Uchaguzi 2020 Huku ni kupuuza vilio na malalamiko ya watanzania. Nini anataka huyu mgombea urais wa CCM?

Uchaguzi 2020 Huku ni kupuuza vilio na malalamiko ya watanzania. Nini anataka huyu mgombea urais wa CCM?

CCM imechokwa Hadi vijijini, shangazi zangu huko Mtwara hawataki hata kuisikia, hawajalipwa fedha za korosho zao na msimu mpya unaanza. Ndege zinawasaidia nini.
sasa waambie shangazi zako wasiichague kuliko kusumbuka kuelezea humu haisaidii lolote
 
maduka gani yamekosa wateja, kkoo nakwenda kila siku ndio kwanza watu wamejaa mpaka usalama uko mashakani.

huku mtaani watu wanajenga fremu kila siku na zinapata wapangaji, boda boda zinabeba watu kila siku mbali na kwamba zinaongezeka kununuliwa.

anakuja mbuzi kuandika mapovu humu, kisa tu ana ndoto za bwana ake kwenda ikulu.
Kwahiyo na wewe umejipa kazi ya kutetea uongo kwasababu Bwanaako yuko ikulu? Unatukana watu mpaka unajitukana mwenyewe bila kujua.
 
Kwahiyo na wewe umejipa kazi ya kutetea uongo kwasababu Bwanaako yuko ikulu? Unatukana watu mpaka unajitukana mwenyewe bila kujua.
popote utakapojaribu kuaminisha watu magu si kitu si lolote lazima ukutane na pingamizi.
 
Huyu bwana na mwenzake kondakta kwa hakika wanaongoza kwa kuchukiwa.

Kusikia kwao mithili ya kenge.

Tutafikishana huko pia, inshallah. Zama hizi mbona siyo zile tena.
 
ACHANA NA HAYO MAWAZO YA MGANDO NANI KAKWAMBIA WANANCHI NI NYINYI TU MUNAOSHINDA MITANDAONI AU UNAZANI HIYO PESA SERIKALI ITAKUWEKEA mfukoni mwako
Tatizo pia anaua na kuteka watu pqmoja na kuwapiga risasi
 
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Tulia utakufa na stress! Hapa Kazi tu!
 
Huyu bwana na mwenzake kondakta kwa hakika wanaongoza kwa kuchukiwa.

Kusikia kwao mithili ya kenge.

Tutafikishana huko pia, inshallah. Zama hizi mbona siyo zile tena.
Utakufa wewe kwanza!
 
hakuna mstaafu aliebaki na malalamiko hajalipwa, leten uongo mwingine
Mmh mimi mama angu anazungushwa sana unakaribia mwaka kila siku wanatafuta sababu ya kupeleka penshen mbele...nilimuuliza maa kwani shida nini akasema wanachelewesha wanajua unakaribia kufa, na sio yeye tuu peke ake.
 
Mmh mimi mama angu anazungushwa sana unakaribia mwaka kila siku wanatafuta sababu ya kupeleka penshen mbele...nilimuuliza maa kwani shida nini akasema wanachelewesha wanajua unakaribia kufa, na sio yeye tuu peke ake.
Ni Sasa ni zamu ya Uhuru na haki
 
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Maisha mafupi sanaa!
 
Walimu wa Sanaa Wametelekezwa. Je kuna mpango wowote msimu huu.
Mzee ameshasema hana muda wala mipango yoyote mipya na walimu, sio walimu wa sanaa pekee, walimu wote. Lakini hapo hapo anasema ana mipango na wasanii wanaoipigia kampeni CCM, pia ana mipango ya kununua mandege mengine matano, huku zile ndege nyingine zimekiwa zimepaki tu uwanja wa ndege na makada wanaruhusiwa kwenda kupiga nazo selfie.

Sasa ndugu jipange kwa miaka mingine mitano migumu ikiwa huyu mzee ataendelea kuwa tena madarakani, hutaki huo ujinga, basi jipange kumnyima kura yako mwaka huu.
 
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Hapo tayari buku Saba wameziweka kibindoni,unafikiri wanaelewa ndugu zao na wazazi wao wanateseka mashambani
 
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Baaasi Hashimu anatufaa kua Raisi wetu au sio
 
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.

Chadema expert member. Sexless
Nafikiri chadema mnajitekenya na kujiliwaza.

Well biashara zimekwama so serikali ifanye nini?
Kuna serikali ambayo inagawa hela? Ndio maana hata mgombea wenu kapoteza direction anazungumzia kufuta 20,000 ya machinga kama agenda.

Mwaka huu kwa kweli mmenyooshwa, si ubunge every where mmekalia kulalamika Trump awasikie na yeye anamsala wake huko. Real waiting Oct 28th. Serikali huandaa environment watu wafanye biashara full stop hamna cha kuachia hela wala nini serikali inatakiwa ikusanye. Viva Magu yaani watalalamika hadi siku ya kuhesabu kura.
 
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Huyu amechoka kweli piga chini weka hata mzee wa wali kuku
 
Back
Top Bottom