Huku Watanzania tunajisifu ujinga kila mtoto ajipambanie from scratch, kijana wa kisomali miaka 25 anasimamia malori 90 biashara iliyoanzishwa na babu

Huku Watanzania tunajisifu ujinga kila mtoto ajipambanie from scratch, kijana wa kisomali miaka 25 anasimamia malori 90 biashara iliyoanzishwa na babu

Lakini kwa upande mwingine shida kubwa ipo kwa watoto wenyewe wa kuweza kurithishwa hizo mali, watoto wengi akili zao ni mbovu Sana. Hawawezi kabisa kusimamia mali za urithi wanazoachiwa na wazazi wao hata Kama wazazi wenyewe walijitahidi kuwashirikisha watoto wao katika usimamizi wa hizo mali wakati walipokuwa bado wapo hai.
Pombe, ngono, starehe
 
Hapa Tz, wazazi hawaandai chochote kwaajiri ya watoto. Urithi wako ni elimu bwashee!
Elimu inatosha kama wazaz ni maskinii utakiwi ku complain kuhusu wazaz wako jaribu na wew kutengeneza utajiri ukiweza sawa ukishindwa sawa watoto wako pia watakulaumu pia
 
Yani mmenikumbusha mjomba wangu alipogeuka " Uncle" ghafla kupitia pensheni ya bibi alitumbua mali hata ukimpa tabasamu tu anakupiga elfu kumi, kuchukua costa nzima mkalewe na kesho yake mnapigwa supu kawaida sasa hivi hali yake mpaka huruma karudi kuwa mjomba
 
Yani mmenikumbusha mjomba wangu alipogeuka " Uncle" ghafla kupitia pensheni ya bibi alitumbua mali hata ukimpa tabasamu tu anakupiga elfu kumi, kuchukua costa nzima mkalewe na kesho yake mnapigwa supu kawaida sasa hivi hali yake mpaka huruma karudi kuwa mjomba
Hahaha
 
Waafrika hasa wabantu tuache ubinafsi, wazazi waandae watoto kusimamia biashara
Unazungumzia wote au baadhi?
Mbona watoto wa Mengi (kwa mfano) wanaendesha biashara alizoacha baba ,yao?
 
Sisi NI masikini mideset zetu NI umaskini...manji alikabidhi biashara kwa mwanae alipofikisha imri wa 40+ sisi Sasa mtoto akifika 20 anataka agaiwe uridhi na mzazi hataki kumpa wakti mzazi akimtumikisha mtoto kwenye shughuli zake alisema nawatafutia nyinyi...wanapokuwa anawaambia kila MTU atafute vya kwake...kizingumkuti kinaanzia hapo...mzazi mtoto akikaa kwake MDA mrefu anamfukuza anaona anamwibia au kumnyonya...
 
Uchoyo ndiyo jadi yetu
Tunapata ajali ndugu wanatapanya Mali... watoto wanagawiwa kwa ndugu wawalee kwa mateso na masimango
"Baba yako alikuwa na pesa sana lakini hakututazama sisi na wanetu"

"Baba yako alipokuwa hai hakuwaruhusu hata mtutembelee"

"Baba yako alipokuwa hai hakupenda hata wageni tufike kwake"

"Baba yako alipokuwa hai mama yenu aliwekwa kipaumbele ndugu tulisahaulika"

Wanaume ,ombeni muishi maisha marefu sikuzote....juu ya kaburi kunatisha kwa familia mnazoziacha.
Deep sana hii.
 
Uchoyo ndiyo jadi yetu
Tunapata ajali ndugu wanatapanya Mali... watoto wanagawiwa kwa ndugu wawalee kwa mateso na masimango
"Baba yako alikuwa na pesa sana lakini hakututazama sisi na wanetu"

"Baba yako alipokuwa hai hakuwaruhusu hata mtutembelee"

"Baba yako alipokuwa hai hakupenda hata wageni tufike kwake"

"Baba yako alipokuwa hai mama yenu aliwekwa kipaumbele ndugu tulisahaulika"

Wanaume ,ombeni muishi maisha marefu sikuzote....juu ya kaburi kunatisha kwa familia mnazoziacha.
Kwa hiyo Nini kifanyike kuondo mindset hii mbovu?

Kusema wanaume waombes kuishi umri mrefu, Hilo ni jambo la bahati na sibu sana hasa Kwa kizazi Cha wanawake mliopo Sasa.
 
Kwa hiyo Nini kifanyike kuondo mindset hii mbovu?

Kusema wanaume waombes kuishi umri mrefu, Hilo ni jambo la bahati na sibu sana hasa Kwa kizazi Cha wanawake mliopo Sasa.
Basi,tuishi humo
 
Hicho ndio kitu kinatufanya tuanze mwanzo kila siku muda ambao race zingine zinaendelea walipo ishia wazazi wao
.
 
Back
Top Bottom