama hii. Mnalijua hilo na linawaumiza Sana, mambo ya hovyo na yakuchekesha mengi yamepatikana awamu hii.
Kivuli chenu kikuu Cha kujifichia ni
--uzalendo
--uchochezi
--ubeberu
--tunamtaka dereva wa Lissu
Uzalendo huo mmeuanza awamu hii? Madudu na maovu yapo awamu hii ya utawala wa washamba(Nape alisema)
umezaliwa 2015 wewe eh??Hakuna awamu watu wameuwawa Kama hii. Mnalijua hilo na linawaumiza Sana, mambo ya hovyo na yakuchekesha mengi yamepatikana awamu hii.
Kivuli chenu kikuu Cha kujifichia ni
--uzalendo
--uchochezi
--ubeberu
--tunamtaka dereva wa Lissu
Uzalendo huo mmeuanza awamu hii? Madudu na maovu yapo awamu hii ya utawala wa washamba(Nape alisema)
Wapo wengi tu.
Mm ni mwajiriwa nawajua wengi sana. Alafu watu wanateseka sana, acheni porojo mnajiongezea dhambi tu.
Kwa comment hii, ngoja niamke nijiandae kwenda Church. Mungu akusamehe.dhambi ya usaliti ni mauti sasa unachoshangaa ni nn apo! he was supposed to be dead by now, YUda anaweza kukuelezea vizuri, ukiachana na uongo wenu mnaosambaza, ushawahi kuona wap duniani mtu anaenda kuwakilisha wananchi bungeni alafu anafukuzwa uanachama?
Kwa comment hii, ngoja niamke nijiandae kwenda Church. Mungu akusamehe.
Hahah we hujui kitu endelea kuimba tu iyena iyena,nenda hapo dar kwny office za mifuko ya jamii ujionee maajabu tena siku hizi wastaafu wamepigwa marufuku kufika kwny ofisi hizo eti madai yako yanashughulikiwa,yote hayo ili tu wastaafu wasijae pale ofisini na pakaonekana mnadaiwa.hakuna mstaafu aliebaki na malalamiko hajalipwa, leten uongo mwingine
Jamaa hana mshipa wa aibu huyo mkuu.Wapo wengi tu.
Mm ni mwajiriwa nawajua wengi sana. Alafu watu wanateseka sana, acheni porojo mnajiongezea dhambi tu.
Hahah we hujui kitu endelea kuimba tu iyena iyena,nenda hapo dar kwny office za mifuko ya jamii ujionee maajabu tena siku hizi wastaafu wamepigwa marufuku kufika kwny ofisi hizo eti madai yako yanashughulikiwa,yote hayo ili tu wastaafu wasijae pale ofisini na pakaonekana mnadaiwa.
Niache nini?acha ufalla kafanye kazi.
kama biashara haziendi unaishije hapo ulipo, au wewe ni mwajiriwa!!!
sasa si kila mwaka watu wanastaafu aisee, kama ni yale ya kipindi kile hakuna ambae hajalipwa mpaka leo, ivi mbna vyama vingine havina vurugu kama nyie mbna wengine page zao zko safi kabisa sera nzuri hawana maneno mengi nyie mna tatizo gan
Watanzania wanataka ;-
- Hali bora za maisha.
- Ajira
- Biashara zao zifufuke na kukua
- Mzunguko wa fedha uwe mzuri
- Uhuru na haki vitamalaki.
Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)
View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610
Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.
Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.
Maisha Kwanza Vitu Baadaye.