Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Wewe unaongea unachokifahamu.
 
Hakuna tea hapo!.....
waulize wazanzibery kuna sehemu ni barabara inaitwa Kilima nyege
Kama sijakosea kabla hujafika Tanganyika International school ukiwa unaenda masaki kuna kamlima pale wanakaita kilima nyege.😅😅ukiwa unakimbiza gari halafu ukakapanda kwa speed basi unaeza hisia moyo umehama ukaenda kukaa sehemu ya kongosho au firigisi 😆😆
 
Huko ndio kwenye kiswahili sio kwenye mnakomix R na L
Yaani mtu hata R.I.P wanaandika L.I.P
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Lahaulaaa!
 
Kabisa yani. Kule wanaweza wakakufanya ujione haujui kiswahili.
Kwasababu huko ndiko wanapoongea kiswahili, mixer lahaja, mixer krioli mixer isimu, mixer tamathali za semi. Sasa wasiojua kiswahili wataelewa vipi?!
 
Huo ndio ukweli, kuna machangudoa ninaowafahamu, hawapungui 40 ambao wote niliwagonga kupitia badoo, wote wako Zenji kwa sasa.
Ni wazenji au wabara walio lowea zenji?
 
Ni wazenji au wabara walio lowea zenji?
Sio wazenji, huwa wanatoka Bara na kwenda kufanya biashara Zenji. Maeneo yote ya Kaskazini Nungwi , Kiwengwa kote huko wapo. Na kuna wengine huwa wanakwenda kuuza nyuchi then wikiend wanarudi Bara.
 
Watu wawili mwaweza kwenda hotel moja mkaagiza chakula kinachofanana na kiasi sawa lakini kila mmoja akachajiwa bei yake kulingana na anavyoonekana
 
-Hela zinatwa PESA

-Nyanya zinaitwa TUNGULE

-Watu watokao bara wote wanaitwa WANYAMWEZI

-Umeme huku haukatwi isipokuwa UNAZIMWA

-Mvua huku hainyeshi bali INAKUNYA

-Viazi vinaitwa MBATATA

-Daftari linaitwa BUKU

-Kalamu inaitwa PENI.....nk,nk,nk,

Tanganyika na Zanzibar ni nchi mbilitafauti,Lugha,mila,desturi na Utamaduni tafauti

If you don't know now you know

Fanya haraka uondoke Kabla hawaja Ku......
 
Watu wawili mwaweza kwenda hotel moja mkaagiza chakula kinachofanana na kiasi sawa lakini kila mmoja akachajiwa bei yake kulingana na anavyoonekana
Sio kweli, kwenye uaminifu na uadilifu Wazanzibari wapo vizuri. Hawafanyi upuuzi huo.
 
Yani we acha tu! Nilisikia eti aliyewahi kuwa Rais wa South Africa Thabo Mbeki ana mtoto wa kike anaitwa Sito Mbeki ila hiyo nahisi watu walizusha tu mitandaoni!
Wewe mdada nimecheka mpaka wenzangu hapa wananishangaa.
Huyo alitakiwa huko bongo awe addressed as Sito Thabo Mbeki.
 
Waambie hao umalaya asili yake ni bara
Na hao ni wabara wenzao
 

1. Hakuna mzanzibari jina Ali akaita Arii hata siku moja.
2. Maamrisho yote ya dini mwanamke hatakiwi kupaza sauti yake. Ndio maana huwezi kumsemesha mwanamke tu njiani na akapaza sauti yake.
3. Round about inaitwa round about kama ilivyo, maana ya ikipinda ni kile kitendo cha gari kupinda kutoka kwenye round about na ukute baada ya round about kuna kituo.
4. Kuna tofauti baina ya sufuria na dishi na hayo yote yanatumika Zanzibar. Sufuria ni sufuria, ( basin) ndio linaitwa beseni au dishi.
5. Kisima kinaitwa kisima, ila ninyi wa huko bara ndio kwa kutokujua baadhi ya maneno ya kiswahili ndio hamuelewi hata hodhi mnaita kisima. Kisima cha kuvuta, ndio ni kisima cha kuvuta maji kwa kamba. Lipi geni hapo?
6. Pombe inaitwa pombe, labda kama huelewi maana ya moja moto moja baridi tafuta maana, ila ukweli pombe ni pombe acha uongo.
7. Acha uongo, chupi zinaitwa chupi kwa vile huelewi maana ya hafu ndio unapotosha, hafu maana yake ni gaguro muulize hata bibi yako atakujibu.
8. Kwa vile bara ilitawaliwa na Mjerumani ndio maana mmezoea kuita shule kwa vile imetokana na neno la kijerumani Zanzibar wanaita skuli inatokana na neno la Kiingereza School.
9. Ni kweli kabisa chepe koleo wanaita pauro au beleshi ni kiswahili hicho.
10. Hela inaitwa Pesa ni kwa sababu kiswahili kimechukua maneno ya kutoka katika mataifa mbali mbali. Neno Pesa limetokana na neno la Kihindi Paisa. Sasa hata ninyi mnaotumia Hela imetokana na neno la Kijerumani Heller.
Unawaona kama Wazanzibari hawajui kiswahili kumbe wewe ndio hujui Kiswahili.Ukiachana na yote kila sehemu kuna mila, silka, tamaduni, desturi zake, hivyo usitake tamaduni zenu na mila zenu ndio zifuatwe na kila mtu au kila sehemu mnayoingia. Jifunze kuheshimu mila, silka, tamaduni, desturi, za wengine ili na za kwako ziheshimiwe. Na usilolijua jenga mazoea ya kuuliza, kwani kwani kuuliza si ujinga ila ni kutaka kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…