Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuchosha au unajichosha mwenyewe si upite kimyakimya tuUsinichoshe wewe
Umezidi kudeka na wewe..kdg tu umechokaUsinichoshe wewe
kwa taarifa yako mchina kajenga hata nyumba ya baba yako! ulipo yupo hata kama humuoniWachina wanajenga mradi gani?
Maana Stiglers ni Wamisri na SGR ni Waturuki,
Turkana ni kame miaka nenda rudi sasa wewe unaleta ya jangwa la sahara hapa
Hujaeleweka,upo ndotoni au?Hebu soma ulichokiandika tena halafu edit uje tena.Huko turkana si ndiyo kuna mafupa na kuna miradi inaendelea huko ya ujenzi
Hata huku mazingira yanaweza kubadilika kutokana na daily human activities(nadhani unazijua) na kusababisha mvua kutokunyesha.Kwa hiyo Wachina na Waturuki tunawasingizia tu.Jiografia ya mahali "can change at any time and not static at all the time"Jiografia ya kule ni tofauti kabisa na huku, kule kuna asili ya jangwa na imekuwa climate ya pale over mostly
Nani?
Sasa mbona wanatuhumiwa wachina
Sawa,logic iliyopo ni kuwa hakuna uhusiano wa miradi inayoendelea nchini na mvua kutokunyesha.Ukame wa huko ni mazingira ya asili.Hivyo basi hapa nchini mvua kutokunyesha ni mabadiliko ya mazingira kiasili zaidi pasipo na uhusiano wowote wa kuwepo utekelezaji wa miradi nchini chini ya Waturuki na Wachina,hawachawii wala kupiga mabomu kutawanya mawingu ya mvua.Waza nje ya box men.
Mfano ukiumwa tumbo baada ya kula kiporo cha wali maharage,wakati kisababishi kikuu ni wewe kufakamia mivyakula ovyo ulipokuwa unakuja Dsm kutoka kwenu Ramadi-Magu kwa basi la Najimunisa.Je,utaanza kumlaumu yule mchepuko wako wa jirani ndio amekuchawia ili udhurike na urudi haraka kumliwaza au ni ufakamiaji wako wa mivyakula ovyo njiani?Logic hapa itakuwa ni ulaji wako wa ovyo na sio kiporo cha wali maharage.
Kwa hiyo sio Wachina au Waturuki wanaokataza mvua kunyesha,bali ni majanga ya asili yanafanya kazi.Majanga yasiyo ya asili ni uharibifu wa mazingira unaosababishwa na sisi binadamu.Waza nje ya box men.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu ni wazuilifu wa kubwa wa mvua na sio majanga ya asiliSasa mbona wanatuhumiwa wachina
Katika Nchi za Afrika , Tanzania imechukua pesa chache sana toka kwa Wachina.Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba kutokana na ujenzi wa miradi mikubwa mikubwa hapa Tanzania na miradi hiyo ikiwa chini ya wachina basi inasadikika jamaa hawa kutoka Asia wameamua kufanya yao ili wasisumbuke na ujenzi.
Nimejikuta najiuliza mengi na nikajiuliza sasa maisha yetu yanakwenda kuwaje. Joto limezidi kila kona, ardhi imekauka na mazao yamekaukia mashambani. Kwingineko magonjwa pia yamechachamaa mno kwasababu miili imechemka kupita kiasi
Kama hii kweli ni wachina ndo wanahusika basi hawa watu watatuletea majanga makubwa. Wanatakiwa kujua kwamba nchi yetu iko katika ukanda wa joto kali la tropic ambako kwa kiasi kikubwa kutofautiana na ile ya china, kama kwao wanafanya hivyo ni sawa lakini kwa Tz si sehemu sahihi kwani kijiografia tayari sie tuko kwenye tanuru na hatuitaji tena kuchochewa kuni na mkaa
Tuiombee nchi yetu watanzania, asubuhi njema!