Uchaguzi 2020 Huku ni kupuuza vilio na malalamiko ya watanzania. Nini anataka huyu mgombea urais wa CCM?

Uchaguzi 2020 Huku ni kupuuza vilio na malalamiko ya watanzania. Nini anataka huyu mgombea urais wa CCM?

Ukimchagua Lisu ni sawa na kumuweka madarakani Amsterdam.
Hakika mkuu.
JamiiForums-879927817_641x534.jpg
 
Dk 30 za Lissu zina maana kuliko massa 8 aliyoongea Magufuli. Muongo huzunguka sana ili kuaminisha uongo wake.....
Upuuzi mtupu, huyo anayesema hatakusanya kodi na hapohapo anatuahidi mambo kibao, atalipa vipi wafanyakazi bila kodi? ataajiri vipi bila kodi? ataongeza mishahara vipi bila kodi? hivi mnatuchukuliaje watanzania lakini?

Anaahidi kufuta anazoziita kodi 15 za wafanyabiashara na hivyo kuruhusu bidhaa kuingia nchini bure, kweli tunamchagua ili atafutie mabwana zake soko la bidhaa za viwanda vyao? tunamchagua ili aifanye Tanzania dampo? anataka turudi kwenye ukoloni? Pathetic..
 
sasa huoni umetoa pumba na umejijibu, kwan hizo ndege hazijatoa ajira? alafu mbna mzunguko wa pesa uko fair, infact tsh ndo pesa pekee mwaka huu iliokua head to head na USD, kwa kifupi nenda tu kalale
Zimetoa ajira kwa ma pilot 10

Lakini hiyo pesa ingewekezwa katika ajira maelfu wangepata ajira na mishahara na mafao yangeozeka
 
Zimetoa ajira kwa ma pilot 10

Lakini hiyo pesa ingeeekezwa latika ajira maelfu wangeoata ajira na mishahara na mafao yangeozeka

sasa wewe ulitaka wanaosomea pilots wasiajiriwe ama? na wale air host je? acheni pumba
 
Hila maisha kweli ni magumu mzee kabana sana hatutaki maendeleo ya vitu pia watu pia tuwe na hela tofauti na kipindi cha nyuma cha mzee J. K huyu wanakula wale wale ambao wapo kwenye system hii mbaya sana mzee anatupuuza sana si kwa vile anaona hakuna mbadala wake? Lissu bado sana kuongoza lakini mzee kabana mimi ni kada kinda kinda lakini nimeona niseme ukweli
 
sasa huoni umetoa pumba na umejijibu, kwan hizo ndege hazijatoa ajira? alafu mbna mzunguko wa pesa uko fair, infact tsh ndo pesa pekee mwaka huu iliokua head to head na USD, kwa kifupi nenda tu kalale
Tsh ipi unayoongelea wewe hapo mkuu?
 
He is a DISASTER and a DISGRACE to our beautiful country. The future of this beautiful country is very BLEAK.

Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
 
Hakuna awamu watu wameuwawa Kama hii. Mnalijua hilo na linawaumiza Sana, mambo ya hovyo na yakuchekesha mengi yamepatikana awamu hii.
Kivuli chenu kikuu Cha kujifichia ni
--uzalendo
--uchochezi
--ubeberu
--tunamtaka dereva wa Lissu
Uzalendo huo mmeuanza awamu hii? Madudu na maovu yapo awamu hii ya utawala wa washamba(Nape alisema)
👊👊
 
Huyo anayekusanya kodi za dhulma na wizi mbona hajaajiri vijana kwa muda wa miaka sita anapiga blah blah tu???
Sio nchi ya wafanyakazi pekee hii, pesa inayokusanywa tunaona inakoenda, tuliombwa kufunga mikanda na tumeridhia, wakulima washalalamika lini kutokuajiriwa miaka yote wafanyakazi wanapoajiriwa? ni lini wakulima weshalalamika kutokuongezewa mishahara wakati wafanyakazi wakiongezwa mishahara? SGR na Mwl Nyerere HEP zitatumiwa na wote wakulima na wafanyakazi, huyo anayetueleza atafuta kodi na bado atatoa huduma ya afya bure, atalipa mishahara na kuleta mafuriko ya bidhaa za nje nchini atatoa wapi pesa? tunachagua afisa masoko wa mabeberu?
 
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzto
Upuuzi mtupu, huyo anayesema hatakusanya kodi na hapohapo anatuahidi mambo kibao, atalipa vipi wafanyakazi bila kodi? ataajiri vipi bila kodi? ataongeza mishahara vipi bila kodi? hivi mnatuchukuliaje watanzania lakini?

Anaahidi kufuta anazoziita kodi 15 za wafanyabiashara na hivyo kuruhusu bidhaa kuingia nchini bure, kweli tunamchagua ili atafutie mabwana zake soko la bidhaa za viwanda vyao? tunamchagua ili aifanye Tanzania dampo? anataka turudi kwenye ukoloni? Pathetic..
 
Back
Top Bottom