Uchaguzi 2020 Huku ni kupuuza vilio na malalamiko ya watanzania. Nini anataka huyu mgombea urais wa CCM?

Uchaguzi 2020 Huku ni kupuuza vilio na malalamiko ya watanzania. Nini anataka huyu mgombea urais wa CCM?

We ng'ombe Rais Lissu kasema wapi kwamba hatakusanya kodi?
Misukule ya lumumba hamna akili kabisa.
Hahaha...umetoka kupumuliwa kisogoni bila KY hasira za kuchubuliwa unaniletea mimi!? hukumsikiliza kwamba wafanyabiashara wako na kodi 15 akiingia atazivuta ili bidhaa kutoka nje ziingie bure zifurike watu wasiende kununua Uganda, kwani tunachagua afisa masoko wa mabeberu? katumwa kuja kutafuta soko la bidhaa za viwanda vya mabwana zake? bila kodi hayo anayojinasibu kuyafanya atayafanya vipi? ATATUUZA HUYO.
 
Kiitikio: Tumeibiwa kura[emoji3][emoji3]

Piga verse mwana
Pole sn msukule wa lumumba....

Naona jamaa kutokana na ushamba na ulimbukeni kila siku anaota ndege.....
Nyuma yake kuna upigaji ambao haijawahi kutokea tangia Tupate Uhuru wa bendera....

Tundu Lissu anatufaa sana...Kwann mnaogopa uchaguzi?
 
Hahaha...umetoka kupumuliwa kisogoni bila KY hasira za kuchubuliwa unaniletea mimi!? hukumsikiliza kwamba wafanyabiashara wako na kodi 15 akiingia atazivuta ili bidhaa kutoka nje ziingie bure zifurike watu wasiende kununua Uganda, kwani tunachagua afisa masoko wa mabeberu? katumwa kuja kutafuta soko la bidhaa za viwanda vya mabwana zake? bila kodi hayo anayojinasibu kuyafanya atayafanya vipi? ATATUUZA HUYO.
Uandishi wenyewe sifuri...... Shule za kata cjui zimefungwa ln mpaka wameingia vidudu jf
 
Wewe Kama hujawahi kupanda ndege, na Wala hauna ulazima wa kufanya hivyo katika shughuli zako huwezi kujuaa faida zake, acha tutapanda sisi, hata sisi ni watanzania, kimsingi kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Wewe ni mpumbavu mpumbavu mpumbavu. Jana nimetoka kutuma pesa kwa baba wa mfanyakazi wangu aliyestaafu 2018,wewe unaleta mavi yako hapa.
Na ulaaniwe. Hivi nyinyi ni binadamu au mashetani? Watu wanahangaika kutafuta haki zao,wewe unasema hakuna ambaye hajalipwa!!
Mudak.

alikua fisadi?
 
Sasa kinachoimbwa kila siku ni nini we Mataga? Watu hawalipwi stahiki zao kwa wakati. Wazee kibao mpaka wanapata stroke kufukuzia mafao yao. Hapa tu Mzee wangu kafukuzia mafao mwaka wa 12 sasa patupu.. story tu kila siku. Serikali hii Mungu atawalaani.

ushamaliza kutunga story yako , tunga ingine
 
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Hafai huyu tunamtaka raisi anayefuata katiba na sheria za nchi
 
Kiukweli hatuhitaji ndege kwa sasa.Tulizo nazo zinatosha.Na haya ni maoni ya watanzania wengi.Tunatakiwa kuwekeza katika maendeleo ya watu kwa sasa na sio katika maendeleo ya vitu

hayo maendeleo ya watu yanakujaje bila vitu? utawapa pesa ama?
 
Watu wanataka mazingira mazuri ya kufanya ujasiriamali hawataki ndege kwa sasa.Are we togather??

unajua nyie vijana bana, kwan wengine wanafanyaje biashara? nyie ni mazingira gan hayo mnayotaka! maaana wengine wote ndo mazingira haya haya wanafanyia biashara wengine they worth mpaka $2B sasa unaongelea mazingira gan hayo
 
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
ACHANA NA HAYO MAWAZO YA MGANDO NANI KAKWAMBIA WANANCHI NI NYINYI TU MUNAOSHINDA MITANDAONI AU UNAZANI HIYO PESA SERIKALI ITAKUWEKEA mfukoni mwako
 
Maisha bila vitu ni maisha gani hayo?!?!(
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
 
Back
Top Bottom