Nivek11
JF-Expert Member
- Feb 26, 2019
- 202
- 72
Not witchcraft but scienceHivi vijamaa ni vichawi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Not witchcraft but scienceHivi vijamaa ni vichawi sana
Huko kuna miradi ya ujenzi wa visima vya mafuta na miundo mbinu mingine..Jamani na huo ukame huko Turkana ni sababu ya wachina au ni mabadiriko ya tabia nchi??
Hivi na kule kaskazini mwa Kenya maeneo ya Turkana kuliko na njaa kali sana,kuna miradi ya Wachina inaendelea?Wamezuia mvua kiuchawi au kwa technolojia ya kupiga mabomu ili mvua isinyeshe?Kuna Waturuki na miradi yao ya ujenzi inaendelea huko ?Je,kimbunga Idia kilichopiga juzi kati huko Msumbji,Zimbabwe na Malawi ni kwa sababu hakuna miradi inayoendelea hivyo wawekezaji wamechawia na kupiga mabovu ili kuvutia mvua kunyesha iharibu miundo mbinu ili wapate "deals" za miradi?
Tatizo kubwa sasa hivi duniani ni uharibifu wa mazingira kwa njia mbalimbali hivyo kuna kitu kinaitwa "global warming" ambacho kinasumbua sana dunia kwa sasa.
Wewe uchawi wako unautumia kivipi mkuu?Kuloga majirani ili vigenge vyao vya nyanya visipate wateja au?Au jirani yako akimbiwe na mke ili ukashike uskani kwake?Au kuwatishia majirani unaweza kuwageuza kuwa chatu?Au ni chuma ulete ili ule kiulani?
Hahahahahaaa,tusipotoshane tafadhali,pia sikupotoshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ule ukame uliotokea miaka 1983 kule Ethiopia watu wakafa njaa vipi na kwenyewe ilikuwaje?Sasa wewe mradi wa miaka mitano unamwambia mtu aukabidhi kwa miezi 18 unategemea Nini? Sio wachina tu hata hao waturuki wanachofanya wakiona dalili za mvua tu wanapiga bomu la kusambaratisha mvua kazi inaendelea. Wanafukuzana na dedilaini ya mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ndiyo ujue majanga ya asili hayana uchawiTurkana ni kame miaka nenda rudi sasa wewe unaleta ya jangwa la sahara hapa
Hivi kuna mwenye uwezo wa kuzuia Majanga ya asili?Hata mimi niliisikia hii kwamba wazuia ili wamalizie SGR pamoja na izo zenye round about hapo mkabala na jengo la watts
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ndiyo ujue majanga ya asili hayana uchawi
Na huko ubeberuni wakokumbwa na vimbuga na tsunami mafuriko maporomoko ya udongo mara moto wa nyika unalipuka tu vipi na kwenyewe kuna laana gani?Na nadhani sasa hivi ni laana ya kuwa na JIWE PHD fake
Na huko ubeberuni wakokumbwa na vimbuga na tsunami mafuriko maporomoko ya udongo mara moto wa nyika unalipuka tu vipi na kwenyewe kuna laana gani?
Tatizo ni kutokua na mpangilio wa miji. Miji mikubwa kama London, Amsterdam, Berlin ina bustani na miti katikati ya miji. Sisi sehemu za bustan na viwanja vya wazi viliuzwa sasa ni majengo.
Asante sana Chifu, na mawatu kama hawa ndiyo wanaofanya hata Mungu ashindwe kurudi upesi, maana anayavumilia yabadilike weee...lkn wp.Hivi na kule kaskazini mwa Kenya maeneo ya Turkana kuliko na njaa kali sana,kuna miradi ya Wachina inaendelea?Wamezuia mvua kiuchawi au kwa technolojia ya kupiga mabomu ili mvua isinyeshe?Kuna Waturuki na miradi yao ya ujenzi inaendelea huko ?Je,kimbunga Idia kilichopiga juzi kati huko Msumbji,Zimbabwe na Malawi ni kwa sababu hakuna miradi inayoendelea hivyo wawekezaji wamechawia na kupiga mabovu ili kuvutia mvua kunyesha iharibu miundo mbinu ili wapate "deals" za miradi?
Tatizo kubwa sasa hivi duniani ni uharibifu wa mazingira kwa njia mbalimbali hivyo kuna kitu kinaitwa "global warming" ambacho kinasumbua sana dunia kwa sasa.
Wewe uchawi wako unautumia kivipi mkuu?Kuloga majirani ili vigenge vyao vya nyanya visipate wateja au?Au jirani yako akimbiwe na mke ili ukashike uskani kwake?Au kuwatishia majirani unaweza kuwageuza kuwa chatu?Au ni chuma ulete ili ule kiulani?
Hahahahahaaa,tusipotoshane tafadhali,pia sikupotoshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
nlikuwa Morogoro llast week, kule juu Milimani MTC nikawa naskia vitu km risasi! Nikawauliza wenyeji nini hiki? Walinijibu huyo ni Mchina anatawanya mawingu ya Mvua!
Hivi Hawa YEPI MARKERZ wajenzi wa SGR NDO WATURUKI AU?Wachina wanajenga mradi gani?
Maana Stiglers ni Wamisri na SGR ni Waturuki,
Kwani Mungu alisafiri kwenda wapi hadi ashindwe kurudi kwa ajili ya watu?Asante sana Chifu, na mawatu kama hawa ndiyo wanaofanya hata Mungu ashindwe kurudi upesi, maana anayavumilia yabadilike weee...lkn wp.
Unaanzaje kuleta imani za kishetani ambazo tangu na hata ss hv hazijawahi kumnufaisha Mtu na chochote zaidi ya mateso chungunzima?
Hivi hao wakala wakuu wa shetani washirikina/wachawi/waganga wa kienyeji/mapepo/majini wana maisha gani hasa kuliko wanaomtegemea Mungu atupatiaye uhai?
Kweli duniani kuna Watu, Viatu, Vijitu, Mijitu, Majitu na Mawatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama vile ule ukame wa njaa kali sana TZ kukosa mvua miaka ya 1997 ilisababishwa na mchina mpaka tuliombaga misaada ya mahindi USA.Hakuna kitu kama hicho na Kenya je? Hizi ni chuki binafsi za watu kufikiri kua wachina ndo wasababishaji, huu ni mbadiliko wa tabia nchi tu, kwa mtindo huu watanzania tuna safari ndefu sana.
K
Kwani Mungu alisafiri kwenda wapi hadi ashindwe kurudi kwa ajili ya watu?
Ila mabeberu unayajua?Ubeberuni sipajui
Under 5 mkuu