sasa waambie shangazi zako wasiichague kuliko kusumbuka kuelezea humu haisaidii loloteCCM imechokwa Hadi vijijini, shangazi zangu huko Mtwara hawataki hata kuisikia, hawajalipwa fedha za korosho zao na msimu mpya unaanza. Ndege zinawasaidia nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa waambie shangazi zako wasiichague kuliko kusumbuka kuelezea humu haisaidii loloteCCM imechokwa Hadi vijijini, shangazi zangu huko Mtwara hawataki hata kuisikia, hawajalipwa fedha za korosho zao na msimu mpya unaanza. Ndege zinawasaidia nini.
Kwahiyo na wewe umejipa kazi ya kutetea uongo kwasababu Bwanaako yuko ikulu? Unatukana watu mpaka unajitukana mwenyewe bila kujua.maduka gani yamekosa wateja, kkoo nakwenda kila siku ndio kwanza watu wamejaa mpaka usalama uko mashakani.
huku mtaani watu wanajenga fremu kila siku na zinapata wapangaji, boda boda zinabeba watu kila siku mbali na kwamba zinaongezeka kununuliwa.
anakuja mbuzi kuandika mapovu humu, kisa tu ana ndoto za bwana ake kwenda ikulu.
popote utakapojaribu kuaminisha watu magu si kitu si lolote lazima ukutane na pingamizi.Kwahiyo na wewe umejipa kazi ya kutetea uongo kwasababu Bwanaako yuko ikulu? Unatukana watu mpaka unajitukana mwenyewe bila kujua.
Tatizo pia anaua na kuteka watu pqmoja na kuwapiga risasiACHANA NA HAYO MAWAZO YA MGANDO NANI KAKWAMBIA WANANCHI NI NYINYI TU MUNAOSHINDA MITANDAONI AU UNAZANI HIYO PESA SERIKALI ITAKUWEKEA mfukoni mwako
Tulia utakufa na stress! Hapa Kazi tu!Watanzania wanataka ;-
- Hali bora za maisha.
- Ajira
- Biashara zao zifufuke na kukua
- Mzunguko wa fedha uwe mzuri
- Uhuru na haki vitamalaki.
Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)
View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610
Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.
Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.
Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Utakufa wewe kwanza!Huyu bwana na mwenzake kondakta kwa hakika wanaongoza kwa kuchukiwa.
Kusikia kwao mithili ya kenge.
Tutafikishana huko pia, inshallah. Zama hizi mbona siyo zile tena.
Ili mradi nisitekwe tuTulia utakufa na stress! Hapa Kazi tu!
Mmh mimi mama angu anazungushwa sana unakaribia mwaka kila siku wanatafuta sababu ya kupeleka penshen mbele...nilimuuliza maa kwani shida nini akasema wanachelewesha wanajua unakaribia kufa, na sio yeye tuu peke ake.hakuna mstaafu aliebaki na malalamiko hajalipwa, leten uongo mwingine
Kauli hizi ndizo zinawachafua na kukikaanga chama Cha Johnlazima aendelee atake asitake,
Utakufa wewe kwanza!
Ni Sasa ni zamu ya Uhuru na hakiMmh mimi mama angu anazungushwa sana unakaribia mwaka kila siku wanatafuta sababu ya kupeleka penshen mbele...nilimuuliza maa kwani shida nini akasema wanachelewesha wanajua unakaribia kufa, na sio yeye tuu peke ake.
Ili mradi nisitekwe tu
Maisha mafupi sanaa!Watanzania wanataka ;-
- Hali bora za maisha.
- Ajira
- Biashara zao zifufuke na kukua
- Mzunguko wa fedha uwe mzuri
- Uhuru na haki vitamalaki.
Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)
View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610
Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.
Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.
Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Mzee ameshasema hana muda wala mipango yoyote mipya na walimu, sio walimu wa sanaa pekee, walimu wote. Lakini hapo hapo anasema ana mipango na wasanii wanaoipigia kampeni CCM, pia ana mipango ya kununua mandege mengine matano, huku zile ndege nyingine zimekiwa zimepaki tu uwanja wa ndege na makada wanaruhusiwa kwenda kupiga nazo selfie.Walimu wa Sanaa Wametelekezwa. Je kuna mpango wowote msimu huu.
Hapo tayari buku Saba wameziweka kibindoni,unafikiri wanaelewa ndugu zao na wazazi wao wanateseka mashambaniWatanzania wanataka ;-
- Hali bora za maisha.
- Ajira
- Biashara zao zifufuke na kukua
- Mzunguko wa fedha uwe mzuri
- Uhuru na haki vitamalaki.
Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)
View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610
Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.
Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.
Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Baaasi Hashimu anatufaa kua Raisi wetu au sioWatanzania wanataka ;-
- Hali bora za maisha.
- Ajira
- Biashara zao zifufuke na kukua
- Mzunguko wa fedha uwe mzuri
- Uhuru na haki vitamalaki.
Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)
View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610
Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.
Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.
Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Watanzania wanataka ;-
- Hali bora za maisha.
- Ajira
- Biashara zao zifufuke na kukua
- Mzunguko wa fedha uwe mzuri
- Uhuru na haki vitamalaki.
Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)
View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610
Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.
Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.
Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Huyu amechoka kweli piga chini weka hata mzee wa wali kukuWatanzania wanataka ;-
- Hali bora za maisha.
- Ajira
- Biashara zao zifufuke na kukua
- Mzunguko wa fedha uwe mzuri
- Uhuru na haki vitamalaki.
Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)
View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610
Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.
Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.
Maisha Kwanza Vitu Baadaye.