Tetesi: Huku wachina kule mvua, njaa na maradhi vinatuua watanzania

Tetesi: Huku wachina kule mvua, njaa na maradhi vinatuua watanzania

Jamani na huo ukame huko Turkana ni sababu ya wachina au ni mabadiriko ya tabia nchi??
Huko kuna miradi ya ujenzi wa visima vya mafuta na miundo mbinu mingine..

https://www.JamiiForums.com.com/ind...enyan-oil-may-be-a-recipe-for-disaster.79062/
 
Hivi na kule kaskazini mwa Kenya maeneo ya Turkana kuliko na njaa kali sana,kuna miradi ya Wachina inaendelea?Wamezuia mvua kiuchawi au kwa technolojia ya kupiga mabomu ili mvua isinyeshe?Kuna Waturuki na miradi yao ya ujenzi inaendelea huko ?Je,kimbunga Idia kilichopiga juzi kati huko Msumbji,Zimbabwe na Malawi ni kwa sababu hakuna miradi inayoendelea hivyo wawekezaji wamechawia na kupiga mabovu ili kuvutia mvua kunyesha iharibu miundo mbinu ili wapate "deals" za miradi?

Tatizo kubwa sasa hivi duniani ni uharibifu wa mazingira kwa njia mbalimbali hivyo kuna kitu kinaitwa "global warming" ambacho kinasumbua sana dunia kwa sasa.

Wewe uchawi wako unautumia kivipi mkuu?Kuloga majirani ili vigenge vyao vya nyanya visipate wateja au?Au jirani yako akimbiwe na mke ili ukashike uskani kwake?Au kuwatishia majirani unaweza kuwageuza kuwa chatu?Au ni chuma ulete ili ule kiulani?

Hahahahahaaa,tusipotoshane tafadhali,pia sikupotoshi.

Sent using Jamii Forums mobile app


Turkana ni kame miaka nenda rudi sasa wewe unaleta ya jangwa la sahara hapa
 
Sasa wewe mradi wa miaka mitano unamwambia mtu aukabidhi kwa miezi 18 unategemea Nini? Sio wachina tu hata hao waturuki wanachofanya wakiona dalili za mvua tu wanapiga bomu la kusambaratisha mvua kazi inaendelea. Wanafukuzana na dedilaini ya mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ule ukame uliotokea miaka 1983 kule Ethiopia watu wakafa njaa vipi na kwenyewe ilikuwaje?
 
Hivi na kule kaskazini mwa Kenya maeneo ya Turkana kuliko na njaa kali sana,kuna miradi ya Wachina inaendelea?Wamezuia mvua kiuchawi au kwa technolojia ya kupiga mabomu ili mvua isinyeshe?Kuna Waturuki na miradi yao ya ujenzi inaendelea huko ?Je,kimbunga Idia kilichopiga juzi kati huko Msumbji,Zimbabwe na Malawi ni kwa sababu hakuna miradi inayoendelea hivyo wawekezaji wamechawia na kupiga mabovu ili kuvutia mvua kunyesha iharibu miundo mbinu ili wapate "deals" za miradi?

Tatizo kubwa sasa hivi duniani ni uharibifu wa mazingira kwa njia mbalimbali hivyo kuna kitu kinaitwa "global warming" ambacho kinasumbua sana dunia kwa sasa.

Wewe uchawi wako unautumia kivipi mkuu?Kuloga majirani ili vigenge vyao vya nyanya visipate wateja au?Au jirani yako akimbiwe na mke ili ukashike uskani kwake?Au kuwatishia majirani unaweza kuwageuza kuwa chatu?Au ni chuma ulete ili ule kiulani?

Hahahahahaaa,tusipotoshane tafadhali,pia sikupotoshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana Chifu, na mawatu kama hawa ndiyo wanaofanya hata Mungu ashindwe kurudi upesi, maana anayavumilia yabadilike weee...lkn wp.

Unaanzaje kuleta imani za kishetani ambazo tangu na hata ss hv hazijawahi kumnufaisha Mtu na chochote zaidi ya mateso chungunzima?

Hivi hao wakala wakuu wa shetani washirikina/wachawi/waganga wa kienyeji/mapepo/majini wana maisha gani hasa kuliko wanaomtegemea Mungu atupatiaye uhai?

Kweli duniani kuna Watu, Viatu, Vijitu, Mijitu, Majitu na Mawatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawe ukawaamini still kila kukicha kwao wanahangaika na hizo hizo mvua zinazowapatia mafuriko, vimbunga, tsunami, milipuko ya volcano?

Acha imani potofu wewe, nguvu ya Mungu haipingwi kamwe na kiumbe chochote kiitwacho Binadamu.
nlikuwa Morogoro llast week, kule juu Milimani MTC nikawa naskia vitu km risasi! Nikawauliza wenyeji nini hiki? Walinijibu huyo ni Mchina anatawanya mawingu ya Mvua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K
Asante sana Chifu, na mawatu kama hawa ndiyo wanaofanya hata Mungu ashindwe kurudi upesi, maana anayavumilia yabadilike weee...lkn wp.

Unaanzaje kuleta imani za kishetani ambazo tangu na hata ss hv hazijawahi kumnufaisha Mtu na chochote zaidi ya mateso chungunzima?

Hivi hao wakala wakuu wa shetani washirikina/wachawi/waganga wa kienyeji/mapepo/majini wana maisha gani hasa kuliko wanaomtegemea Mungu atupatiaye uhai?

Kweli duniani kuna Watu, Viatu, Vijitu, Mijitu, Majitu na Mawatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Mungu alisafiri kwenda wapi hadi ashindwe kurudi kwa ajili ya watu?
 
Hakuna kitu kama hicho na Kenya je? Hizi ni chuki binafsi za watu kufikiri kua wachina ndo wasababishaji, huu ni mbadiliko wa tabia nchi tu, kwa mtindo huu watanzania tuna safari ndefu sana.
Kama vile ule ukame wa njaa kali sana TZ kukosa mvua miaka ya 1997 ilisababishwa na mchina mpaka tuliombaga misaada ya mahindi USA.

Yani TZ kuendelea bado sana kwa imani hizi za kishirikina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom